The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Alassane Quttara, ambaye alitangazwa na tume ya uchaguzi ya Ivory Coast kuwa mshindi wa mbio za kiti cha rais, anaongoza taifa hilo akiwa kwenye chumba cha hoteli chenye uwezo wa kuhifadhi dawati moja kutokana na rais anayemaliza muda wake kung'ang'ania madaraka ikulu.
Utawala wa Quttara umechukua ofisi ya meneja wa hoteli amabyo ina mashine na faksi inayotumika kuwasiliana na balozi za nje, viwanja vya mchezo wa gofu vilivyo jirani na hoteli hiyo vinaweza kugeuka kuwa kambi ya askari walioasi kutoka kwenye jeshi linalomtii gbagbo.
My take:Hali hii itaendelea hadi lini huu ung'ang'aniaji wa madaraka kwa marais wa afrika.
Utawala wa Quttara umechukua ofisi ya meneja wa hoteli amabyo ina mashine na faksi inayotumika kuwasiliana na balozi za nje, viwanja vya mchezo wa gofu vilivyo jirani na hoteli hiyo vinaweza kugeuka kuwa kambi ya askari walioasi kutoka kwenye jeshi linalomtii gbagbo.
My take:Hali hii itaendelea hadi lini huu ung'ang'aniaji wa madaraka kwa marais wa afrika.