Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,728
- 1,329
Kwanin wakristo wanatuattack kila nyuzi ya kiislam inapoanzishwa lakini sisi hua hatufanyi hivyo kwani shida ni nini?Write your reply...Mimi naamini hiki kitabu kilishushwa na subiani au makata lakini sio jibril!!
Juzi Gwajima nae karupuka tena kanisani
Humu nako kila siku Uzi, Mara matope Mara nini mjitafakari nyie mnaojiita WAKRISTO Yesu Hakua na Tabia za kijinga kama zenu Upumbafu ulio kithiri.
Yesu alikua na busara pia akili subra na utulivu wa hali ya juu mtenda haki lakini nikiangalia Wanaojiita WAKRISTO hakuna hata mmoja mwenye sifa za au anaefuata mafundisho ya Yesu nyinyi makanisa yanawapoteza msikubali kupelekeshwa na makanisa wew fuata Yesu alichohubiri.
Huu uislam n complex matter kwenu hamtakaa muelewe chamsingi kueni na adabu kama sisi tunavyowaheshimu na hatuanzishi nyuzi au kuwaingilia na kuanza kuichafua ukristo
Wew unaelimu kumshinda Hutu anaesujudu