Mbona wanauawa Viongozi wa siasa?tunakosea sana kuingiza siasa katika mauaji haya....
Mpigie simu umuulize Kama taarifa anayo au laaaKila yanapotokea haya mauaji tunapata taarifa, lakini kamanda wa eneo husika anakuwa hana taarifa.
Wakimbie....Wakishasikia milio ya risasi halafu ndio wafanye nini?
Wakimbie....
Ameshasema hana, au hujasoma bandiko kuu?Mpigie simu umuulize Kama taarifa anayo au laaa
Mkuu kwajinsi inavyo onekana huwezi wasogelea hawa watu maana hawapotezi risasi wana shabaha sana sidhani ata askari aliyepewa mafunzo akisha jua uwezo wa adui katika kulenga hawezisogea kizembe maana lazima adui ata kupoteza!!!Kama kuna watu waliona akijitetea ina maana hawakumtambua muuaji hata mmoja, haya mambo ni ya kufukirisha sana.
Nina wasiwasi huko ndio tunakoelekea.Kushindwa kudhibiti ulinzi katika mkoa mmoja kwa jeshi la ulinzi ni aibu sana.
What if haya mambo yangekuwa all over the country?
Hali inaogopesha sasa tutafanyaje Tayari IGP ameshaongea na wazee wa Kule basi waandike barua za Madai yao kama Alquida au Alshabab tujue wanataka nini?
Ni Ngumu Kukisia wauaji wa Kibiti/Ikwiriri wanataka nini? Ukizingatia serikali huwa haiendi kwa Waganga wa Kienyeji.
Toeni Mikanda ya Video mtueleze mnataka nini?
View attachment 522636