Putin asitisha Mashambulizi Syria

Putin asitisha Mashambulizi Syria

1.ISIS iko kwenye Defensive mode wala siyo kwenye Offensive mode tena.
2. Anashinikiza maamuzi ya wa Syria yasikilizwe bila influence za nje kwa kujitolea mfano.
3. Anaua mbinu za wachota fedha huko Hazina ya US kwa kisingizio cha kujilinda na Russia. Sasa wataulizwa ela za nini tena wakati tayari Russia mwenyewe anajiondoa taratibu?
4. Ameweka mfumo imara wa kukagua kinachoendelea ndani ya Syria na kuliwezesha jeshi la Syria kusimamia masuala ya ulinzi ya nchi hiyo.
Sababu zipo kibao

Mkuu wewe umejieleza vizuri kwa uchambuzi uliyo tukuka, hapa watajitokeza ma prophet of doom kwa nadhalia za kuchonga tu!!!!
 
Nadhani Putin aliposema objectives ya ile vita imekamilika, ni watu wachache sana ambao watakuwa wamemuelewa.

Hizi ni baadhi ya objectives:

1. Kusukuma wakimbizi wengi wa kiarabu bara la ulaya. Hii inapelekea vitu vifuatavyo (a) mzigo kwa ulaya kuwahudumia hao wakimbizi. (b) Security concern kwa nchi za ulaya. Kwa mfano leo hii huko Berlin gari ndogo lililokuwa na Bomu limelipuka katikati ya mji na mtu mmoja amefaliki. Kwa hiyo terrorism itapamba moto ndani ya ulaya.

2. Russia alikuwa ana text makombora yake. Kwa mfano kama mtakumbuka alikuwa anapiga zile Ballistic Missiles kutoka Mediterranean sea, zinavuka Iran, Iraq na zinapiga Syria, umbali wa 1448 km.

3. Sasa hivi Assad amesharudisha sehemu kubwa ya nchi yake na baada ya cease fire agreement hao waasi hawawezi tena kumshambulia wala kusonga Mbele.

4. Russia amefanya yote haya kumkomoa Europe na US kwa zile sanctions zao. Kwa mfano US wamefadhiri hao waasi ambao kwa sasa hawawezi tena kumfanya chochote Assad. Kwa hiyo US hapa amesha fail.
But Lebanon Haipo Salama, Iraq imeanza operation ya kukomboa Mosul mji wa Mpakani, Hii ni operation ambayo itaifanya Iraq na Wakurd Kuchukua eneo kubwa la Iraq na Sryia. Unaponiambia Assad amekomboa maeneo makubwa si kweli, Russia alienda Kulinda Vituo vyake vya Kijeshi, kama asinge ingia wakati ule Assad asingekuwepo, Na ndio maana wamepropose Federation Syria..
 
Nilishasema Mrusi ameanza kuonyesha dalili za kuhema.
Yeye hana petro dollar ya kumwezesha kutamba hii dunia kama afanyavyo Marekani. Lakini hata hivyo nampa hongera kwa kuwapiga makombora hawa mazombi, nilipenda sana lile shambulizi lake la inter-continental ballistic. Tatizo haya mazombi ya kinguruwe yanazidi kuzaliwa kila siku na hayataisha hata ukipiga vipi.

Hata turudi kwa bwana wetu Marekani atoe mwongozo wa nini cha kufanya.
Tatizo dunia inaendekeza what so called Human Rights, Hawa unaua kuanzia mtoto aliyezaliwa leo hadi kikongwe.
 
Tatizo dunia inaendekeza what so called Human Rights, Hawa unaua kuanzia mtoto aliyezaliwa leo hadi kikongwe.
Kha.....we jamaa una roho ngum....had mtoto?!....sasa utajuaje km huyo baadae may be anaweza akawa shekhe na sio gaid
 
But Lebanon Haipo Salama, Iraq imeanza operation ya kukomboa Mosul mji wa Mpakani, Hii ni operation ambayo itaifanya Iraq na Wakurd Kuchukua eneo kubwa la Iraq na Sryia. Unaponiambia Assad amekomboa maeneo makubwa si kweli, Russia alienda Kulinda Vituo vyake vya Kijeshi, kama asinge ingia wakati ule Assad asingekuwepo, Na ndio maana wamepropose Federation Syria..
Mkuu

Ngoja nikuanzie mbali kidogo.

Wakati ule wa uprising ya Ukraine ambayo ilianzishwa na kuchochewa na US, Putin kwa Mara ya kwanza alionekana kama anaangalia tu vile. Lakini mwishoni alipofanya surprise annexation ya Crimea (part of Ukraine), ile move iliwaacha hoi sana hao US kwani hawakuitegemea na Putin hakuishia hapo akasapoti kujitenga kwa Donetsk regions. Ile move ilimfanya Obama aonekane mjina kabisa. It was clear checkmate.

Kuhusu Syria war, hiyo vita imeanzishwa na hao hao US. Objective kubwa ya US ilikuwa ni kumtoa Assad madarakani. Sasa jiulize je ametoka? Sasa kama hajatoka basi US objective has failed.

Sasa kuhusu Syria, Putin alichofanya ni kuikomesha Europe kwa ku fuel wakimbizi. Na ndio maana alikuwa anapiga mabomu usiku kucha. Je, umeshajiuliza kwa nini terrorism imeongezeka Europe now? (French na jana Berlin wamelipua).

Putin ameshasema US haiwezi kui Subdue Russians, je unaelewa maana yake? Maana yake ni kwamba kwa mfano kwenye huu mgogoro wa Syria, baada ya Russians kuingia militarily US alikuwa anavizia Russians waendelee kupambana na hao terrorists (ambao ni wa US), sasa hii suddenly withdrew ya Russians plus peace accord inawalazimu US awatulize hao terrorists wake, jukumu ambalo US alikuwa anavizia Russians wafanye kupitia vita.

Sasa hivi:

cease file ipo in place.
Assad bado yupo madarakani. Miguu juu anapumua sasa.
Assad hashambuliwi tene
US terrorists hawa advance tena
Uchaguzi utafanyika na Assad atashinda
Terrorists wameamia Europe
Europe anapambana na kutunza wakimbizi.
Russians Military training exercise imefanyika katika real world.
 
Mkuu

Ngoja nikuanzie mbali kidogo.

Wakati ule wa uprising ya Ukraine ambayo ilianzishwa na kuchochewa na US, Putin kwa Mara ya kwanza alionekana kama anaangalia tu vile. Lakini mwishoni alipofanya surprise annexation ya Crimea (part of Ukraine), ile move iliwaacha hoi sana hao US kwani hawakuitegemea na Putin hakuishia hapo akasapoti kujitenga kwa Donetsk regions. Ile move ilimfanya Obama aonekane mjina kabisa. It was clear checkmate.

Kuhusu Syria war, hiyo vita imeanzishwa na hao hao US. Objective kubwa ya US ilikuwa ni kumtoa Assad madarakani. Sasa jiulize je ametoka? Sasa kama hajatoka basi US objective has failed.

Sasa kuhusu Syria, Putin alichofanya ni kuikomesha Europe kwa ku fuel wakimbizi. Na ndio maana alikuwa anapiga mabomu usiku kucha. Je, umeshajiuliza kwa nini terrorism imeongezeka Europe now? (French na jana Berlin wamelipua).

Putin ameshasema US haiwezi kui Subdue Russians, je unaelewa maana yake? Maana yake ni kwamba kwa mfano kwenye huu mgogoro wa Syria, baada ya Russians kuingia militarily US alikuwa anavizia Russians waendelee kupambana na hao terrorists (ambao ni wa US), sasa hii suddenly withdrew ya Russians plus peace accord inawalazimu US awatulize hao terrorists wake, jukumu ambalo US alikuwa anavizia Russians wafanye kupitia vita.

Sasa hivi:

cease file ipo in place.
Assad bado yupo madarakani. Miguu juu anapumua sasa.
Assad hashambuliwi tene
US terrorists hawa advance tena
Uchaguzi utafanyika na Assad atashinda
Terrorists wameamia Europe
Europe anapambana na kutunza wakimbizi.
Russians Military training exercise imefanyika katika real world.
Siku mbili zilizo pita saa chache baada ya Urusi kusema itapunguza Operations zake, Ndege ya Syria aina ya MIG-21 imeangushwa na Waasi hasa, what does it mean??
 
Russia walikubaliana na marekani kuwa Ili amani iwepo inabidi Assad akae pembeni na asigombee urais tena.
Iran amekataa anataka uamzi wa assad uwe wa wananchi wa syria na si obama wala putin,kwahiyo wanataka assad agombee na akishindwa basi,
assad mwenyewe amesema mataifa ya kigeni hayana haki ya kuwaamulia wasyria.
Inavyosemekana hiyo ndo sababu putin kaamua kupull out.
Wengine wanadai putin anaondoa ndege zake ili kukisaidia chama cha democrat cha marekani katika kampeni ionekane obama kaachieve kushawishi russia watoe jeshi lao .
 
Makubaliano ya kusitisha mapigano Syria ndiyo yamemfanya Putin kutoa uamuzi huo. baada ya kuona kuwa makubaliano yameheshimiwa kwa sehemu kubwa . Ila Syria ni mshirika mkubwa wa Russia hivyo muda wowote upepo ukigeuka operations za kijeshi kutoka kwa Putin zinaweza endelea.

Huenda wameona haina haja ya kubakia Syria maana Putin anasema wametimiza malengo yao huko Syria, isitoshe hali ya uchumi wao sio nzuri kutokana na vikwazo ilivyowekewa na kushuka kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia. kuna mdororo wa uchumi ambao unapelekea kupunguza bajeti ya kijeshi karibu 5%, Pia wamesitisha baadhi ya tafiti za anga za mbali (space exploration ) nk.....
lakini russia alisema ameenda syria ili kuwashambulia ISIS sasa anavyoondoka anamaanisha ISIS wamekwsha tayar? maana hio cease fire waliokubaliana haiwahusishi ISIS na NUSRA FRONT..........
 
lakini russia alisema ameenda syria ili kuwashambulia ISIS sasa anavyoondoka anamaanisha ISIS wamekwsha tayar? maana hio cease fire waliokubaliana haiwahusishi ISIS na NUSRA FRONT..........
ISIS na Al Nusra Front bado wapo palepale . Mi naona Putin amedanganya kwamba wamekamilisha kazi wakati magaidi bado wapo tuu na hawahusishwi na mpango wa kusitisha mapigano Syria .

Assad yupo kwenye wasiwasi mkubwa kama makubaliano ya Geneva yatakwenda asivyotarajia maana mataifa ya magharibi hayataki aendelee kutawala hivyo wapo tayari kuhalikisha anatoka ndo maana hao FSA wamehusishwa kwenye mazungumzo ya amani na yakishindikana Mataifa ya magharibi yatatoa msaada kwa waasi wa FSA na makundi mengine wanayoyaita ya msimamo wa wastani.

Hapo ndipo Assad atakapokuwa katika hali mbaya kama Russia hawatarejesha kuvu walizopunguza, Pia makundi ya kigaidi yatafanikiwa maana wanaona nguvu ya kijeshi imepungua na watataka kulipa kisasi kwa kushindwa kwao kwa sehemu kubwa, hebu ona wakati Russia ameweka nguvu kubwa bado hakuweza kutokomeza ngome yote ya magaidi, Je sasa amepunguza kwa sehemu kubwa je ataweza kuwakabili magaidi?
 
ISIS na Al Nusra Front bado wapo palepale . Mi naona Putin amedanganya kwamba wamekamilisha kazi wakati magaidi bado wapo tuu.
ukiwa muongo inabidi uwe na kumbukumbu...maana alisema hana shida ya kuwapiga other rebels yeye anapiga ISIS tu..sasa nashangaa anapunguza majeshi wakati bado jamaa hawatokomezwa..putin aache mambo ya jabu bhana hebu arudoshe majesh pale bhana yaendeleee kupiga kazi...kama ishue ni mkwanja basi aweke wazii sio aanondoka tu ghafla
 
ukiwa muongo inabidi uwe na kumbukumbu...maana alisema hana shida ya kuwapiga other rebels yeye anapiga ISIS tu..sasa nashangaa anapunguza majeshi wakati bado jamaa hawatokomezwa..putin aache mambo ya jabu bhana hebu arudoshe majesh pale bhana yaendeleee kupiga kazi...kama ishue ni mkwanja basi aweke wazii sio aanondoka tu ghafla
Amemuacha Assad na presha kubwa sana.
 
Mkuu

Ngoja nikuanzie mbali kidogo.

Wakati ule wa uprising ya Ukraine ambayo ilianzishwa na kuchochewa na US, Putin kwa Mara ya kwanza alionekana kama anaangalia tu vile. Lakini mwishoni alipofanya surprise annexation ya Crimea (part of Ukraine), ile move iliwaacha hoi sana hao US kwani hawakuitegemea na Putin hakuishia hapo akasapoti kujitenga kwa Donetsk regions. Ile move ilimfanya Obama aonekane mjina kabisa. It was clear checkmate.

Kuhusu Syria war, hiyo vita imeanzishwa na hao hao US. Objective kubwa ya US ilikuwa ni kumtoa Assad madarakani. Sasa jiulize je ametoka? Sasa kama hajatoka basi US objective has failed.

Sasa kuhusu Syria, Putin alichofanya ni kuikomesha Europe kwa ku fuel wakimbizi. Na ndio maana alikuwa anapiga mabomu usiku kucha. Je, umeshajiuliza kwa nini terrorism imeongezeka Europe now? (French na jana Berlin wamelipua).

Putin ameshasema US haiwezi kui Subdue Russians, je unaelewa maana yake? Maana yake ni kwamba kwa mfano kwenye huu mgogoro wa Syria, baada ya Russians kuingia militarily US alikuwa anavizia Russians waendelee kupambana na hao terrorists (ambao ni wa US), sasa hii suddenly withdrew ya Russians plus peace accord inawalazimu US awatulize hao terrorists wake, jukumu ambalo US alikuwa anavizia Russians wafanye kupitia vita.

Sasa hivi:

cease file ipo in place.
Assad bado yupo madarakani. Miguu juu anapumua sasa.
Assad hashambuliwi tene
US terrorists hawa advance tena
Uchaguzi utafanyika na Assad atashinda
Terrorists wameamia Europe
Europe anapambana na kutunza wakimbizi.
Russians Military training exercise imefanyika katika real world.
mi nafkir putin aliingia syria kwasababu obama alisitisha mwishon kuivamia syria kijesh kpnd kile wametumia mabom ya kemikali..kama marekan wangeivamia syria kpnd kile leo hii asingekuepo assd wala tusingekuwa na russia alieko syria sasa, so assad amshkur obama kmtndo kwakuwa democratic wako less aggresive ila wangekuwa vichaa kina bush saiz tungekuwa na story nyngne
 
Hela imekata mbaya!;Kuna mshkaji wangu anasoma China aliniambia warusi anaosoma nao wanalalamika mbaya kuwa serekali imewatelekeza,haina Hela na huku wanajifanya kupigana huko Syria,Purtinizm kwisha habari!.
Wenzako hapa wa pande zote mbili wanajenga hoja zenye mantiki wewe unaleta "hearsaid evidence"za kitoto hili jukwaa linakwenda na hoja zenye mashiko tusiojua ndio tunajifunza hapa..Huyo kilaza mwenzio yupo chuo gani hapa China?
 
ilikuwa ni moja ya makubaliano kati ya waasi na serikali kuw vikosi ya warusi vinatakiw kuondok syria,ila ikulu ya urusi imesem itaendelea na mashambuliz zid ya isis na wala sio mwisho wa mashambuliz
 
Back
Top Bottom