Putin akienda Alaska atakamatwa?

Putin akienda Alaska atakamatwa?

Nadhani Mkiongelea Urusi ni kama Mnaongelea Rais wa hapa Afika!!! mnakosea sana kulinganisha Kiongozi wa Uusi na hapa Tz au Afrika..

kwanza kabla ya Kutangaza eneo elewa KGB /FSB WALISHAKALIA eneo lile muda sana sana kila kitu kila sekunde..Sio mchezo
 
Moja kwa moja kwenye swali langu.
Mahakama ya ICC ilimhukumu Putin kwa makosa yanayohusiana na vita ya Ukraine na kutaka akamatwe.
Sasa ni wazi Putin ataenda kuongea na Rais wa Marekani Bwana Trump katika jimbo la Alaska lililoko katika nchi ya marekani.
Hapa ni kama mbuzi kafia kwa muuza supu.
Kwa hiyo nadhani Marekani wamepata nafasi ya kumtia mguvuni Bwana Putin.
Kumbuka Marekani iliunga mkono maamuzi ya mahakama hiyo.
Au wadau mnasemaje?
Nimeamua kukumbusha TU ili wasije wakasahau hao ICC.
Kama wasipomkamata atakamatwa na nani Sasa?
Maana Marekani ndio taifa kubwa kuliko yote ulimwemguni,waliweza hata kumkamata rais wa Colombia Bwana Mannuel Antonio Noriega na kumfunga katika jela za Marekani.
Nasubiri kwa hamu Putin kutiwa pingu kama walivyotiwa pingu Marais Slobodan Milosevic wa Yugoslavia na Charles Taylor wa Liberia kwa Amri ya ICC.
Lakini pia Putin kwenda Marekani itakua rahisi kwa serikali ya marekani kumaliza hamu Yao ya muda mrefu ya Regime change kufanyika huko Urusi,Kwa kumfanya chochote ili asirudi Urusi.
Tunasubiri.
Sidhani kama watamkamata maana Marekani sio mwanachama wa ICC hivyo hawajibiki kwake!
 
Site imechaguliwa Alaska kwa sababu za kihistoria na kijiografia

Ukiwa mbabe raha sana yaani Putin anakanyaga ardhi ya Marekani bila wasiwasi

Arrest warrant za ICC ni kwa ajili ya viongozi dhaifu

All in all Russia sio member wa the Hague na hawaitambui
Kabisa. Na masikini hasa wa kiafrica na baadhi wa asia😢
 
Site imechaguliwa Alaska kwa sababu za kihistoria na kijiografia

Ukiwa mbabe raha sana yaani Putin anakanyaga ardhi ya Marekani bila wasiwasi

Arrest warrant za ICC ni kwa ajili ya viongozi dhaifu

All in all Russia sio member wa the Hague na hawaitambui
Kabisa. Na masikini hasa wa kiafrica na baadhi wa asai😢
 
Kwa hiyo nadhani Marekani wamepata nafasi ya kumtia mguvuni Bwana Putin.
kejeli

sema maneno ya dharau; fanyia mzaha



Above all, Alaska is a safe place for the Russian leader to visit. Putin is still wanted by the international criminal court, accused of war crimes in relation to the forced deportation of children from Ukraine to Russia in March 2023.

There is an arrest warrant out, but neither Russia nor crucially the US recognise the court. Nor are there any unfriendly countries to overfly.

A trip around the top of the globe is unlikely to run into unexpected difficulties that might make travelling over the Black Sea to Istanbul in Turkey unattractive.

 
Moja kwa moja kwenye swali langu.
Mahakama ya ICC ilimhukumu Putin kwa makosa yanayohusiana na vita ya Ukraine na kutaka akamatwe.
Sasa ni wazi Putin ataenda kuongea na Rais wa Marekani Bwana Trump katika jimbo la Alaska lililoko katika nchi ya marekani.
Hapa ni kama mbuzi kafia kwa muuza supu.
Kwa hiyo nadhani Marekani wamepata nafasi ya kumtia mguvuni Bwana Putin.
Kumbuka Marekani iliunga mkono maamuzi ya mahakama hiyo.
Au wadau mnasemaje?
Nimeamua kukumbusha TU ili wasije wakasahau hao ICC.
Kama wasipomkamata atakamatwa na nani Sasa?
Maana Marekani ndio taifa kubwa kuliko yote ulimwemguni,waliweza hata kumkamata rais wa Colombia Bwana Mannuel Antonio Noriega na kumfunga katika jela za Marekani.
Nasubiri kwa hamu Putin kutiwa pingu kama walivyotiwa pingu Marais Slobodan Milosevic wa Yugoslavia na Charles Taylor wa Liberia kwa Amri ya ICC.
Lakini pia Putin kwenda Marekani itakua rahisi kwa serikali ya marekani kumaliza hamu Yao ya muda mrefu ya Regime change kufanyika huko Urusi,Kwa kumfanya chochote ili asirudi Urusi.
Tunasubiri.
Vijana wa sk hz kumbe ni bure kabisa. Dogo US siyo mwanachama wa ICC
 
Moja kwa moja kwenye swali langu.
Mahakama ya ICC ilimhukumu Putin kwa makosa yanayohusiana na vita ya Ukraine na kutaka akamatwe.
Sasa ni wazi Putin ataenda kuongea na Rais wa Marekani Bwana Trump katika jimbo la Alaska lililoko katika nchi ya marekani.
Hapa ni kama mbuzi kafia kwa muuza supu.
Kwa hiyo nadhani Marekani wamepata nafasi ya kumtia mguvuni Bwana Putin.
Kumbuka Marekani iliunga mkono maamuzi ya mahakama hiyo.
Au wadau mnasemaje?
Nimeamua kukumbusha TU ili wasije wakasahau hao ICC.
Kama wasipomkamata atakamatwa na nani Sasa?
Maana Marekani ndio taifa kubwa kuliko yote ulimwemguni,waliweza hata kumkamata rais wa Colombia Bwana Mannuel Antonio Noriega na kumfunga katika jela za Marekani.
Nasubiri kwa hamu Putin kutiwa pingu kama walivyotiwa pingu Marais Slobodan Milosevic wa Yugoslavia na Charles Taylor wa Liberia kwa Amri ya ICC.
Lakini pia Putin kwenda Marekani itakua rahisi kwa serikali ya marekani kumaliza hamu Yao ya muda mrefu ya Regime change kufanyika huko Urusi,Kwa kumfanya chochote ili asirudi Urusi.
Tunasubiri.
Marekani haiwezi kumkamata huyu Mzee kama walivyokataa kumkamata Netanyau.
 
Back
Top Bottom