Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Basi la Kampuni ya MANING NICE ambalo lililokuwa linafanya safari zake kutoka Mtwara kwenda Morogoro, limepata ajali ya kupinduka maeneo ya Kisevule karibu na kiwanda cha Cement mchana wa leo, hakuna vifo vilivyoripotiwa kwa sasa. Taarifa zaidi ya ajali hiyo tutawataarifu kadri tutakavyopata kutoka kwa mamlaka husika.