Quality blocks (matofali) from halaal co ltd....

Quality blocks (matofali) from halaal co ltd....

mkayala

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
555
Reaction score
72
A reputable qualified company located at Tegeta DSM.
We are selling high quality blocks and receiving tenders from clients,at 900 Tsh (5inch) and 1000 Tsh (6inch)...........0764 468 469.
 
Lakini ghali sana na wafanyakazi wenu nyodo zinawazidi
 
Lakini ghali sana na wafanyakazi wenu nyodo zinawazidi

Quality ndio kitu cha msingi,kama unataka za kawaida unatengenezewa kadri ya mahitaji yako!Wafanyakaz wetu ni wakarimu sana,nna uhakika haujafika,NJOO UTAKUBARI,KARIBU.
 
Anaezingatia ubora anajua,KARIBU.
Siyo jibu sahihi, katika biashara kubali kuambiwa ukweli na mara nyingi fuatilia. Matofali ni mengi kama ya kombe jirani. Yenu yenye matundu ni safi sana ila bei na wafanyakazi wenu shida tupu.
 
Weka picha ya tofali na bei, na yale yaliyo na matundu kati vp yapo? Ni bei gani pia?
 
Bei zetu ni 1,200 sh kwa inch 6 plain,na 1,100 kwa inch 5 plain,hizo ndio bei za kuuza.Kwa tofali zenye tundu bado hatujaanza kutengeneza.Ntajitahid niweke picha.KARIBU.
 
Siyo jibu sahihi, katika biashara kubali kuambiwa ukweli na mara nyingi fuatilia. Matofali ni mengi kama ya kombe jirani. Yenu yenye matundu ni safi sana ila bei na wafanyakazi wenu shida tupu.

Asante mkuu,wewe unafahamu site yetu iko wapi?Usiharibu biashara kwa kusingizia vitu kwa kuwa wewe pia unauza,tushindane kwa ubora,KARIBU.
 
Lakini ghali sana na wafanyakazi wenu nyodo zinawazidi

Quality ndio kitu cha msingi,kama unataka za kawaida unatengenezewa kadri ya mahitaji yako!Wafanyakaz wetu ni wakarimu sana,nna uhakika haujafika,NJOO UTAKUBARI,KARIBU.

Anaezingatia ubora anajua,KARIBU.

Asante mkuu,wewe unafahamu site yetu iko wapi?Usiharibu biashara kwa kusingizia vitu kwa kuwa wewe pia unauza,tushindane kwa ubora,KARIBU.
ni kweli naona hii kampuni ina wafanyakazi wenye nyodo maana hata majibu unayo jibu yamejaa dharau!!!
 
ni kweli naona hii kampuni ina wafanyakazi wenye nyodo maana hata majibu unayo jibu yamejaa dharau!!!
Nilifika pale nakujua sana maana nilikuwa natafuta matofali yenye uwazi. Lakini hata wao niliwaeleza makosa yao. Marketing ni shida kwetu waswahili.
 
Nilifika pale nakujua sana maana nilikuwa natafuta matofali yenye uwazi,ila Lakini hata wao niliwaeleza makosa yao. Marketing ni shida kwetu waswahili.

Acha uongo mkuu,mbona nauliza ni wapi unashindwa kusema?Be straight kuwa ni sehemu fulan,lakin nna uhakika haujawah kufika,na had leo hakuna mtu amewah kuuliza matofali ya wazi,sema hapa uumbuke kuwa ni wapi?
 
Hiyo bei ya tofali ni pamoja na kufikisha kwenye site ya ujenzi?
 
Hiyo bei ya tofali ni pamoja na kufikisha kwenye site ya ujenzi?

Hapana mkuu,ni bei ya tofali bila usafiri,kwa kuwa ubora wake uko juu,sio tofali ubuyu,hata mia tisa unapata,ukihitaj hizo pia tunakutengenezea,KARIBU SANA MKUU.
 
Back
Top Bottom