Tukinunua Tumerogwa!
Ni kauli ya Mwanakijiji hiyo!
Haya maduka ndo yaleyaleeeee ya jamaa walewaleee!
...narudia tena..tukinunua humo tumerogwa!
m.......ndivyo ilivyo,mtu akiwekeza bongo wivuuu akipeleka pesa zake New Jersey wivu pia ....sasa mnataka wafanye nini???tupunguze wivu kidoooogooooooo
Hiyo biashara ya pemba CUF na CCM kutokuenda kwenye duka la mwenzake haifanyi kazi bara..Tukinunua Tumerogwa!
Ni kauli ya Mwanakijiji hiyo!
Haya maduka ndo yaleyaleeeee ya jamaa walewaleee!
...narudia tena..tukinunua humo tumerogwa!
Achana na huyu jamaa MP!
Mi nakwambia TUKINUNUA HUMO TUMEROGWA...
nI MADUKA YA KIFISADI HAYA...DONT EVEN GO CLOSE THERE, USIJE UKATAMANI KITU...NA BIBLE INATUAMBIA USIKARIBIE BARAZA YA MWENYE HILA...huh!
Sina tatizo lolote na Manji na mtu yeyote anayewekeza tanzania, at least count me to be one of his loyal customers.
Ila nina tatizo kubwa sana na waTanzania wenzetu wanaotudanganya kwamba mishara yao ni laki 5 wakati total revenue ya mwezi ni milion 10! safari, semina, vikosi kazi, mkutano wa bodi etc.
Tukinunua Tumerogwa!
Ni kauli ya Mwanakijiji hiyo!
Haya maduka ndo yaleyaleeeee ya jamaa walewaleee!
...narudia tena..tukinunua humo tumerogwa!
Hiyo biashara ya pemba CUF na CCM kutokuenda kwenye duka la mwenzake haifanyi kazi bara..
nafikiri ntaenda kuona wanauzaje na wanauza nini?
Sina tatizo lolote na Manji na mtu yeyote anayewekeza tanzania, at least count me to be one of his loyal customers.
Ila nina tatizo kubwa sana na waTanzania wenzetu wanaotudanganya kwamba mishara yao ni laki 5 wakati total revenue ya mwezi ni milion 10! safari, semina, vikosi kazi, mkutano wa bodi etc.
at least tunaona fedha zetu zilipo, tutaambulia japo kodi, ajira, ......... Ikilinganishwa na mijengo yetu iliyopo dubai, afrika kusini, ulaya na marekani.