Puuzeni huu Uzushi Rais Museveni na Mkuu wa Majeshi wa Uganda Gen Kainerugaba ninaowafahamu hawawezi kufanya kile kilichoenezwa na Wachochezi Majuha

Puuzeni huu Uzushi Rais Museveni na Mkuu wa Majeshi wa Uganda Gen Kainerugaba ninaowafahamu hawawezi kufanya kile kilichoenezwa na Wachochezi Majuha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,006
Reaction score
126,388
Kama kuna Kitu ambacho Rais wa Uganda Yoweri Kagua Museveni na Mkuu wa Majeshi wa Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba hawataki kukifanya na kamwe hawatokuja kukifanya Abadan ni kuikosea Adabu Tanzania ambayo kwa 95% Jeshi lake la JWTZ (TPDF) ndiyo limehusika kutoa Mafunzo kwa 80% ya Wanajeshi wengi wa Uganda tokea mwaka 1986 na hata baadhi ya Maofisa (Wakufunzi) wake kuendelea Kufundisha maeneo fulani fulani Askari wa Uganda wa UPDF.

Hakuna Wanajeshi wowote wa Uganda (UPDF) waliotumwa nchi ya Tanzania kutekeleza jambo lolote lile. Nimemaliza.
 
Hakuna jeshi lililoingia..
Kadri tarehe 29 inavokaribia, mnatapa tapa tu majini
 
Museveni anatoa ushirikiano kwa sababu wananchi wa Tanzania wakifanikiwa kuitoa serikali iliyopo wanaofuatia ni Uganda.Wananchi wa Uganda wengi hawamtaki Museveni, watapata hamasa kubwa kuiangusha serikali ya Museveni.

Kinachokwenda tokea Tanzania kina impact kwa nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom