Punguza hasira Temu!

Annina

JF-Expert Member
Nov 15, 2009
437
57
Temu, najua umeudhika na unanilaumu, una haki ya kufanya hivyo. Ndio maana nasisitiza niangaliwe kwa jicho la huruma na unipe upendeleo maalum katika kulimaliza hili. Temu, wewe wajua, mimi najua na wengi wanajua kwamba Annina bila ya wewe maisha hayana thamani. Temu, sijasahau hata kidogo uliponiomba niwe mwenzi wako katika maisha kwa kuwa unaamini bila Annina maisha yako hayajakamilika -sijasahau! Temu siku zote nimekuwa msikivu kwako, tumekuwa tukiishi kwa amani na upendo mkubwa huku tukiwa wavumilivu na wenye subira hasa penye majaribu tukitaraji maisha mema baadae - bado naamini hivyo!

Temu, najua una hasira za mlipuko - waswahili wanasema ndio maumbile yako, nakuhurumia sababu najua unavyoteseka unapokuwa kwenye hali hiyo. Nakuhurumia zaidi sababu nakupenda sana na nisingependa kuona moyo wako ukiwa umetawaliwa na hasira, simanzi na huzuni. Naumia zaidi pale ninapokuwa chanzo cha wewe kuwa kwenye hali hiyo - uniwie radhi.

Temu wangu, ni nini kimekufanya ufikiri mimi Annina ninatumia muda wangu mwingi na JF kuliko ninavyotumia na wewe? Kwamba ninawathamini wachangiaji mbalimbali wa JF nisiowafahamu hata kwa sura kuliko ninavyokuthamini wewe? Temu mpenzi, angalia basi hata idadi ya posti nilizonazo JF labda utagundua kitu tofauti na unachoamini sasa.

Temu mpenzi, tafadhali punguza hasira tujadili hili na tulimalize ili tuboreshe zaidi na zaidi mapenzi yetu. Tumeshapoteza muda mwingi sana kukabiliana na vikwazo na changamoto mbalimbali za maisha, naamini tuna kila sababu ya kufurahia maisha yetu sasa - baada ya dhiki faraja...


Nakupenda kabisa!
Annina
 
ni yule jamaa uliyekuwa una wivu nae wa kupindukia? nashauri pia MODS waiondoe hii mada kwani inashusha hadhi ya mleta mada
 
Annina,

Hii barua inaonyesha jinsi unavyoithamini JF kuliko unavyomthamini Temu, kama kweli hii barua ni ya Temu, kwa nini umeipost JF?
 
Temu, najua umeudhika na unanilaumu, una haki ya kufanya hivyo. Ndio maana nasisitiza niangaliwe kwa jicho la huruma na unipe upendeleo maalum katika kulimaliza hili. Temu, wewe wajua, mimi najua na wengi wanajua kwamba Annina bila ya wewe maisha hayana thamani. Temu, sijasahau hata kidogo uliponiomba niwe mwenzi wako katika maisha kwa kuwa unaamini bila Annina maisha yako hayajakamilika -sijasahau! Temu siku zote nimekuwa msikivu kwako, tumekuwa tukiishi kwa amani na upendo mkubwa huku tukiwa wavumilivu na wenye subira hasa penye majaribu tukitaraji maisha mema baadae - bado naamini hivyo!

Temu, najua una hasira za mlipuko - waswahili wanasema ndio maumbile yako, nakuhurumia sababu najua unavyoteseka unapokuwa kwenye hali hiyo. Nakuhurumia zaidi sababu nakupenda sana na nisingependa kuona moyo wako ukiwa umetawaliwa na hasira, simanzi na huzuni. Naumia zaidi pale ninapokuwa chanzo cha wewe kuwa kwenye hali hiyo - uniwie radhi.

Temu wangu, ni nini kimekufanya ufikiri mimi Annina ninatumia muda wangu mwingi na JF kuliko ninavyotumia na wewe? Kwamba ninawathamini wachangiaji mbalimbali wa JF nisiowafahamu hata kwa sura kuliko ninavyokuthamini wewe? Temu mpenzi, angalia basi hata idadi ya posti nilizonazo JF labda utagundua kitu tofauti na unachoamini sasa.

Temu mpenzi, tafadhali punguza hasira tujadili hili na tulimalize ili tuboreshe zaidi na zaidi mapenzi yetu. Tumeshapoteza muda mwingi sana kukabiliana na vikwazo na changamoto mbalimbali za maisha, naamini tuna kila sababu ya kufurahia maisha yetu sasa - baada ya dhiki faraja...


Nakupenda kabisa!
Annina

Annina pole sana kwa yanayokusibu kuhusiana na penzi lako, lakini mimi nakushauri haya mambo inabidi yajadiliwe katika faragha badala ya kuyaweka katika kadamnasi kubwa kiasi hiki na kuwapa faida hata wale wasiohusika katika mapenzi yenu wewe na Temu. Kila la heri.

Have a great Weekend
 
Imekuaje tena Annina?? Seems na yeye ana wivu hata mate hayapiti!! Hahahaaa sasa mtoto atatoka na wivu mpk pumzi haiendi mfumo wake wa kawaida...anyways u guys must b in deep luv..
 
Huyu naye!
Ushamba gani huo? Kwani lazima utangaze hadi jina la mpenzio? Au una agenda ya siri zaidi ya kulalama?
 
Temu, najua umeudhika na unanilaumu, una haki ya kufanya hivyo. Ndio maana nasisitiza niangaliwe kwa jicho la huruma na unipe upendeleo maalum katika kulimaliza hili. Temu, wewe wajua, mimi najua na wengi wanajua kwamba Annina bila ya wewe maisha hayana thamani. Temu, sijasahau hata kidogo uliponiomba niwe mwenzi wako katika maisha kwa kuwa unaamini bila Annina maisha yako hayajakamilika -sijasahau! Temu siku zote nimekuwa msikivu kwako, tumekuwa tukiishi kwa amani na upendo mkubwa huku tukiwa wavumilivu na wenye subira hasa penye majaribu tukitaraji maisha mema baadae - bado naamini hivyo!

Temu, najua una hasira za mlipuko - waswahili wanasema ndio maumbile yako, nakuhurumia sababu najua unavyoteseka unapokuwa kwenye hali hiyo. Nakuhurumia zaidi sababu nakupenda sana na nisingependa kuona moyo wako ukiwa umetawaliwa na hasira, simanzi na huzuni. Naumia zaidi pale ninapokuwa chanzo cha wewe kuwa kwenye hali hiyo - uniwie radhi.

Temu wangu, ni nini kimekufanya ufikiri mimi Annina ninatumia muda wangu mwingi na JF kuliko ninavyotumia na wewe? Kwamba ninawathamini wachangiaji mbalimbali wa JF nisiowafahamu hata kwa sura kuliko ninavyokuthamini wewe? Temu mpenzi, angalia basi hata idadi ya posti nilizonazo JF labda utagundua kitu tofauti na unachoamini sasa.

Temu mpenzi, tafadhali punguza hasira tujadili hili na tulimalize ili tuboreshe zaidi na zaidi mapenzi yetu. Tumeshapoteza muda mwingi sana kukabiliana na vikwazo na changamoto mbalimbali za maisha, naamini tuna kila sababu ya kufurahia maisha yetu sasa - baada ya dhiki faraja...


Nakupenda kabisa!
Annina

Annina;

Ninaamini hii ni hekaya na temu ni wa kusadikika... unfortunately wanajamii wameona kama umeenda over the board!!! hebu clarify basi
 
......Anina kulikoni tena? Mpenzi wako yupo hapa JF?
Mie naona wala haijakaa sawa hii, mngemalizia wenyewe chumbani kwenu.
 
Temu, najua umeudhika na unanilaumu, una haki ya kufanya hivyo. Ndio maana nasisitiza niangaliwe kwa jicho la huruma na unipe upendeleo maalum katika kulimaliza hili. Temu, wewe wajua, mimi najua na wengi wanajua kwamba Annina bila ya wewe maisha hayana thamani. Temu, sijasahau hata kidogo uliponiomba niwe mwenzi wako katika maisha kwa kuwa unaamini bila Annina maisha yako hayajakamilika -sijasahau! Temu siku zote nimekuwa msikivu kwako, tumekuwa tukiishi kwa amani na upendo mkubwa huku tukiwa wavumilivu na wenye subira hasa penye majaribu tukitaraji maisha mema baadae - bado naamini hivyo!

Temu, najua una hasira za mlipuko - waswahili wanasema ndio maumbile yako, nakuhurumia sababu najua unavyoteseka unapokuwa kwenye hali hiyo. Nakuhurumia zaidi sababu nakupenda sana na nisingependa kuona moyo wako ukiwa umetawaliwa na hasira, simanzi na huzuni. Naumia zaidi pale ninapokuwa chanzo cha wewe kuwa kwenye hali hiyo - uniwie radhi.

Temu wangu, ni nini kimekufanya ufikiri mimi Annina ninatumia muda wangu mwingi na JF kuliko ninavyotumia na wewe? Kwamba ninawathamini wachangiaji mbalimbali wa JF nisiowafahamu hata kwa sura kuliko ninavyokuthamini wewe? Temu mpenzi, angalia basi hata idadi ya posti nilizonazo JF labda utagundua kitu tofauti na unachoamini sasa.

Temu mpenzi, tafadhali punguza hasira tujadili hili na tulimalize ili tuboreshe zaidi na zaidi mapenzi yetu. Tumeshapoteza muda mwingi sana kukabiliana na vikwazo na changamoto mbalimbali za maisha, naamini tuna kila sababu ya kufurahia maisha yetu sasa - baada ya dhiki faraja...


Nakupenda kabisa!
Annina
POLE SANA MAM'II!
pamoja
 
Nadhani anajaribu kuonyesha yanayoweza kujiri kwa wana JF. Nakubaliana na waliotangulia kusema kuwa hii ni "story tu"-si jambo la kweli.
 
hahaha jamani mapenzi yanachanganya
mapenzi sio mchezo kusema weka sebene ucheze
pole Annina
 
Huyu ni mtunzi mzuri kweli amefanikiwa kufikisha ujumbe wake alotaka kuufikisha- ameathirika na JF lol



Kula buku Annina
 
Annina wewe,
Ningekuwa mimi ndio huyo Temu, hakyanani, ingekula kwako. Ni kama vile jamaa anakugombeza kakuona na kadume flani kanakutomasa, halafu unaenda kulalamika kwa hako hako katuhumiwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom