Quran ya wakati wa Mtume SAW

Quran ya wakati wa Mtume SAW

asante kwa ufafanuzi. Arshi ni nini?

Sina neno zuri la kiswahili ambalo linaweza fanana na maana halisi ya Arshi...lakini kubali tu kwamba ni mahala patakatifu kuliko kote huko kwenye mbingu ya saba.
 
Uzi huu si wa kutaka ligi ya udini.

Kila mwenye akili timamu anafahamu historia ya dini yake.

Lengo la uzi huu ni kuelimishana siyo kukashifu dini yoyote.

hapo ndio na wakubali wazungu wanawajulia sana aisee. mnavimbisha kichwa wakati wenzenu wana yao. kutoa hiyo kitu leo. kuna mmoja huko Australia katoa maji kwenye chupa kaandika Muhammad ndio mtume cjui mara mshikaji yeye anawapiga hela tu kama mazuzu vile. eti Qur'an ya zaman imegundulika Uingereza. mi nikafikir huko mashariki ya Kati kumbe Uingereza? kweli wajinga ndio waliwao.
 
Qur an Ilishushwa kwa njia ya Wahyi. Then ikaandikwa, ni sawa na kwny Vikao Ukioneshwa Minutes za vikao kuhusu alichosema au kuagiza kiongozi ubishe kuwa si kweli kwa huo sio Muandiko wake. Qur an Ilishushwa kupitia kwa Mtume Muhammad then akaagiza iandikwe ili iwe rahisi kufikishwa kwa watu. UISLAM unathamini sana Maandishi ndio maana tunalazimishwa kwenye Qur an kuwa Makubaliano yoyote yawe kwenye Maandishi na awepo Shahidi, Fikiria hilo agizo lipo tangu karne ya Saba kabla hata hizo sheria za kilimwengu hazijang'amua hili.

unamzungumzia karne ya saba? ushawah kusoma wagiriki wa kale maisha Yao wewe.
 
Dini tumeletewa na wazungu wakiwa walipokuwa wanataka mali ghafi zetu so hakuna haja ya kuanza kubishina sana
 
hapo ndio na wakubali wazungu wanawajulia sana aisee. mnavimbisha kichwa wakati wenzenu wana yao. kutoa hiyo kitu leo. kuna mmoja huko Australia katoa maji kwenye chupa kaandika Muhammad ndio mtume cjui mara mshikaji yeye anawapiga hela tu kama mazuzu vile. eti Qur'an ya zaman imegundulika Uingereza. mi nikafikir huko mashariki ya Kati kumbe Uingereza? kweli wajinga ndio waliwao.

Mbona kama imekuuma vile. unawaonea huruma waislam kwa kudanganywa na wazungu siyo? Basi wacha iwe hivyo vijiba vya roho utakufa kabla ya siku zako.Professor aliyegundua hiyo Qur'an ni Mkristo kama wewe wala hana roho mbaya kama ya kwako.kaelezea utafiti wake kama huamini kaa kimya.
 
hapo ndio na wakubali wazungu wanawajulia sana aisee. mnavimbisha kichwa wakati wenzenu wana yao. kutoa hiyo kitu leo. kuna mmoja huko Australia katoa maji kwenye chupa kaandika Muhammad ndio mtume cjui mara mshikaji yeye anawapiga hela tu kama mazuzu vile. eti Qur'an ya zaman imegundulika Uingereza. mi nikafikir huko mashariki ya Kati kumbe Uingereza? kweli wajinga ndio waliwao.

kitali.

Habari ni nakala ya Quran iliyopimwa KISAYANSI Uiingereza na kujulikana kuwa ina umri sawa sawa na wakati wa maisha ya Mtume Mohamed SAW au muda mfupi baada ya kifo chake.

Hii ndiyo habari niliyoleta.

Inahusika kivipi na habari ya maji ya Australia?

Hivi umefundishwa shule mchakato wa binadamu wa kufikiri na kujibu?

Kama ungefundishwa ungetumia "logical reasoning". Huna mantiki yoyote katika maneno yako.

Wazungu wamefanya nini hapa zaidi ya kutusaidia kutoa ushahidi wa umri wa ngozi iliyoandikwa Quran kwa elimu yao ya "radiocarbon dating"?

Au wewe una elimu zaidi ya kutusaidia?

Mimi naona, mjinga ni wewe.
 
Last edited by a moderator:
unamzungumzia karne ya saba? ushawah kusoma wagiriki wa kale maisha Yao wewe.

Huwezi kulinganisha kitabu cha dini na hadithi za miungu wa bahari na upepo za Homer.

Linganisha vitabu vya dini moja na nyingine.

Na kwa vyovyote, hapa siyo sehemu yake.
 
unamzungumzia karne ya saba? ushawah kusoma wagiriki wa kale maisha Yao wewe.

Hawakuwa na Amri iliyowalazimisha kuwa na Mikataba kwa Makubaliano wayafanyayo. Walikuwa na utaratibu wa mikataba but to them it was an option, kwenye Uislam Makubaliano ni lazima yawe na mkataba sio Option. Sio tu Wagiriki hapakuwa na jamii yoyote iliyokuwa na Amri hiyo.
 
hapo ndio na wakubali wazungu wanawajulia sana aisee. mnavimbisha kichwa wakati wenzenu wana yao. kutoa hiyo kitu leo. kuna mmoja huko Australia katoa maji kwenye chupa kaandika Muhammad ndio mtume cjui mara mshikaji yeye anawapiga hela tu kama mazuzu vile. eti Qur'an ya zaman imegundulika Uingereza. mi nikafikir huko mashariki ya Kati kumbe Uingereza? kweli wajinga ndio waliwao.

Zuzu ni yule anae Comment asichojua, wapi imendikwa Qur an ya kale imegundulika Uingereza? Hicho kipande cha kale kilichukuliwa middle East 1923 na wao wenyewe ndio waliamua kufanya uchunguzi kuwafahamisha nyie msioamini, Kwani Muislam kabla ya huo utafiti alikuwa haamini kuwa Karne ya Saba Qur an ilikuwepo? Utafiti moja ya malengo yake ni kuthibitisha so uthibitisho ndo huo umetolewa na asie Muslim kazi kwenu nyie mkitaka muamini msipotaka muendelee na yenu.
 
Zuzu ni yule anae Comment asichojua, wapi imendikwa Qur an ya kale imegundulika Uingereza? Hicho kipande cha kale kilichukuliwa middle East 1923 na wao wenyewe ndio waliamua kufanya uchunguzi kuwafahamisha nyie msioamini, Kwani Muislam kabla ya huo utafiti alikuwa haamini kuwa Karne ya Saba Qur an ilikuwepo? Utafiti moja ya malengo yake ni kuthibitisha so uthibitisho ndo huo umetolewa na asie Muslim kazi kwenu nyie mkitaka muamini msipotaka muendelee na yenu.

Naam. Swadakta.
 
Zuzu ni yule anae Comment asichojua, wapi imendikwa Qur an ya kale imegundulika Uingereza? Hicho kipande cha kale kilichukuliwa middle East 1923 na wao wenyewe ndio waliamua kufanya uchunguzi kuwafahamisha nyie msioamini, Kwani Muislam kabla ya huo utafiti alikuwa haamini kuwa Karne ya Saba Qur an ilikuwepo? Utafiti moja ya malengo yake ni kuthibitisha so uthibitisho ndo huo umetolewa na asie Muslim kazi kwenu nyie mkitaka muamini msipotaka muendelee na yenu.
Huyo unae muita proffesor msomi, mkristo aliyefanya utafiti, aliumbwa na nani?
 
Kumbe haikushushwa?
ilishushwa kupitia malaika JIBREER, hadi kwa MTUMWE MUHAMMAD (SAW), naye aliwafundisha maswahaba zake (wanafunzi) , waulize wenye kujua iwapo wewe hujui ili wakuelimishe.
 
Write your reply...Mimi naamini hiki kitabu kilishushwa na subiani au makata lakini sio jibril!!
 
View attachment 270372

Chuo cha Birmingham cha Uiingereza, kimetangaza kuwa wana Quran ya iliyoandikwa katika ngozi ya mnyama (parchment) ya wakati wa maisha ya Mtume SAW au miaka michache baada ya kufariki.

Kwa kutumia radiocarbon testing, wamefahamu kuwa Quran Tukufu iliandikwa katika ngozi ya mnyama aliyekuwepo wakati wa uhai wa Mtume SAW na kuandikwa aidha alipokuwa hai au muda mfupi baada ya kifo chake.

David Thomas, Profesa wa dini ya Kiislamu na Kikristo wa Chuo cha Birmingham, alisema kuwa maneno ya Quran waliyoandikwa kwenye ngozi hayana tofauti na Quran ya leo pamoja na Quran iliyo na umri sawa inayohifadhiwa na Bibliotheque Nationale de France huko Paris, Ufaransa.

Profesa huyo akaseka kuwa Quran hii itakuwa imeandikwa baina ya mwaka
AD 568 na AD 645 kwa kutumia utaalam wa "radiocarbon testing" ya Chuo Kikuu cha Oxford na ambao unatoa majibu sahihi ya umri kwa asilimia 95.

Mtume Mohamed SAW alizaliwa mwaka 570, Makka.


source: wsj.com

Kuna versions za Qur'an zilizochomwa na Umar. Ndio maana version inayotumika na Waislamu leo haina aya za Aisha [mke mdogo wa Mohammed aliemuoa (Aisha) akiwa na umri wa miaka 6 na akamuingilia akiwa na miaka 9] inayoongelea habari ya kondoo kutafuna aya ya Qur'an inayoagiza mwanamke kumnyonyesha mwanaume mara 10 ili kuzuia wasifanye mapenzi.

(Sahih al-Bukhari, 6:61:510] When the task was finished Uthman kept one copy in Medina and sent others to Kufa, Baṣra, Damascus, and, according to some accounts, Mecca, and ordered that all other variant copies of the Quran to be destroyed.)
 
Back
Top Bottom