The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,027
- 117,531
Noriega alikua rais wa Panama,sio Colombia.waliweza hata kumkamata rais wa Colombia Bwana Manuel Antonio Noriega na kumfunga katika jela za Marekani.
Noriega alikua rais wa Panama,sio Colombia.waliweza hata kumkamata rais wa Colombia Bwana Manuel Antonio Noriega na kumfunga katika jela za Marekani.
Marekani haiitambui ICC na hawaruhusu raia wao kushitakiwa katika hiyo mahakama.Moja kwa moja kwenye swali langu.
Mahakama ya ICC ilimhukumu Putin kwa makosa yanayohusiana na vita ya Ukraine na kutaka akamatwe.
Sasa ni wazi Putin ataenda kuongea na Rais wa Marekani Bwana Trump katika jimbo la Alaska lililoko katika nchi ya marekani.
Hapa ni kama mbuzi kafia kwa muuza supu.
Kwa hiyo nadhani Marekani wamepata nafasi ya kumtia mguvuni Bwana Putin.
Kumbuka Marekani iliunga mkono maamuzi ya mahakama hiyo.
Au wadau mnasemaje?
Nimeamua kukumbusha TU ili wasije wakasahau hao ICC.
Kama wasipomkamata atakamatwa na nani Sasa?
Maana Marekani ndio taifa kubwa kuliko yote ulimwemguni,waliweza hata kumkamata rais wa Colombia Bwana Mannuel Antonio Noriega na kumfunga katika jela za Marekani.
Nasubiri kwa hamu Putin kutiwa pingu kama walivyotiwa pingu Marais Slobodan Milosevic wa Yugoslavia na Charles Taylor wa Liberia kwa Amri ya ICC.
Lakini pia Putin kwenda Marekani itakua rahisi kwa serikali ya marekani kumaliza hamu Yao ya muda mrefu ya Regime change kufanyika huko Urusi,Kwa kumfanya chochote ili asirudi Urusi.
Tunasubiri.
Itatupwa orishnik ikiyobebeshwa nuke na itakuwa tamati ya alaskaMoja kwa moja kwenye swali langu.
Mahakama ya ICC ilimhukumu Putin kwa makosa yanayohusiana na vita ya Ukraine na kutaka akamatwe.
Sasa ni wazi Putin ataenda kuongea na Rais wa Marekani Bwana Trump katika jimbo la Alaska lililoko katika nchi ya marekani.
Hapa ni kama mbuzi kafia kwa muuza supu.
Kwa hiyo nadhani Marekani wamepata nafasi ya kumtia mguvuni Bwana Putin.
Kumbuka Marekani iliunga mkono maamuzi ya mahakama hiyo.
Au wadau mnasemaje?
Nimeamua kukumbusha TU ili wasije wakasahau hao ICC.
Kama wasipomkamata atakamatwa na nani Sasa?
Maana Marekani ndio taifa kubwa kuliko yote ulimwemguni,waliweza hata kumkamata rais wa Colombia Bwana Mannuel Antonio Noriega na kumfunga katika jela za Marekani.
Nasubiri kwa hamu Putin kutiwa pingu kama walivyotiwa pingu Marais Slobodan Milosevic wa Yugoslavia na Charles Taylor wa Liberia kwa Amri ya ICC.
Lakini pia Putin kwenda Marekani itakua rahisi kwa serikali ya marekani kumaliza hamu Yao ya muda mrefu ya Regime change kufanyika huko Urusi,Kwa kumfanya chochote ili asirudi Urusi.
Tunasubiri.
Kmmk nimechekaUkitaka kuona WW3 na WW4 kwa muda mmoja wajichanganye wafanye hivyo.
kwani Alaska iko nchi gani mkuu?Ana bahati kachagua Alaska, angechagya Kizimkazi serikali ya mama isingemuacha salama.
Mbogamboga Kwenye moja na mbiliNinachokiona ni kwamba watakutana na baada ya muda tutasikia Putin ni mgonjwa ana cancer ya damu pia imeathiri Moyo na Mapafu
Kwa Trump.kwani Alaska iko nchi gani mkuu?
Waki-mu- harass kwa namna yoyote ile achilia mbali Kumkamata, Jimbo la Alaska litakuwa limerudishwa Russia bila fidia. Marekani wanalijua hilo, na sio wajinga wachezee sharubu za dubu.katika jimbo la Alaska lililoko katika nchi ya marekani.
ulivyo koment vile ulimanisha nini?Kwa Trump.
Akienda Alaska hatokamatwa ila akija Kizimkazi tunamdaka, mahakama ya kimataifa tunaiheshimu.ulivyo koment vile ulimanisha nini?
kwani laska iko wapi?Akienda Alaska hatokamatwa ila akija Kizimkazi tunamdaka, mahakama ya kimataifa tunaiheshimu.
Hiyo Laska sijui iko wapi mkuu.kwani laska iko wapi?