QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake


 
kwa mwenye soft copy ya hiki kitabu, ikiwa kwa PDF itapendeza zaidi, naomba tuwasiliane maana mpangilio wa humu nimeshindwa kuuelewa kabisa, unatia uvivu kutafuta pages zenye mwendelezo wa stori
 
Najua nimechelewa ila nitarudi tu baadae kikubwa kabisa naomba kwanza Lege unihakikishie usalama wangu kuwa sitakuwa teja kwa simulizi zako.
 
Hii ni bonge ya story na inamafundisho pia... Ikulu ikipata kichaa si tu taifa liko hatarini Bali hata watuzungukao....mojawapo ya dhima ya mwandishi katika literature ni kuangalia jamii na ku bashiri au kutoa bunio ya mambo yajayo.... Kwanye PENIELA & QUEEN MONICA mwandishi amejikita ktk hujuma katika ofisi ya RAIS& SERIKALI kwa ujumla... Hii ni wake-up call kwa viongozi kuishi katika viapo vyao..na kutanguliza uzalendo na utaifa katika kila jambo..na kwa wananchi tuwaangalie viongozi wetu kwa jicho la tatu, tusikubali kila watuambialo bila kuchunguza.. Kwa kuwa we hiyo wao wako radhi nchi iteketee wao waneemeke.. ALBERTOS Kwa wingi wao bungeni na jinsi walivyokuwa watumika kupitisha mishwaada na sheria BUNGENI ni sawa na Wabunge wa CCM sasa bungeni wanavyotumika kupitisha mishwaada kandamizi na isiyo na tija kwa taifa hili..PONGEZI kwa Mwandishi na kwa LEGE & wenzake kwa kuileta
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…