Anayejua vigezo vya afya ni nani ili atuambie kwa undani?
Mkuu kigezo cha umri wamewapa nafasi hadi umri wa miaka 33. so ni muda mrefu sana wametoa ni nafasi za wataalam hapo huajiri ma engeneer, daktari, wanasheria na taaluma zingine unazozifaham.
Anayejua vigezo vya afya ni nani ili atuambie kwa undani?
Mkuu kama una Ukimwi huendi Uafisa Cadet
bunduki haiitaji masters
jamani sie tuliona matatizo ya macho(wavaa miwani) je tunahitajikja huko au?
Je ukiwa na virusi vya ukimwi unaruhusiwa kwenda?
Mkuu kama una Ukimwi huendi Uafisa Cadet
kuoa au kuolewa si issue sema kuzaa itategemea umezaa kwa njia ipi kama ni operasheni utokuwa na bahatina kuoa na kuolewa je + kuzaa?
ha ha ha ha ila JKT jee!!!
Kiongozi unaruhusiwa lakini ukiwa na ukimwi...big NO.
jamani sie tuliona matatizo ya macho(wavaa miwani) je tunahitajikja huko au?
kuhusu afya usiwe muathirika wa ugonjwa wa ukimwi, ucwe na oparesheni, ucwe na disability yeyote ile ambayo itadhuru upigaji kwata na ushikaji bunduki izo ndio major zingine ni minor sema tattoo yeyote ile ya aina yeyote ila sehemu yeyote ile ya mwili haitakiwi kabisa kabisa na wavaa herini kwa wanaumeAnayejua vigezo vya afya ni nani ili atuambie kwa undani?
itategemea uko dependant kiasi gani kwenye miwani