Ona huyu naye. sijui ndo ameanzisha mada gani. Umenikwaza sana.
pooooleee bt mbona yupo ryt. nn shidaaa au yanakusumbua???
Ona huyu naye. sijui ndo ameanzisha mada gani. Umenikwaza sana.
Ahhh mimi ni mfuasi wa Yesu kwa kupitia Prophet Muhammad sio kina Paul.Mkuu fazaa! jana ile hoja yangu ya kuwakumbuka sabato masalia! mods wameitoa bana..sijui ilikuwa inamakosa gani..nilitaka kufahamu kuhusu kundi la YESU NI JIBU...
Ahhh mimi ni mfuasi wa Yesu kwa kupitia Prophet Muhammad sio kina Paul.
Si unaju mimi huwa simpingi Yesu, mana alisha sema Yeye kaja kwa Kondoo tu wa kiyahudi, nikimpinga takuwa simfuasi wake :biggrin1:Fantastic! mkuu nimeipenda sana hii. naomba unipe hayo maarifa vizur, na kuna weng sana huku watanufaika na hyo elimu. maza 1 aliwah nidokezea hii
Certainly!Ngoswe hiyo!
Ona huyu naye. sijui ndo ameanzisha mada gani. Umenikwaza sana.