Quran ya wakati wa Mtume SAW

Quran ya wakati wa Mtume SAW

Uislam hauko kwaajili ya kutetewa Bali unajieneza wenyewe nyie komaeni na dini yenu hii n bahar kubwa hamuiwezi Uislam una nguzo zake so MTU kutoka labda awe na tamaa na maslahi ya kidunia binafsi sijaona dini madhubuti isio yumba kama hii

Kwa hiyo jihad ni ya nini, au nayo ni hadith ya kutunga isiyokuwa na support kutoka kwenye Qur'an?
 
Nipe mojawapo kati ya hizo lukuki.
Surah Al- ikhlas
Screenshot_20190103-105030.jpeg
 
Hahahah zipo lukuki

Ndugu; jaribu kumtafuta Yesu Kristo wa kweli (sio yule wa kubuni kama anavyoelezwa kwenye Qur'an maana Yesu huyo wa Qur'an hajawahi kutokea na HATATOKEA), Yesu Kristo wa Nazareth. Utaujua ukweli nae atakuweka huru.
 
Ndugu; jaribu kumtafuta Yesu Kristo wa kweli (sio yule wa kubuni kama anavyoelezwa kwenye Qur'an maana Yesu huyo wa Qur'an hajawahi kutokea na HATATOKEA), Yesu Kristo wa Nazareth. Utaujua ukweli nae atakuweka huru.
Sasa nimfuate Yesu Mara ngapi..mbona namfuata tayari
 
Sasa nimfuate Yesu Mara ngapi..mbona namfuata tayari

Unaemfuata ni Yesu bandia. Mtafute Yesu wa kweli. Fanya hivi: tafuta sehemu yenye utulivu na muombe ajifunue kwako. Hauhitaji kusema kwa sauti au maneno mengi; bali tumia maneno yeyote utakayoweza na muombe kwa kumaamisha - sio kwa mzaha - ajifunue kwako. Utauona ukweli utakaokushangaza na HAKUNA kitakachokupa mashaka hata chembe.
 
Nipe mafundisho ya Yesu hapa ambayo siyafuati

Unaemfuata ni Yesu bandia. Mtafute Yesu wa kweli. Fanya hivi: tafuta sehemu yenye utulivu na muombe ajifunue kwako. Hauhitaji kusema kwa sauti au maneno mengi; bali tumia maneno yeyote utakayoweza na muombe kwa kumaanisha - sio kwa mzaha - ajifunue kwako. Utauona ukweli utakaokushangaza na HAKUNA kitakachokupa mashaka hata chembe. Na haitakugharimu kitu kwa mantiki hiyo hutakuwa na cha kupoteza kwa kufanya hiki ninachokuambia.
 
Unaemfuata ni Yesu bandia. Mtafute Yesu wa kweli. Fanya hivi: tafuta sehemu yenye utulivu na muombe ajifunue kwako. Hauhitaji kusema kwa sauti au maneno mengi; bali tumia maneno yeyote utakayoweza na muombe kwa kumaanisha - sio kwa mzaha - ajifunue kwako. Utauona ukweli utakaokushangaza na HAKUNA kitakachokupa mashaka hata chembe. Na haitakugharimu kitu kwa mantiki hiyo hutakuwa na cha kupoteza kwa kufanya hiki ninachokuambia.
Wewe mfiaukweli sasa mim Yesu kanifundisha kuomba namna hii sio hivyo kama wewe..wewe hivyo umefundishwa na kanisa
Screenshot_20190103-111018.jpeg
 
Hujaelewa japo Umesoma nilichoandika. Nimesema Waislam WAMELAZIMISHWA kuwa na Mikataba kweny Makubaliano yao.Hao Warumi hawakuwahi kuwa na Amri ya aina hiyo, hayo mengine ya kushushwa na kufunuliwa ni tofauti ya lugha kwenye kiswahili pengine tungekuwa tunafanya Mjadala kwa kichaga au kinyakyusa pengine isingekuwa hoja
Mzee unasumbuka bure tu hata kitu kikiwa wazi vipi, kuna watu watapata tu hoja hata isiyo na maantiki ili kubisha tu
 
Back
Top Bottom