engine rock
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,389
- 1,418
Vita ni gharama....russia hawezi pigana vita muda mrefu, alitegemea kua atamaliza kundi la iss kwa muda mfupi hali imekua tofauti...aibu ya puttin.
Kwa akili yako weww unadhani hela ya mrusi ikikata au ukisikia mmarekani uchumi umeyumba unadhani ni sawa na kuyumba kwa uchumi wa Tanzania. Zile ni developed countries. Russia ina vikwazo lakini inapigana vita. Last week Russia imetoa msaada wa chakula wa mabilioni ya Dola kwenda North KoreaHela imekata mbaya!;Kuna mshkaji wangu anasoma China aliniambia warusi anaosoma nao wanalalamika mbaya kuwa serekali imewatelekeza,haina Hela na huku wanajifanya kupigana huko Syria,Purtinizm kwisha habari!.
Hujui unachosema. Putin alisema atakaa Syria miez mitatu tu. Baadae akasema ataendelea kukaa kulingana na ground situation. Sasa msiojua mambo mnakuja kuropoka ropoka pumba.Vita ni gharama....russia hawezi pigana vita muda mrefu, alitegemea kua atamaliza kundi la iss kwa muda mfupi hali imekua tofauti...aibu ya puttin.
Suala la vita ni la kiuchumi zaidi sio kama naropoka, usitoke povu mkuu, amesha chemsha huyo.Hujui unachosema. Putin alisema atakaa Syria miez mitatu tu. Baadae akasema ataendelea kukaa kulingana na ground situation. Sasa msiojua mambo mnakuja kuropoka ropoka pumba.
Hata BBC wametangaza ivo ivo ulivoandika wewe hapa..kwamba kuna baadhi ya wanajeshi watabaki..tena walitoa kabisa na voice record ya Putin akiongea ikiamrisha hiyo amri kam amir jesh mkuu..Je bbc sio western media?..Acha kukariri kila bwege weweLabda amkumuelewa vizuri waziri wa ulinzi amesema Kuna base kama mbili zitaendelea kuwepo hapo Syria . Siyo kweli kwamba majeshi yote ya Russia yameondolewa Syria ukitaka kupata balanced story usipende kuwatch western media.
Syria is hell..walichotaka hao us na israel kwa miaka mingi ni ku destabiloze syria at any cost.syria yenye nguvu iliyokuwa tushio kwa israel haipo tena..imebaki magofu tuu...Russia hawez jigamba kwa lolote kuhuau syria..alikaa pemben mwanzo akaacha US na wenzie waichezew kwanza na kuiharib syria..putin ameingia wakat syria ishakuwa magofu...Alikusea sana kutoingia mwanzoni wakat FRA walipoanza kushika bunduki...Alimuacha US akiwashushia silaha FSA live kila mtu anaona..Russia alifanya kosa kubwa sana kuto intervene mwanzoni...1.ISIS iko kwenye Defensive mode wala siyo kwenye Offensive mode tena.
2. Anashinikiza maamuzi ya wa Syria yasikilizwe bila influence za nje kwa kujitolea mfano.
3. Anaua mbinu za wachota fedha huko Hazina ya US kwa kisingizio cha kujilinda na Russia. Sasa wataulizwa ela za nini tena wakati tayari Russia mwenyewe anajiondoa taratibu?
4. Ameweka mfumo imara wa kukagua kinachoendelea ndani ya Syria na kuliwezesha jeshi la Syria kusimamia masuala ya ulinzi ya nchi hiyo.
Sababu zipo kibao
Strategy huendana na budget ulionayo...Hujui unachosema. Putin alisema atakaa Syria miez mitatu tu. Baadae akasema ataendelea kukaa kulingana na ground situation. Sasa msiojua mambo mnakuja kuropoka ropoka pumba.
Nadhani Putin aliposema objectives ya ile vita imekamilika, ni watu wachache sana ambao watakuwa wamemuelewa.
Hizi ni baadhi ya objectives:
1. Kusukuma wakimbizi wengi wa kiarabu bara la ulaya. Hii inapelekea vitu vifuatavyo (a) mzigo kwa ulaya kuwahudumia hao wakimbizi. (b) Security concern kwa nchi za ulaya. Kwa mfano leo hii huko Berlin gari ndogo lililokuwa na Bomu limelipuka katikati ya mji na mtu mmoja amefaliki. Kwa hiyo terrorism itapamba moto ndani ya ulaya.
2. Russia alikuwa ana text makombora yake. Kwa mfano kama mtakumbuka alikuwa anapiga zile Ballistic Missiles kutoka Mediterranean sea, zinavuka Iran, Iraq na zinapiga Syria, umbali wa 1448 km.
3. Sasa hivi Assad amesharudisha sehemu kubwa ya nchi yake na baada ya cease fire agreement hao waasi hawawezi tena kumshambulia wala kusonga Mbele.
4. Russia amefanya yote haya kumkomoa Europe na US kwa zile sanctions zao. Kwa mfano US wamefadhiri hao waasi ambao kwa sasa hawawezi tena kumfanya chochote Assad. Kwa hiyo US hapa amesha fail.
Vita ya ardhini ni gharama kubwa sana hivyo sidhani kama watafanya hivyo maana hata walipokuja kumsaidia Assad walisema hawataleta jeshi la ardhini.
USA ndo anaongoza kwa kuanzisha vita ila asilimia kubwa ya vita na operations zake sio za ardhini kwakuwa ni gharama kubwa si kiuchumi tuu bali kiusalama wa wanajeshi wake pia, maana nilazima wapoteze uhai
USA kwa ubabe wake wote hawezi kwenda vitani mwenyewe, tazama historia tangu vita ya dunia hadi leo, utasikia ameenda na washirika wake wa NATO au washirika wake wengine kama South Korea kusini, Saudia, UAE,Qatar,Bahrain etc.... Hapa ndipo utakapoona USA ni mjanja na anajua hakuna taifa linalojitosheleza kwa kitu na anajua gharama ya vita.
Huo ndio ujanja wa marekani unaomfanya kuwa juu siku zote, ulaya kaiweka mikononi mwake kupitia NATO na mfumo wa ulinzi kanda nzima ya Euro. Lakini bado hawaamini washirika wake hadi anaamua kudukua mawasilino ya washirika wake. Huku anapata supernormal profits kwenye silaha, kwa asilimia kubwa ya silaha zinazotumiwa na washirika wa marekani zinatoka marekani na wamenunua, mfano ukiacha euro typhoon fighter jets na mirage 2000 jets, zingine zote ni mmarekani mfano F-22 Raptors, F-15, F-16, F-35s etc bado naval warships ( frigate,destroyers), Apache helicopters, M16 assault rifle etc.....
USA vita kwake anauza silaha kwasababu ni mzalishaji mkubwa..pia nchi nyingi anazokwenda nazo vitani kama washirika wake ndio hao hao anaowauzia silaha yeye
Unadhani kulikua Na sababu zozote za kunitukana ndugu anyway no comment.Hata BBC wametangaza ivo ivo ulivoandika wewe hapa..kwamba kuna baadhi ya wanajeshi watabaki..tena walitoa kabisa na voice record ya Putin akiongea ikiamrisha hiyo amri kam amir jesh mkuu..Je bbc sio western media?..Acha kukariri kila bwege wewe
Fungua akili acha kuishi kwa mazoea