Qatar Nayo Yaibamiza Libya

Qatar Nayo Yaibamiza Libya

Wapeletina wanarusha mawe, waisrael wanajibu kwa vifaru na madege....mbona hawa marekani hawaonei huruma na kuwasaidia kama walibya.......Mwenye macho haambiiwi tazama
 
Wapeletina wanarusha mawe, waisrael wanajibu kwa vifaru na madege....mbona hawa marekani hawaonei huruma na kuwasaidia kama walibya.......Mwenye macho haambiiwi tazama
Hapo umeongea point nzito na wengi hapa wana macho, na wanasoma lakini hawatafahamu...xD
 
Ndio kisa kilichonifanya niwashangae saaana waislamu wa Bongo wakati nchi za hao waislamu wenyewe wanampiga Libya Iran nae kamlaana Gadafi, Qatar ndio hivyo tena, Umoja wa Falme za Kiarabu ulibariki mpango ule sasa hawa watani zangu jana wanaaandaman ujinga gani hata sijui....bytheway, Wa-Libya jana walifanya swala kumuondoa Gadafi
 
Wapeletina wanarusha mawe, waisrael wanajibu kwa vifaru na madege....mbona hawa marekani hawaonei huruma na kuwasaidia kama walibya.......Mwenye macho haambiiwi tazama
Hizo grad missiles zinazorushwa kutokea gaza strip zimetengenezwa kwa mawe?
 
Shule gani hiyo unayozungumzia.Vichwa vyenu ni maji sana.Hata mkisomeshwa hamuelewi kitu.
Jambo lililopo hapa ni kuwa wakristo ni watu majambazi sana na waharibifu wasio na haya.Ni waongo na waporaji wa kimachomacho.
Zile nchi nyingi za kiarabu bado ziko kwenye ukoloni halisi wa Marekani,Ufaransa na Uiengereza kama tulivyo sisi hapa.
Ukisikia Qatar imeamua jambo ni uamuzi wa wenyewe wakristo wakoloni.
Kule ghuba watawala wa kweli wa nchi zao alikuwa Saddam,huyu Gaddafi na Ahmednejad.Wakimalizwa hao hukumu ya Mungu itaamua nani atawale.Tutaanza kuyaona Libya,Misri na Yemen.Ukoloni wa kikristo huko hautarudi tena.

Ndugu uache ushabiki wa simba na yanga. Nadhani wewe unapelekwa tu na upepo, huyo Saddam unayemsifia hujui historia yake? Hujui alikuwa kibaraka wa USA?
Ni Vizuri ukasoma na kuijua siasa ya kimataifa, huwezi kujua undani lakini kikubwa kwenye dunia hii hakuna na hakutakuwa na haki sawa, mwenye nguvu ataongoza siku zote. This time is USA, next may be China then Russia will come back wote watakuwa sawa na utawalaumu tena kama unavyolaumu USA.

Napenda pia kukupa angalizo, Japo mara nyingi waislam wanasema ndugu zetu waislam lakini kamwe hakuna usawa. Uislam wa UAE na wa Bongo ni tofauti kabisa, mimi nipata bahati angalau ya kutembelea hizi nchi ikiwamo Saudi ambayo ni source ya imani lakini wale ni tofauti kabisa, huwasikii kama wenzetu hapa bongo au nchi masikini...eti waislam wenzetu Libya etc....wao wana fight for their life, then mambo mengine yanakuja.

Kwa nini waislam wa Tanzania wasipigie kelele na kufanyia kazi matatizo ya nchi yetu? Mbona kuna waislam hapa nchini wananyanyasika na viongozi wetu, tena hata waislam wenzao, na sio USA? Kwa nini msiwanyooshee hao vidole kwanza ili maisha yetu yawe mazuri then tutakuwa na nguvu ya kutetea wengine walio mbali? Bila ya kuwa na Taifa lenye nguvu unafikiri tunaweza kubadili kitu chochote?
 
tuandamane kuipinga qatar...hii nchi haina dini kabisa
attachment.php
 
Mkuu si unajua mambo ya mheshimiwa tumbo, wengi wanajua Gaddafi akiondoka basi na misaada itakauka. Njaa mbaya sana.
hiki ndio kinachowapa taabu-kama wanaweza wajisafirishe wakamsaidie
 
Ndugu uache ushabiki wa simba na yanga. Nadhani wewe unapelekwa tu na upepo, huyo Saddam unayemsifia hujui historia yake? Hujui alikuwa kibaraka wa USA?
Ni Vizuri ukasoma na kuijua siasa ya kimataifa, huwezi kujua undani lakini kikubwa kwenye dunia hii hakuna na hakutakuwa na haki sawa, mwenye nguvu ataongoza siku zote. This time is USA, next may be China then Russia will come back wote watakuwa sawa na utawalaumu tena kama unavyolaumu USA.

Napenda pia kukupa angalizo, Japo mara nyingi waislam wanasema ndugu zetu waislam lakini kamwe hakuna usawa. Uislam wa UAE na wa Bongo ni tofauti kabisa, mimi nipata bahati angalau ya kutembelea hizi nchi ikiwamo Saudi ambayo ni source ya imani lakini wale ni tofauti kabisa, huwasikii kama wenzetu hapa bongo au nchi masikini...eti waislam wenzetu Libya etc....wao wana fight for their life, then mambo mengine yanakuja.

Kwa nini waislam wa Tanzania wasipigie kelele na kufanyia kazi matatizo ya nchi yetu? Mbona kuna waislam hapa nchini wananyanyasika na viongozi wetu, tena hata waislam wenzao, na sio USA? Kwa nini msiwanyooshee hao vidole kwanza ili maisha yetu yawe mazuri then tutakuwa na nguvu ya kutetea wengine walio mbali? Bila ya kuwa na Taifa lenye nguvu unafikiri tunaweza kubadili kitu chochote?
Ndugu yangu uwache kuwa kipaza sauti cha mabeberu,ni aibu kwa heshima yako.
Ngoja niachane na ngonjera zako za historia ya Saddam ambayo kwa akili yako unaona alikuwa mkosa kuliko USA waliovamia nchi yake na hatimae kumuua.
Kuhusiana na uislamu wa Saudia na Tanzania nakuonya usijipe mamlaka ya kutaka kuwatungia na kuwachagulia waislamu aina ya uislamu unaoutaka wewe.Kutembelea kwako nchi za Arabuni kamwe hakukupi mamlaka hayo.Na kwa jinsi ulivyo wala huwezi kukutana na watu watakaokuonesha uislamu hasa ni upi.Mbona sisi tukienda hatupati hiyo picha unayoisema wewe?.
Kuhusiana na hali zetu Tanzania inaelekea upo kwenye usingizi mzito,vyenginevyo unachozungumzia huko makini nacho.Angalia jinsi waislamu tunavyopinga mfumo kristo nchini ambao ndio unaokumbatia ufisadi na dhulma.Hivi hujui kwamba matatizo yetu makubwa yameletwa na mabilioni ya fedha zetu zinazokombwa na kanisa?.
 
............. kwa nini tusikushangae wewe !? ........... ndani ya nafsi yako unaamini kabisa kuwa Wa Amerika wana mapenzi ya dhati na Walibya ? kwa nini watu wa "Msalaba" ndio mabingwa wa kuhangaika na Waarabu na Uislaam ? katika dunia hii wanafiki na vibaraka huishi kutegemea fadhila za mabwana zao, na wanaujasiri wa kutekeleza matakwa ya bwana zao bila kuhoji ! ................. Iraq walizipata silaha za maangamizi ? ............. Wapalestina wanarusha mawe, Waisraeli wanarusha ndege na kupiga mizinga kwa vifaru (Tanks) na hakuna azimio hata moja la UN Muisraeli amewahi kuliheshimu, nani anapaswa kulindwa hapo !
Kwanza unatakiwa kufahamu Israel ni nchi kihalali kabsa-na kulingana na imani yangu pia israel ni nchi(soma Joshua 1.1-18)na kwa sababu hii ndo maana hakuna nchi inayomlaumu israel-hao wanamtupia lawama hawajui historia vizur-wapalestina si kwao pale-
Pili-wamerekani wanahangaika na waarabu-si uislamu-sema imetokea idadi kubwa ya waarabu ni waslam-lakini si kwamba wanadili na uslamu-mbona zaman marekani walikuwa wakipgana na vietnam,korea n.k ambao weng ni wa budha-so uantaka tuseme walikuwa wanapigana na ubudha?
 
Ndugu yangu uwache kuwa kipaza sauti cha mabeberu,ni aibu kwa heshima yako.
Ngoja niachane na ngonjera zako za historia ya Saddam ambayo kwa akili yako unaona alikuwa mkosa kuliko USA waliovamia nchi yake na hatimae kumuua.
Kuhusiana na uislamu wa Saudia na Tanzania nakuonya usijipe mamlaka ya kutaka kuwatungia na kuwachagulia waislamu aina ya uislamu unaoutaka wewe.Kutembelea kwako nchi za Arabuni kamwe hakukupi mamlaka hayo.Na kwa jinsi ulivyo wala huwezi kukutana na watu watakaokuonesha uislamu hasa ni upi.Mbona sisi tukienda hatupati hiyo picha unayoisema wewe?.
Kuhusiana na hali zetu Tanzania inaelekea upo kwenye usingizi mzito,vyenginevyo unachozungumzia huko makini nacho.Angalia jinsi waislamu tunavyopinga mfumo kristo nchini ambao ndio unaokumbatia ufisadi na dhulma.Hivi hujui kwamba matatizo yetu makubwa yameletwa na mabilioni ya fedha zetu zinazokombwa na kanisa?.
hapo kwenye red-unauhakika na hicho unachosema-au unafwata mafundisho ya walimu wako wa dini walokueleza hivyo?
je hawa yemen,tunisia,egypt n.k ambao waliandamana na wengine wanaandamana mpaka sasa kwa sababu ya matatzo nayo yaliletwa na kanisa?
mtakuwa mnapinga mfumo kristo-ila hamtaweza kuutoa maana ndo mfumo wa dunia-labda mjitoe kwenye hii dunia ndo manweza kufuata mfumo wenu-hatuwez leo hii kurud miaka ya 1000 na kitu-wakati watu wapo 2011
Tafuta sources usome kwa nini tz haindelei-utoe hio sumu ulionayo
 
hapo kwenye red-unauhakika na hicho unachosema-au unafwata mafundisho ya walimu wako wa dini walokueleza hivyo?
je hawa yemen,tunisia,egypt n.k ambao waliandamana na wengine wanaandamana mpaka sasa kwa sababu ya matatzo nayo yaliletwa na kanisa?
mtakuwa mnapinga mfumo kristo-ila hamtaweza kuutoa maana ndo mfumo wa dunia-labda mjitoe kwenye hii dunia ndo manweza kufuata mfumo wenu-hatuwez leo hii kurud miaka ya 1000 na kitu-wakati watu wapo 2011
Tafuta sources usome kwa nini tz haindelei-utoe hio sumu ulionayo

Kuhusu hili walimu wangu hawawezi kuwa na jibu la uhakika kuliko raisi wetu na walinzi wa hazina ya taifa.Juzi raisi aliposhiriki kusimikwa kwa askofu huko Dodoma alisema jumla ya sh.bilioni 112 zimeshalipwa kwa kanisa katika mwaka uliopita na nyengine zitaongezwa kwenye bajeti ijayo.Unadhani matatizo yetu yataondoka kwa ufisadi wa namna hii.
Edwaarad utakuwa wa maana kama utazungumzia mambo unayoyaelewa vizuri.Hili la lini mfumo kristo utaondoka bora kaa kimya tu.Muhimu ni kwamba waislamu wa Tanzania hawakulala kama wenzako walivyoashiria.Wanaona ya Libya,Yemen na hata Afghanistan ni kitu kimoja na ya kwao.
 
Kuhusu hili walimu wangu hawawezi kuwa na jibu la uhakika kuliko raisi wetu na walinzi wa hazina ya taifa.Juzi raisi aliposhiriki kusimikwa kwa askofu huko Dodoma alisema jumla ya sh.bilioni 112 zimeshalipwa kwa kanisa katika mwaka uliopita na nyengine zitaongezwa kwenye bajeti ijayo.Unadhani matatizo yetu yataondoka kwa ufisadi wa namna hii.
Edwaarad utakuwa wa maana kama utazungumzia mambo unayoyaelewa vizuri.Hili la lini mfumo kristo utaondoka bora kaa kimya tu.Muhimu ni kwamba waislamu wa Tanzania hawakulala kama wenzako walivyoashiria.Wanaona ya Libya,Yemen na hata Afghanistan ni kitu kimoja na ya kwao.
Ami-naweza kuwa ninayaelewa vizuri zaid yako-hizo bilion 112 zilizolipwa kwa kanisa umefwatilia ni za nini?na serikali imelipa kwa nini?tambuakuwa serikali intumia vitu vingi vya kanisa ndo maana lazima wawalipe hizo hela
 
Haya basi next Friday wbongo waandamane tena kuilaani Qatar pia. Sio kuandamana kuipinga US pekee.
Halafu mbali ya kuandamana ingetangazwa na maimamu woote hapo Dar wawaambie wabongo wote wenye ndugu jamaa na marafiki wanaoishi USA, UK, Denmark, Dubai (UAE), Canada na nchi zoote zilizohusika kwenye uvamizi wa Libya warudi nyumbani. Waislamu wote wabongo wanaoishi nchi hizi waondoke asap.Msusie hela zote mnazotumiwa via Moneygram na Western Union toka kwa jamaa zenu wanaoishi ktk nchi hizo. La sivyo ndio yale yale baniani mbaya......tuache unafiki na kufuata mkumbo

kweli we ni vuvuzela. No dought
 
Siku itafika ambapo kila mmoja atajuta kuzaliwa,ma tomahawk,tornado ma typhoon yatatandika vibaya na watu mtapiga kimyaaaaa
shauri yenu,libya kupigwa ni kutokana na kiburi cha gaddafi kwani yeye rais wa maisha? wananchi hawamtaki hata kama amewafanyia mambo mazuri,sasa hataki kuondoka na badala yake anawabamiza kwa ndege heee ngoja aione sasa!
 
...................... Wataalikana Mataifa kuwapiga waislamu kama wanavyoalikana watu kwenye sahani ya chakula........... Hii ni bishara ya Mtume (S.A.W) Na ni haya mambo yanayotokea. Ndio maana unaona watu wanashabikia kupigwa kwa waislamu. Lakini nashtuka ninapoyakumbuka maneno haya ya Allah (S.W) YALIYOMO VIFUANI MWAO NI MABAYA ZAIDI KULIKO WANAYOYADHIHIRISHA. Binadamu waovu ninyi sijui mmeficha nini kwenye vifua vyenu.
 
Nina Swali mija Tu kuhusu Hii Thread. Hivi Nchi inayoongoza Operations Hizo Nchini Libya Ni Marekani? Au Marekani tu ndo iko kwenye hizo Operations? Mnawaandama wamarekani sana!!! Mbona Hamuulaumu uongozi wa nchi yenu kwa kuwanyanyasa wananchi huku wakidai Maisha Bora kwa Kila mTZ? Fungueni akili zenu! Yesu Alisema'Ondoa Kibanzi Jichoni mwako, kisha Uona Kuondoa Boriti ndani Ya Jicho La Mwenzio!" Mnataka Kuipigania Libya wakati mmeshindwa kuyapigania maisha yenu? What a shame!!!!

01.jpg



povertyreductiontanzania.jpg



7.-topic-children-in-poverty-p10-web.jpg


MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA-J.K:bounce::bounce:
 
Ami-naweza kuwa ninayaelewa vizuri zaid yako-hizo bilion 112 zilizolipwa kwa kanisa umefwatilia ni za nini?na serikali imelipa kwa nini?tambuakuwa serikali intumia vitu vingi vya kanisa ndo maana lazima wawalipe hizo hela

Ni yale yale niliyosema awali!.Usomi wenu ni kazi bure,hauwafai wenyewe wala mwengine yeyote.
Serikali yenye vitega uchumi tele mpaka vyengine vinafanyiwa ufisadi ina haja gani ya kutumia vitu vya kanisa?.Ikifanya hivyo ni kwa kujuwa kuwa ni vyake.Si yenyewe ndiyo iliyotoa pesa kuvinunua na kuvianzisha!.
Afadhali waislamu tuna Ghadhafi,Saudia na wengineo.Hata ikiwa ni makombo waliyokula pamoja na Amerika,US na waroho wengine tukipewa tunapata pa kuhemea.Ha ! nyinyi wakristo nani atawaletea na Vatican hakuoti hata muhogo.
Ukiona vitu vya kanisa ni vingi basi ujuwe pamepita ujambazi mwingi kuvipata kama huo wa kunyan'ganya bila haya kutoka hazina za taifa.Hapa kwetu na kwa wenzetu.
 
Ni yale yale niliyosema awali!.Usomi wenu ni kazi bure,hauwafai wenyewe wala mwengine yeyote.
Serikali yenye vitega uchumi tele mpaka vyengine vinafanyiwa ufisadi ina haja gani ya kutumia vitu vya kanisa?.Ikifanya hivyo ni kwa kujuwa kuwa ni vyake.Si yenyewe ndiyo iliyotoa pesa kuvinunua na kuvianzisha!.
Afadhali waislamu tuna Ghadhafi,Saudia na wengineo.Hata ikiwa ni makombo waliyokula pamoja na Amerika,US na waroho wengine tukipewa tunapata pa kuhemea.Ha ! nyinyi wakristo nani atawaletea na Vatican hakuoti hata muhogo.
Ukiona vitu vya kanisa ni vingi basi ujuwe pamepita ujambazi mwingi kuvipata kama huo wa kunyan'ganya bila haya kutoka hazina za taifa.Hapa kwetu na kwa wenzetu.
vitu nya kanisa ni vingi saana-mfano mdogo sana ambao naweza kupa-wilaya ya muheza haina hospital ya wilaya-serikali inatumia hospital ya kanisa kama ya wilaya na kuwalipa wafanyakazi wake wote ambao ajira zao zpo kwa kanisa
Gaddaf-mnatakiwa mumsahau maana ndo mwisho wake umefika sasa-hio misaada imebaki kama historia yake kwenu
Wakristo tupo na hao wamerecani-ndo maana marecan wanakitu kinaitwa islamophobia-ingekua hawapo upande wa wakristo huu ugonjwa wasingeupata
HAKUNA ATAKAYE WEZA BADILISHA MFUMO KRISTO-NAZANI HATA NCHI KAMA IRAQ AMBAO HAUKUWEPO SASA UPO,LIBYA UTAKUWEPO MUDA SI MREFU KUANZIA SASA-KUMEBAKI IRAN-WAO WASUBIRIE MIAKA MICHACHE IJAO NAO WATAFANYIWA HIVI WANVYOFANYIWA WENZAO SASA NA WATATUMIA MFUMO KRISTO BILA KUPENDA
 
kweli we ni vuvuzela. No dought

Umenena! Mimi yangu macho, na Serikali yetu ilivyo ya ajabu utaona, itatoa kibali cha maandamano hayo pasipo kuona kwamba hilo ni bonge la aibu! Nchi hii ina vtuko jamani! Nchi za kiarabu hazijaandamana lakini sisi mh!!! Hatuna kazi tumechoka kukaa vijiweni na kunywa Ghahawa na Kashata!! Kweli Kikwete ana watu wa kujivunia Kimataifa! Kumbe ndo maana haachi kusafiri! Anajivunia watu wa namna hii kuliko hata Tanzanite na Mbuga za wanyama:
Nimechoka:
 
Back
Top Bottom