Pwani: Askari Polisi agoma kusema CCM oyee. Afukuzwa kwenye mkutano na kiongozi wa CCM, aambiwa atakiona

Are you crazy? Umeiangalia hiyo clip au unajitoa ufahamu tu? Being an asshole has become a new norm to some you these days, you belong there fulltime.
Mwambie swn huyo.....
 
Tatizo liko wapo grand father?
 
Mtu akitaka Kujua Mwisho wa CCM umekaribia Asome Tu comments za Kwenye Hii Thread..iDs Very Genuine na Mawazo Yanaeleweka ni TakaTaka Chache Tu Zimejaribu Kuvamia Uzi Lakini Zimechezea Ngumi za Pua.
 
Yaani CCM wanataka kutuaminisha tunaishi kwa fadhila zao?
Wana CCM wengi ni vilaza wao huamini hata ujenzi wa reli viwanja vya ndege kununua ndege ni Fadhila hawajuia kuwa zile ni pesa za walipa kodi wote nchini ambao idadi kubwa siyo wanachama wa CCM
 
very sorry !
CCM hata sheria walizotunga wenyewe hawaziheshimu..
Code of Ethics and conduct zimeweka wazi umarufuku wa askari kuwa mwanachama wa chama chochote..
Lakini serikali ya CCM hupokea kodi kutoka kwa wapinzani na kwa Ccm wachache, kwa nini askari wasiwajibike kwa wapinzani kwa mantiki hiyo..
Wanaolipa mishahara ni wananchi kupitia kodi zao, CCM ni wajanja tu wanaoishi kwa kodi hizo..
Sasa kuna haja ya kupitisha sheria ili askari wawajibike kwa vyama vya siasa vyote kwani vyote vinalipa kodi zinazotumika kulipa mishahara..
eg ivi pombe hela ya kula anapata wapi nje ya kodi zetu ?
 
Dah...nimejisikia vibaya sana kwa udharirishaji aliofanyiwa huyu askari.
Live bila chenga nauona mwanzo wa mwisho wa hili genge ccm, na kwa vile hawana uzoefu wa kufanya siasa bila mbeleko ya vyombo vya dola basi ndiyo itakuwa kaburi la genge hili hatari kwa ustawi na umoja wa Taifa letu.
Safi pot.. unyanyembe sio miaka hii
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amempongeza askari polisi mkoani Pwani aliyegoma kutumia salamu za chama hicho tawala nchini kwa maelezo kuwa ni kinyume na maadili ya kazi yake #MwananchiUpdates https://t.co/K6wbfhRBod
 
Watu dizaini ya igp huyu wanaishiaga kubaya sana baada ya utawala kubadilika
 
Hapa chini ni video ikimuonyesha askari wa jeshi la polisi akikataa kusurutishwa kukubali utumwa kutoka kwa viongozi wa ccm.

Amejieleza vya kutosha na akasimamia maadili ya kazi yake na hakuogopa hata pale alipo tishwa na viongozi wa ccm.

Hawa ndiyo aina ya askari taifa linawahitaji ktk kusimamia haki.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…