Punguzeni Roho mbaya jamani

Punguzeni Roho mbaya jamani

Nimejisikia kuumia sana.
Wala sikuwa kudhani wanaume wa humu ndani mna roho mbaya namna.

ubaya wangu Mimi nikuamua kueleza ukweli wa Yale mambo wanawake tunayopitia ila nimeishiwa kutukanwa na watu humu ndani.

Wanaume hata kama ni maisha magumu na nguvu hamna dk 2 chali ila mnisamehe sana mie ninayewaambia ukweli.

Nitawashauri mambo matatu tu kama mkiyazingatia yatawafanya mpunguze chuki zenu binafsi na muache kulia lia njaa eh.

Usafi mjitahidi,
Mtafute hela Muwe na maisha mazuri hata mpate chakutuonga.
Muwe na Tunguvu hata tudogo vya kiume muache kutuachia shombo.

Chuki hazijengi ,wanaume wa jf muache Roho mbaya haijengi.

Mnastress za maisha.

Mchana mwema.

Nawapenda.
Mavi wew huna lolote
 
Nimejisikia kuumia sana.
Wala sikuwa kudhani wanaume wa humu ndani mna roho mbaya namna.

ubaya wangu Mimi nikuamua kueleza ukweli wa Yale mambo wanawake tunayopitia ila nimeishiwa kutukanwa na watu humu ndani.

Wanaume hata kama ni maisha magumu na nguvu hamna dk 2 chali ila mnisamehe sana mie ninayewaambia ukweli.

Nitawashauri mambo matatu tu kama mkiyazingatia yatawafanya mpunguze chuki zenu binafsi na muache kulia lia njaa eh.

Usafi mjitahidi,
Mtafute hela Muwe na maisha mazuri hata mpate chakutuonga.
Muwe na Tunguvu hata tudogo vya kiume muache kutuachia shombo.

Chuki hazijengi ,wanaume wa jf muache Roho mbaya haijengi.

Mnastress za maisha.

Mchana mwema.

Nawapenda.
Ahsante kwa taarifa.
 
Shangazi punguza mdomo, kama hupew huduma tunza shanga ndani! Tumepungua aseeeeeee
 
Nimejisikia kuumia sana.
Wala sikuwa kudhani wanaume wa humu ndani mna roho mbaya namna.

ubaya wangu Mimi nikuamua kueleza ukweli wa Yale mambo wanawake tunayopitia ila nimeishiwa kutukanwa na watu humu ndani.

Wanaume hata kama ni maisha magumu na nguvu hamna dk 2 chali ila mnisamehe sana mie ninayewaambia ukweli.

Nitawashauri mambo matatu tu kama mkiyazingatia yatawafanya mpunguze chuki zenu binafsi na muache kulia lia njaa eh.

Usafi mjitahidi,
Mtafute hela Muwe na maisha mazuri hata mpate chakutuonga.
Muwe na Tunguvu hata tudogo vya kiume muache kutuachia shombo.

Chuki hazijengi ,wanaume wa jf muache Roho mbaya haijengi.

Mnastress za maisha.

Mchana mwema.

Nawapenda.
Nakupinga hapo kwenye tuapate Cha kuwahonga labda tupate Cha kutoa msaada tuombwapo
Ila Ili tule tushibe tunywe tuvae natufanye maendeleo ya maana ila sio tupate Cha kuwahonga

Utaishia kulipa rent labour ata utimilifu wa dahari Kwa kupenda sana jasho la wenzako

Tafuta zako fursa mnazipata siku hizi
 
Nimejisikia kuumia sana.
Wala sikuwa kudhani wanaume wa humu ndani mna roho mbaya namna.

ubaya wangu Mimi nikuamua kueleza ukweli wa Yale mambo wanawake tunayopitia ila nimeishiwa kutukanwa na watu humu ndani.

Wanaume hata kama ni maisha magumu na nguvu hamna dk 2 chali ila mnisamehe sana mie ninayewaambia ukweli.

Nitawashauri mambo matatu tu kama mkiyazingatia yatawafanya mpunguze chuki zenu binafsi na muache kulia lia njaa eh.

Usafi mjitahidi,
Mtafute hela Muwe na maisha mazuri hata mpate chakutuonga.
Muwe na Tunguvu hata tudogo vya kiume muache kutuachia shombo.

Chuki hazijengi ,wanaume wa jf muache Roho mbaya haijengi.

Mnastress za maisha.

Mchana mwema.

Nawapenda.
Umewaona wanaume wangapi wakati wa utafiti wako na kuwashuhudia?
 
Back
Top Bottom