nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
- Thread starter
- #221
angalia nyuma hapo ni kituo cha polisi wako kwa nje
Wamejipeleka wenyewe hapo walipo kama wangekua wanatenda haki hakuna ambae angewaona si chochote. Ila matendo yao yamewafanya wafanyakazi wa CCM kuona kama ni tawi lao.