UTC Senior Member Joined Jun 1, 2010 Posts 133 Reaction score 33 Dec 16, 2010 #41 ...baeleze wahariri wa magazeti ya bongo! Wao ishakuwa kawaida kupindua ukweli...wakati mwingien wakidakia maneno hovyo hovyo!
...baeleze wahariri wa magazeti ya bongo! Wao ishakuwa kawaida kupindua ukweli...wakati mwingien wakidakia maneno hovyo hovyo!
E emiliana hyera Member Joined Mar 17, 2010 Posts 9 Reaction score 0 Dec 16, 2010 #42 duu kweli viongozi wa afrika ni noma kwa ung'ang'anizi, sasa wakipewa mbona hawatekelezi, achia ngazi:redfaces:
duu kweli viongozi wa afrika ni noma kwa ung'ang'anizi, sasa wakipewa mbona hawatekelezi, achia ngazi:redfaces:
Mesh2lover Member Joined Dec 4, 2008 Posts 67 Reaction score 3 Dec 16, 2010 #43 Anaitwa Ouatarra... na sio Quatarra....... attention to details...
The Finest JF-Expert Member Joined Jul 14, 2010 Posts 21,605 Reaction score 6,097 Dec 17, 2010 Thread starter #44 Mesh2lover said: Anaitwa Ouatarra... na sio Quatarra....... attention to details... Click to expand... Lakini si umeelewa
Mesh2lover said: Anaitwa Ouatarra... na sio Quatarra....... attention to details... Click to expand... Lakini si umeelewa