MZURI SANA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2023
- 240
- 546
- Thread starter
- #61
MiaUmewaona wanaume wangapi wakati wa utafiti wako na kuwashuhudia?
MiaUmewaona wanaume wangapi wakati wa utafiti wako na kuwashuhudia?
nina kila kitu maishani kuliko mkeoUna uhakika gani tuna stress za maisha?
We vipi kwan?
Jua lipi unajua ninapokaa mieMwoneeni huruma, jua ni kali sana huku njee![]()
Kumbe Bado wachache, maana Mimi Bado hujaniona


. Utafiti mzuri inatakiwa kuanzia respondents 400 mpaka 500.We una shida akilini, sio bure.nina kila kitu maishani kuliko mkeo
Nyama unauza sh ngapi?Naiomba baba.sema ukihitaji nikupe
😂😂😂😂😂👌🙊kupoa mwisho sanawamekuonea sana baby wangu kukuita singo mama mimi nimekuja kuwasha moto hauzimwi na fire
huu
![]()
Mimi mwanaume wa Jf nipo nyuma yako usijali.Shida mijianaume ya jf mmezoea kuwaonea wanawake wa jf wakitokea wa kuwaonesha ujinga wenu mnakasirika.
Hii Vita napambana mwenyewe sihitaji msaada wowote ule