Tobii
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 282
- 285
Habari wana JF
Hapa JF tushakua na thread kuhusu what called"Famous people with their QUOTERS" Naomba tupate QUOTERS za kujenga toka kwenu wana JF zenye kujenga na kuzitafakari katika maisha kwasababu naamini mnazo, nataka nizipate toka kwenu.
Mimi naanza Yangu"Kutoka sifuri mpaka mafanikio inawezekana ukiweka Juhudi, hakuna Muujiza katika Mafanikio,pambana,tunza kumbukumbu zako zikupe mwelekeo wako kama ni hasara au faida katika uyafanyayo"
Hapa JF tushakua na thread kuhusu what called"Famous people with their QUOTERS" Naomba tupate QUOTERS za kujenga toka kwenu wana JF zenye kujenga na kuzitafakari katika maisha kwasababu naamini mnazo, nataka nizipate toka kwenu.
Mimi naanza Yangu"Kutoka sifuri mpaka mafanikio inawezekana ukiweka Juhudi, hakuna Muujiza katika Mafanikio,pambana,tunza kumbukumbu zako zikupe mwelekeo wako kama ni hasara au faida katika uyafanyayo"