Punda abakwa na binadamu mpaka kufa

Punda abakwa na binadamu mpaka kufa

ZENITH

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
1,057
Reaction score
973
Punda mmoja huko Kenya katika jimbo la Maragwa amepoteza maisha baada ya kubakwa na wanaume wanne kwa zamu. Wakisimulia tukio hilo,

Wanakijiji wa kijiji cha Kamahuha wanasema kabla ya tukio, waliwashuhudia wanaume wanne wakimfunga punda huyo miguu yake ya nyuma mtini.

Wanakijiji hao walipigwa na butwaa wasiamini macho yao baada ya kumkuta Yule punda asubuhi kafa pale mtini huku paketi kadhaa za used condoms zikiwa zimetapakaa eneo la tukio.

Huko Kamahuha, Maragua nchini Kenya kumetokea tukio ambalo liliwashangaza sana wakazi wa eneo hilo baada ya kukuta maiti ya Punda aliyedaiwa kubakwa mbaka kufa na watu wanne wenye njaa ya ngono.

Tukio hilo lilitokea usiku wa manane karibu na kanisa, amapo watu wa eneo hilo la Kamahuha walikimbia kwenye kituo cha polisi na kutoa taarifa juu ya kitendo hicho kilichofanywa na wanaume wanne walionekana usiku huo wakiwa wamemning'iniza punda huyo juu ya mti na kuanza kumfanyia kitendo hicho cha ajabu.

Pia walikuta kondomu zilizotumika karibu na maiti ya Punda huyo huku akiwa amefungwa miguu yote ya nyuma.

Viongozi wa eneo hilo la Maragua wamelaani sana kwa kitendo hicho ambacho wamekiita ni cha Kishetani, pia wamedai wamekuwa wakiwaita wakazi wa eneo hilo na kuwasihi waachane na matendo hayo machafu ambayo mengi upelekewa na utumiaji wa pombe na madawa ya kulevya.

Chanzo:
babamzazi.com

 
kama kawaida na GADO kaileta kihivi! Cartoon+29-07.jpg
 
Punda mmoja huko Kenya katika jimbo la Maragwa amepoteza maisha baada ya kubakwa na wanaume wanne kwa zamu.

Wakisimulia tukio hilo, wanakijiji wa kijiji cha kamahuha wanasema kabla ya tukio, waliwashuhudia wanaume wanne wakimfunga punda huyo miguu yake ya nyuma mtini.

Wanakijiji hao walipigwa na butwaa wasiamini macho yao baada ya kumkuta Yule punda asubuhi kafa pale mtini huku paketi kadhaa za used condoms zikiwa zimetapakaa eneo la tukio.

Huyo punda nae mshenzi kweli,ina maana ile mikwara yote ya mateke haikufua dafu?au nae alikuwa anasikilizia mautamu mpaka akapitiliziako?
 
mambo aya matukio yameshamiri sana Kenya mara mbuz mara kuku na wote wanakufa! au ndo nitoke vp ya UHURU..
Hawa si viymbe vya kawaida hadi tujiunge nao EAC watatuletea tabia mbaya

Unakosea mkuu, tabia za watu wachache usigeneralize nchi nzima. Kwani hapa TZ watu wanaobaka mbuzi hamna? Ktk jamii kuna watu wa aina nyingi na haya yapo kila sehemu.
 
Najiuliza kilichomuua punda hasa ni nini. Maanake ukilinganisha mwanadamu kwa punda ni cha mtoto mno!
 
Punda mmoja huko Kenya katika jimbo la Maragwa amepoteza maisha baada ya kubakwa na wanaume wanne kwa zamu.
Wakisimulia tukio hilo, wanakijiji wa kijiji cha kamahuha wanasema kabla ya tukio, waliwashuhudia wanaume wanne wakimfunga punda huyo miguu yake ya nyuma mtini.
Wanakijiji hao walipigwa na butwaa wasiamini macho yao baada ya kumkuta Yule punda asubuhi kafa pale mtini huku paketi kadhaa za used condoms zikiwa zimetapakaa eneo la tukio.

Hii ni laana sasa
 
'unajua kila siku ukila nyama au maharagwe inachosha sana sasa wakaona bora wajaribu ladha tofauti kidogo,teh teh'
 
Kenya watakuwa wamevamiwa na Shetani na ndugu zake!! Ni jana tu nimesikia kupitia BBC, eti kuna watu wanakimbia usiku huku wakiwa uchi wa mnyama(NIGHT RUNNERS), Nao wanadai haki zao watambuliwe kimataifa!! Kama si ushirikina ni kwa nini wanyama hawa wanakufa baada ya kubakwa?? Ee Mwenyenzi Mungu okoa hiki kizazi maana kitaangamia chote!
 
Punda alikua anaumwa huyo binadam abake punda afe!! Wee subutu anakula dude futi 2 sembuse hao!!

Mkuu huwezi kujua hiyo timu ya mtu nne (4) hadi wachaguane na kumtafuta punda wamejaaliwa kiasi gani!!Waweza kukuta kila mmoja ana mzigo kama au zaidi ya punda dume.......
 
Back
Top Bottom