LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
- Thread starter
- #1,001
usinifanyie hivyo mkuu tafadhali sana wambie wastop naweka vitu hata ikiwa mida ya wanga nitajitahidi kuweka mambo.ili kesho week end iwe nzuri kwenuLege usipowek leo nakushtakia kwa wachawi na walozi wote wakiongozwa na Mshana jr wakutoe busha tu maana hamna namna sasa. Ntapita hapa saa mbili usiku kama bado naita kamati yangu