Pumzika Salama William Tate Olenasha, wajibu wako umetimiza, Taifa umelisogeza

Yeah! According to your stupid mind. Here is another instigator for you IDIOT you’re trying your level best to run away from the TRUTH AND NOTHING BUT THE WHOLE TRUTH.

Tanzania once a country with excellent REPUTATION and CREDIBILITY around the World now it is in the same boat with Zimbabwe, Angola and Sudan!!!



You are a known instigator here in JF,

Now a days there are abundants of MODIFIED videos for spreading misinformations..
 
Yeah! According to your stupid mind. Here is another instigator for you IDIOT you’re trying your level best to run away from the TRUTH AND NOTHING BUT THE WHOLE TRUTH.
I thought you would come up with a verified video....instead you have jumped to the UN treaties.

Prove to me that you are not an INSTIGATOR by bringing forth the verified unlike the one you have posted here..

Well..... do you understand the difference between SIGNING TREATIES and RATIFICATIONS?!!!

China ,Pakistan ,India and others had signed the treaty so long now but are not yet to RATIFY......

It took years for the US to RATIFY it....

Waiting for the videos.....
 
Uchaguzi ulifanyika bila dhulma jimboni alikotoka? Tuanzie hapo kwanza.
Swali gumu sana hili mkuu unless huzungumzii yaliyotokea 2020. Ila kama ni hayo ndiyo unayozungumzia then swali gumu maana hata kuita yle yaliyotokea ni uchaguzi kwa maoni yangu si sahihi kabisa.

Juzi nimeona BAKITA wakitoa neno jipya la kiswahili 'simufifi' likimaanisha 'missed call' niwapongeze kwa hilo japo wamechelewa sana sana kulikoni?

Ningefurahi sana wangetusaida msamiati wa kile kilichofanyika Tanzania Oktoba 2020 kama mbadala wa uchaguzi.

Maana uchaguzi sote tunaufahamu lakini ule haukuwa uchaguzi. Safari hii BAKITA tunaomba msichelewe sana tena kama mlivyochelewa kwenye simufifi tafadhali.
 
Ujinga tu uliozuka. Ambao unahusisha mambo yasiyohusu kwa mambo yanayohushu.

Kila jambo kulitazama kwa jicho la upinzani.

Elimu zilizosomwa hazijakomboa mtu kifikira vya kutosha.

Passport zipo Visa zipo nenda
 
Nenda Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha wajibu wako umetimiza Taifa lako umelisogeza.

Nilipata kukufahamu kwa ukaribu sana ukiwa naibu waziri wa Elimu 2017-2020.Ni kipindi ambacho nilihudumu katika nafasi ya utetezi wa haki za wanafunzi Tanzania kama Mkurugenzi wa haki na wajibu wa wanafunzi Tanzania na baadaye kama mwenyekiti wa taasisi ya utetezi wa haki za wanafunzi Tanzania-TSNP .

Timu yenu katika wizara ya elimu iliongozwa na Waziri Prof.Joyce Ndalichako na wewe kama naibu waziri ,Katibu Mkuu Dkt. Leonard Akwilapo , manaibu Katibu Dkt. Ave Maria Semakaf na Prof.James Mdoe. Wajibu wenu mlitimiza.

Kwaheri,Mh.William Tate Olenasha .

Hakika niliwasumbua na hakika mlisumbuka ila hamkuchoka kunisikia na kutatua changamoto za wanafunzi na kulinda haki zao .

Kwaheri,Mh.William Tate Olenasha .Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Nilipoleta suala wizarani juu ya rushwa ya Ngono chuo cha Sauti Mwanza .Ulinipigia simu ukasema unakwenda Mwanza.Hakika ukaenda ,ukakutana na Mwanafunzi muhanga,Tume ya uchunguzi ukaiunda ili haki ya muhanga ipatikane ,Tume ikatoa majibu na kukabidhi Takukuru ,Takukuru Mwanza ikalala . Mwalimu akatoroshwa ,Takukuru ikasuasua ila ukaahidi kulimaliza hili hatimaye ukahamishwa wizara.Prof.Ndalichako akaahidi kulibeba.

Kwaheri,Mh.William Tate Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Nilileta suala wizarani wanafunzi 10 wa Bugando ambao walikuwa viongozi wa Serikali ya wanafunzi Bugando mwaka wa nne kufukuzwa chuo akiwemo Rais na waziri Mkuu na viongozi wengine.

Ulilibeba suala hili ,Dr.Ave Maria na wizara ikalibeba suala hili kwa ushirikiano wa karibu wanafunzi wote walirudishwa chuo sasa hivi ni madaktari katika hospital zetu nchini .

Kwaheri, Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Ulikuwa kiongozi mnyenyekevu na uliyejishusha katika utatuzi wa changamoto na utumishi wako. Nilikuletea changamoto ya wanafunzi wa chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial waliopata changamoto kwa uongozi wa chuo kutumia alama mpya za masomo kwa kutumia prospectus mpya na hata kuathiri matokeo yaliyotumia alama za prospectus iliyopita hivyo kupelekea wanafunzi kufelishwa bila sababu.

Ulisema hii haiwezekani ulisema unalifanyia kazi , usiku wa saa 4 ukanipa taarifa kwamba Chuo kitatoa taarifa Asubuhi kwa wanafunzi kutatua changamoto hii.Uwajibikaji wako kwa nchi hii ulitukuka Ole.

Kwaheri Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza, taifa umelisogeza Ole.

Nilipotoa taarifa wizarani juu ya Wanafunzi wa Pugu shule ya Sekondari kufukuzwa karibuni wanafunzi 20, ulipokea ukahitaji niandike vizuri suala hili na mapendekezo .Nilifanya hivyo wewe Mh.Olenasha uliyetutoka leo kwa kishirikia na Dr.Ave Maria Semakafu na wizara yote mlisaidia kurudisha wanafunzi wote shule ,leo wapo vyuo vikuu.

Nenda Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Suala la Mikopo Elimu ya Juu nilikusumbua Mh.Olenasha ,na wewe uliisumbua Bodi ya mikopo na hata kufanya ziara ya kushtukiza Bodi ya mikopo .Nilimsumbua waziri, waziri akaisumbua Bodi,Nilisumbua wizara ikasumbua Bodi lengo ni wanafunzi wapate mikopo na hakika mliwajibika ,Mh.Olenasha uliwajibika ,nchi hii itakukumbuka siku zote.

Kwaheri Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Pole kwa Familia , Pole kwa wananchi wa Ngorongoro, Pole kwa Bunge la JMT, Pole kwa Mh. Rais , Pole kwa watanzania kwa kuondokewa na naibu waziri wa uwekezaji ofisi ya waziri Mkuu baada ya kuhudumu katika wizara ya elimu kama naibu waziri wa Elimu.

Kwaheri Mh.Olenasha.

Abdul Nondo.

View attachment 1955292
Halafu you can imagine maisha ya watu wetu yalivyo huko umasaini, halafu Mungu ameamua kumchukua mtu huyu! Yaani tunahitaji watu wa aina hii huko umasaini (kwa idadi), zaidi ya tunavyoweza kuwazalisha. Muujiza wa Mungu ufanye kazi kutupatia rmbadala wa mtu mwenye kushika majukumu aliyokuwa nayo mtu huyu muhimu mno. Nawapa pole sana ndugu zake lakini pia pole zingine zimwendee Mh Prof. Kitila Mkumbo. Walikuwa marafiki wazuri kipindi tunasoma na alikuwa anampenda sana mtu huyu.
 
Pumzika kwa Amani Ole Nasha.
Hakika alikuwa ni mmoja wa watu smart sana.
Nakumbuka siku niliyokutana na wewe kwa mara ya kwanza ulijipambanua haswa.
 
Nenda Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha wajibu wako umetimiza Taifa lako umelisogeza.

Nilipata kukufahamu kwa ukaribu sana ukiwa naibu waziri wa Elimu 2017-2020.Ni kipindi ambacho nilihudumu katika nafasi ya utetezi wa haki za wanafunzi Tanzania kama Mkurugenzi wa haki na wajibu wa wanafunzi Tanzania na baadaye kama mwenyekiti wa taasisi ya utetezi wa haki za wanafunzi Tanzania-TSNP .

Timu yenu katika wizara ya elimu iliongozwa na Waziri Prof.Joyce Ndalichako na wewe kama naibu waziri ,Katibu Mkuu Dkt. Leonard Akwilapo , manaibu Katibu Dkt. Ave Maria Semakaf na Prof.James Mdoe. Wajibu wenu mlitimiza.

Kwaheri,Mh.William Tate Olenasha .

Hakika niliwasumbua na hakika mlisumbuka ila hamkuchoka kunisikia na kutatua changamoto za wanafunzi na kulinda haki zao .

Kwaheri,Mh.William Tate Olenasha .Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Nilipoleta suala wizarani juu ya rushwa ya Ngono chuo cha Sauti Mwanza .Ulinipigia simu ukasema unakwenda Mwanza.Hakika ukaenda ,ukakutana na Mwanafunzi muhanga,Tume ya uchunguzi ukaiunda ili haki ya muhanga ipatikane ,Tume ikatoa majibu na kukabidhi Takukuru ,Takukuru Mwanza ikalala . Mwalimu akatoroshwa ,Takukuru ikasuasua ila ukaahidi kulimaliza hili hatimaye ukahamishwa wizara.Prof.Ndalichako akaahidi kulibeba.

Kwaheri,Mh.William Tate Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Nilileta suala wizarani wanafunzi 10 wa Bugando ambao walikuwa viongozi wa Serikali ya wanafunzi Bugando mwaka wa nne kufukuzwa chuo akiwemo Rais na waziri Mkuu na viongozi wengine.

Ulilibeba suala hili ,Dr.Ave Maria na wizara ikalibeba suala hili kwa ushirikiano wa karibu wanafunzi wote walirudishwa chuo sasa hivi ni madaktari katika hospital zetu nchini .

Kwaheri, Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Ulikuwa kiongozi mnyenyekevu na uliyejishusha katika utatuzi wa changamoto na utumishi wako. Nilikuletea changamoto ya wanafunzi wa chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial waliopata changamoto kwa uongozi wa chuo kutumia alama mpya za masomo kwa kutumia prospectus mpya na hata kuathiri matokeo yaliyotumia alama za prospectus iliyopita hivyo kupelekea wanafunzi kufelishwa bila sababu.

Ulisema hii haiwezekani ulisema unalifanyia kazi , usiku wa saa 4 ukanipa taarifa kwamba Chuo kitatoa taarifa Asubuhi kwa wanafunzi kutatua changamoto hii.Uwajibikaji wako kwa nchi hii ulitukuka Ole.

Kwaheri Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza, taifa umelisogeza Ole.

Nilipotoa taarifa wizarani juu ya Wanafunzi wa Pugu shule ya Sekondari kufukuzwa karibuni wanafunzi 20, ulipokea ukahitaji niandike vizuri suala hili na mapendekezo .Nilifanya hivyo wewe Mh.Olenasha uliyetutoka leo kwa kishirikia na Dr.Ave Maria Semakafu na wizara yote mlisaidia kurudisha wanafunzi wote shule ,leo wapo vyuo vikuu.

Nenda Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Suala la Mikopo Elimu ya Juu nilikusumbua Mh.Olenasha ,na wewe uliisumbua Bodi ya mikopo na hata kufanya ziara ya kushtukiza Bodi ya mikopo .Nilimsumbua waziri, waziri akaisumbua Bodi,Nilisumbua wizara ikasumbua Bodi lengo ni wanafunzi wapate mikopo na hakika mliwajibika ,Mh.Olenasha uliwajibika ,nchi hii itakukumbuka siku zote.

Kwaheri Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Pole kwa Familia , Pole kwa wananchi wa Ngorongoro, Pole kwa Bunge la JMT, Pole kwa Mh. Rais , Pole kwa watanzania kwa kuondokewa na naibu waziri wa uwekezaji ofisi ya waziri Mkuu baada ya kuhudumu katika wizara ya elimu kama naibu waziri wa Elimu.

Kwaheri Mh.Olenasha.

Abdul Nondo.

View attachment 1955292

Ngoja wapinga chanjo waendelee kuupiga wa kutosha.

Wao na yule shujaa wao wameiletea balaa nchi hii kuliko hata Corona yenyewe.
 
You are a known instigator here in JF......

Now a days there are abundants of MODIFIED videos for spreading misinformations.....

Umeweka kipande kidogo kisicho hata na maongezi na maneno machache tukajua hapo ni wapi.....

Ridiculous!

Name calling? Who grants who such powers?

Presumably is against the very basic JF regulations.

Should we be going this low?
 
Name calling? Who grants who such powers?

Presumably is against the very basic JF regulations.

Should we be going this low?
Were you keen enough to read the beginning of the conversations?if you don't mind please go back to where it started......
 
Nenda Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha wajibu wako umetimiza Taifa lako umelisogeza.

Nilipata kukufahamu kwa ukaribu sana ukiwa naibu waziri wa Elimu 2017-2020.Ni kipindi ambacho nilihudumu katika nafasi ya utetezi wa haki za wanafunzi Tanzania kama Mkurugenzi wa haki na wajibu wa wanafunzi Tanzania na baadaye kama mwenyekiti wa taasisi ya utetezi wa haki za wanafunzi Tanzania-TSNP .

Timu yenu katika wizara ya elimu iliongozwa na Waziri Prof.Joyce Ndalichako na wewe kama naibu waziri ,Katibu Mkuu Dkt. Leonard Akwilapo , manaibu Katibu Dkt. Ave Maria Semakaf na Prof.James Mdoe. Wajibu wenu mlitimiza.

Kwaheri,Mh.William Tate Olenasha .

Hakika niliwasumbua na hakika mlisumbuka ila hamkuchoka kunisikia na kutatua changamoto za wanafunzi na kulinda haki zao .

Kwaheri,Mh.William Tate Olenasha .Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Nilipoleta suala wizarani juu ya rushwa ya Ngono chuo cha Sauti Mwanza .Ulinipigia simu ukasema unakwenda Mwanza.Hakika ukaenda ,ukakutana na Mwanafunzi muhanga,Tume ya uchunguzi ukaiunda ili haki ya muhanga ipatikane ,Tume ikatoa majibu na kukabidhi Takukuru ,Takukuru Mwanza ikalala . Mwalimu akatoroshwa ,Takukuru ikasuasua ila ukaahidi kulimaliza hili hatimaye ukahamishwa wizara.Prof.Ndalichako akaahidi kulibeba.

Kwaheri,Mh.William Tate Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Nilileta suala wizarani wanafunzi 10 wa Bugando ambao walikuwa viongozi wa Serikali ya wanafunzi Bugando mwaka wa nne kufukuzwa chuo akiwemo Rais na waziri Mkuu na viongozi wengine.

Ulilibeba suala hili ,Dr.Ave Maria na wizara ikalibeba suala hili kwa ushirikiano wa karibu wanafunzi wote walirudishwa chuo sasa hivi ni madaktari katika hospital zetu nchini .

Kwaheri, Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Ulikuwa kiongozi mnyenyekevu na uliyejishusha katika utatuzi wa changamoto na utumishi wako. Nilikuletea changamoto ya wanafunzi wa chuo cha Mwalimu Nyerere Memorial waliopata changamoto kwa uongozi wa chuo kutumia alama mpya za masomo kwa kutumia prospectus mpya na hata kuathiri matokeo yaliyotumia alama za prospectus iliyopita hivyo kupelekea wanafunzi kufelishwa bila sababu.

Ulisema hii haiwezekani ulisema unalifanyia kazi , usiku wa saa 4 ukanipa taarifa kwamba Chuo kitatoa taarifa Asubuhi kwa wanafunzi kutatua changamoto hii.Uwajibikaji wako kwa nchi hii ulitukuka Ole.

Kwaheri Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza, taifa umelisogeza Ole.

Nilipotoa taarifa wizarani juu ya Wanafunzi wa Pugu shule ya Sekondari kufukuzwa karibuni wanafunzi 20, ulipokea ukahitaji niandike vizuri suala hili na mapendekezo .Nilifanya hivyo wewe Mh.Olenasha uliyetutoka leo kwa kishirikia na Dr.Ave Maria Semakafu na wizara yote mlisaidia kurudisha wanafunzi wote shule ,leo wapo vyuo vikuu.

Nenda Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Suala la Mikopo Elimu ya Juu nilikusumbua Mh.Olenasha ,na wewe uliisumbua Bodi ya mikopo na hata kufanya ziara ya kushtukiza Bodi ya mikopo .Nilimsumbua waziri, waziri akaisumbua Bodi,Nilisumbua wizara ikasumbua Bodi lengo ni wanafunzi wapate mikopo na hakika mliwajibika ,Mh.Olenasha uliwajibika ,nchi hii itakukumbuka siku zote.

Kwaheri Mh.William Tate Olenasha , Pumzika Salama Olenasha.Wajibu umetekeleza taifa umelisogeza Ole.

Pole kwa Familia , Pole kwa wananchi wa Ngorongoro, Pole kwa Bunge la JMT, Pole kwa Mh. Rais , Pole kwa watanzania kwa kuondokewa na naibu waziri wa uwekezaji ofisi ya waziri Mkuu baada ya kuhudumu katika wizara ya elimu kama naibu waziri wa Elimu.

Kwaheri Mh.Olenasha.

Abdul Nondo.

View attachment 1955292
Dogo Naona unatafuta nitoje vipi?
Mwami zitto Dogo siku si nyingi ataunga juhudi, ameanza musician ujinga tu
 
Back
Top Bottom