kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,029
- 6,559
Mwambie swn huyo.....Are you crazy? Umeiangalia hiyo clip au unajitoa ufahamu tu? Being an asshole has become a new norm to some you these days, you belong there fulltime.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie swn huyo.....Are you crazy? Umeiangalia hiyo clip au unajitoa ufahamu tu? Being an asshole has become a new norm to some you these days, you belong there fulltime.
Babu kama hapo hujaona shida basi jua wewe ndo shida...hahahahahaKwani bibi hapo kuna shida gani?
Wewe kibibi acha fujoBabu kama hapo hujaona shida basi jua wewe ndo shida...hahahahaha
Tatizo liko wapo grand father?Mkuu kwa akili zako ili askari awepo kazini lazima awe amevaa sare...or awe yupo kituoni????...askari yupo kazini muda wote na kikawaida hata wewe hapo mtaani kwenu mnaweza mkawa na mkutano wa mtaa na mnaruhusiwa kumuomba askari yoyote aje kwenye mkutano wenu kama kuna jambo mnahitaji lipate ufafanuzi kutoka kwenye vyombo vya usalama
Tatizo lipo wewe kuuliza kama askari alikuwa kazini??...ndo nikajaribu kukupa elimu ya bure kuwa askari mda wote yupo kaziniTatizo liko wapo grand father?
Huyo ni zaidi ya mwehu , huyo ni taahira mwenye mtindio wa ubongo tangu kazaliwaKwenye ujinga haupo kwenye upumbavu haupo! Wewe ni mwehu!
wakati wote mkuu hatuwezi kufanana mawazo mawazo yao nayo tuyapokee tu ah ah
Wana CCM wengi ni vilaza wao huamini hata ujenzi wa reli viwanja vya ndege kununua ndege ni Fadhila hawajuia kuwa zile ni pesa za walipa kodi wote nchini ambao idadi kubwa siyo wanachama wa CCMYaani CCM wanataka kutuaminisha tunaishi kwa fadhila zao?
Wanajua chochote anachofanya magufuli ni fadhila na ile ni pesa yake binafsiYaani CCM wanataka kutuaminisha tunaishi kwa fadhila zao?
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amempongeza askari polisi mkoani Pwani aliyegoma kutumia salamu za chama hicho tawala nchini kwa maelezo kuwa ni kinyume na maadili ya kazi yake #MwananchiUpdates https://t.co/K6wbfhRBodMbona hao Ccm hua hawafokei wanajeshi?
Dah...nimejisikia vibaya sana kwa udharirishaji aliofanyiwa huyu askari.
Live bila chenga nauona mwanzo wa mwisho wa hili genge ccm, na kwa vile hawana uzoefu wa kufanya siasa bila mbeleko ya vyombo vya dola basi ndiyo itakuwa kaburi la genge hili hatari kwa ustawi na umoja wa Taifa letu.
Hawa ndiyo watu wanahitajika ktk jamii watu wanaosimama ktk ukweli pasipo kuyumbishwa na yoyote
Huyo MNEC ana tatizo eti huyo nani, ana cheo gani, limeisha hilo anafanya intimidation za kipuuzi lkn ashukuriwe huyo koplo kwa kutoogopa kusimamia anachokiamini
Aiseee ukisikia top down effect ndiyo hii.
Kinachofanyika juu kinashuka na kuigwa chini, WE ARE DOOMED, it is just a matter of time TUNAENDA KUSAMBARATIKA KABISA,
Angalia hii video kwa makini ujionee na usikie mwenyewe,sitashangaa kusikia huyo askari katoweshwa au kachukuliwa hatua kali kwa maelekezo fulani.
View attachment 1181707
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amempongeza askari polisi mkoani Pwani aliyegoma kutumia salamu za chama hicho tawala nchini kwa maelezo kuwa ni kinyume na maadili ya kazi yake #MwananchiUpdates https://t.co/K6wbfhRBodSafi pot.. unyanyembe sio miaka hii
Watu dizaini ya igp huyu wanaishiaga kubaya sana baada ya utawala kubadilikaPolisi munaona mnaowabeba jinsi wanavyo wadharau?
IGP unaitwa majina ya hovyo kwa vile umeruhusu hali hii ishike kasi bila kuikemea.
Zamani nilikuwa nafikiri IGP Mangu ndio alikuwa lainilaini kumbe nilikosea wewe wa sasa sio tuu ni lainilaini bali hawa tuviongozi wa ccm wanakuona mdebwedo kabisa.
Kitendo cha RPC wa Arusha (yule msindikiza dhahabu wa Mwanza) kujikomba kwenye mkutano wa CCM nilijuwa lazima kitaleta madhara makubwa, ona Leo kimekuwa reference ya nini polisi afanye kwa wanasiasa wachovu.
Kama IGP hatoi tamko kwenye hili kweli atakuwa mdebwedo hasa