Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,498
- 1,297
Aisee bampa to bampa, walale walipo jichagulia
Wale walemavu waliwapiga kama sio binadamu vile
Bahati tao mimi siyo Magu. Ningeenda huko kuchukua wanawake wote nipeleke segerea halafu niwaambie wataje wauaji bila hivo wauaji ambao ni wanaume wao hawatawaona tena. Ningewaweka pazuri ila genye zingefanya wataje tu na wakiwaza watoto na waume zao wasio nahatia nakuambia ni siku moja tu wangetajwa woooote. Nisingejali kelele za Kijobisimba.The United Republic of Kibiti and Mkuranga.
Muda mfupi uliopita askari polisi wawili wa kikosi cha usalama Barabarani Bungu, Kibiti wamepigwa risasi na kufa papo hapo wakiwa kazini eneo kati ya Bungu na Jaribu! Walikuwa watatu, mmoja wa kike kasalimika.
Watu wasiojulikana wamemuua askari wa Usalama Barabarani katika Kijiji cha Bungu B wilayani Kibiti, mchana huu.
Taarifa za kuaminika zilizolifikia gazeti hili zimeeleza kuwa gari la askari hao pia limechomwa moto na kwa sasa vikosi vya ulinzi na usalama vinaelekea eneo la tukio.
Mbali na kupigwa risasi, pia watu hao wamechoma moto gari moja na pikipiki moja za askari hao kisha kutokomea kusikojulikana.
Hata hawa wanaonyanyasa wapinzani hawasemi wanataka niniKwanini hawa jamaa hawatoi sababu....shida yao nini..
Mbona wenzao al shaabab na boko haram madai yao yanajulikana..
Hawa kenge wanaua tu..
Wapuuzi sana.
Wakimbizi wa polisi na wafanyakazi wa serikali?Muda sio mrefu tutaskia Pwani kwa mara ya kwanza inatoa wakimbizi wasipokua serious wawajibikaji.,, Magufuli si yuko hukohuko now??
Haya thatha Siro ukwende kuwajibika huko...!!
Hili ni Tatizo lingine tena mkuu.Kauli za rais wetu nazo zimejaa vitisho tu jana nimeskia anawalaum kibiti kuwa hawana viwanda kisa wanauana wenyewe kwa wenyewe rais yeye ana uhakika gani kama hao wanao waua watu huko kibiti ni wazaliwa wa kibiti ama ni raia wa tanzania? Kitendo cha kuwachukulia wakaazi wa kibiti wote kama wauaji sio busara!
Kila mtu ana mtazamo wake,mlemavu alopigwa juzi unadhan atakua na huzuni?Invisible thread kama hizi sio za mtu kubonyeza "like" ongezeni options za sad, hate, love ili ziendane ama zioane na uzito wa taarifa husika.
Kwanini tuna click button ya like wakati hizi ni taarifa za kuhuzunisha?
Umewaona?C kuna jwtz uko wamenda kumaliza tatizo au