Bwana Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 3,584
- 7,471
wewe unajua maana ya R.I.P?R.I.P BALOZI MAHALU,
Mwenyezi Mungu aiweke roho yako mahali inapostahili, aimen
wewe unajua maana ya R.I.P?R.I.P BALOZI MAHALU,
Mwenyezi Mungu aiweke roho yako mahali inapostahili, aimen
andikia hoja mahususi jukwaani gentleman na itapendeza zaidi,wewe unajua maana ya R.I.P?
Asee unakera.andikia hoja mahususi jukwaani gentleman na itapendeza zaidi,
hakuna haja ya kumbwelambwela
May his soul rest in peace. 🙏Amefariki mchana wa leo, Hospitali ya Taifa - Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kila nafsi itaonja mauti - naam, sisi ni mavumbi, na mavumbini tutarudi
View attachment 3555468
Costa Ricky Mahalu ni nani?
Profesa Costa Ricky Mahalu alizaliwa Julai 9, 1948 katika Kijiji cha Katunguru, Wilaya ya Sengerema, Mkoa wa Geita. Baada ya kumaliza elimu ya msingi, Mahalu aliendelea na masomo ya sekondari katika Shule ya Upili ya Kibaha, ambapo alimaliza kiwango cha ordinary level kabla ya kujiunga na Shule ya Upili ya Mkwawa.
Mnamo 1971, alijiunga na Kambi ya Jeshi la Taifa Makutupora huko Dodoma kwa mafunzo ya kijeshi kabla ya kuendelea na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ambako alihitimu shahada ya sheria mwaka 1974.
Mnamo 1975, Mahalu aliajiriwa na UDSM kama mhadhiri msaidizi katika Kitivo cha Sheria. Alisomea shahada yake ya pili ya sheria kuanzia 1976 hadi 1978 huku bado akifundisha chuoni. Mnamo 1979, alienda Hamburg, Ujerumani Magharibi, ambapo alipata shahada ya uzamili (PhD) mwaka 1983. Baada ya hapo alirudi UDSM na kupandishwa cheo hadi mhadhiri mkuu.
Mnamo 1990, alienda Ujerumani tena na kuajiriwa kama mhadhiri, lakini alirudi UDSM baada ya mwaka mmoja na kuteuliwa kuwa profesa wa sheria. Baada ya mwaka mmoja na nusu kazini, aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Elimu ya Juu, nafasi aliyoshikilia kuanzia 1992 hadi 1996.
Mnamo Oktoba 1996, alihamishwa kwenye Wizara ya Mambo ya Nje, na baadaye kutumwa Ujerumani kama msaidizi wa balozi. Mnamo 1999, aliteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Italia, ambapo alihudumu kuanzia 2000 hadi 2006.
Profesa Mahalu pia alifundisha sheria katika Chuo Kikuu cha St Augustine cha Tanzania.
hiyo ni nonsense yako binafsi na moyo wako gentlemanAsee unakera.
Kibaha prestigious graduate, that's impressive.Amefariki mchana wa leo, Hospitali ya Taifa - Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kila nafsi itaonja mauti - naam, sisi ni mavumbi, na mavumbini tutarudi
View attachment 3555468
Costa Ricky Mahalu ni nani?
Profesa Costa Ricky Mahalu alizaliwa Julai 9, 1948 katika Kijiji cha Katunguru, Wilaya ya Sengerema, Mkoa wa Geita. Baada ya kumaliza elimu ya msingi, Mahalu aliendelea na masomo ya sekondari katika Shule ya Upili ya Kibaha, ambapo alimaliza kiwango cha ordinary level kabla ya kujiunga na Shule ya Upili ya Mkwawa.
Mnamo 1971, alijiunga na Kambi ya Jeshi la Taifa Makutupora huko Dodoma kwa mafunzo ya kijeshi kabla ya kuendelea na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ambako alihitimu shahada ya sheria mwaka 1974.
Mnamo 1975, Mahalu aliajiriwa na UDSM kama mhadhiri msaidizi katika Kitivo cha Sheria. Alisomea shahada yake ya pili ya sheria kuanzia 1976 hadi 1978 huku bado akifundisha chuoni. Mnamo 1979, alienda Hamburg, Ujerumani Magharibi, ambapo alipata shahada ya uzamili (PhD) mwaka 1983. Baada ya hapo alirudi UDSM na kupandishwa cheo hadi mhadhiri mkuu.
Mnamo 1990, alienda Ujerumani tena na kuajiriwa kama mhadhiri, lakini alirudi UDSM baada ya mwaka mmoja na kuteuliwa kuwa profesa wa sheria. Baada ya mwaka mmoja na nusu kazini, aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Elimu ya Juu, nafasi aliyoshikilia kuanzia 1992 hadi 1996.
Mnamo Oktoba 1996, alihamishwa kwenye Wizara ya Mambo ya Nje, na baadaye kutumwa Ujerumani kama msaidizi wa balozi. Mnamo 1999, aliteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Italia, ambapo alihudumu kuanzia 2000 hadi 2006.
Profesa Mahalu pia alifundisha sheria katika Chuo Kikuu cha St Augustine cha Tanzania.
May God rest his soul in eternal peace!Amefariki mchana wa leo, Hospitali ya Taifa - Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kila nafsi itaonja mauti - naam, sisi ni mavumbi, na mavumbini tutarudi
View attachment 3555468
Costa Ricky Mahalu ni nani?
Profesa Costa Ricky Mahalu alizaliwa Julai 9, 1948 katika Kijiji cha Katunguru, Wilaya ya Sengerema, Mkoa wa Geita. Baada ya kumaliza elimu ya msingi, Mahalu aliendelea na masomo ya sekondari katika Shule ya Upili ya Kibaha, ambapo alimaliza kiwango cha ordinary level kabla ya kujiunga na Shule ya Upili ya Mkwawa.
Mnamo 1971, alijiunga na Kambi ya Jeshi la Taifa Makutupora huko Dodoma kwa mafunzo ya kijeshi kabla ya kuendelea na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ambako alihitimu shahada ya sheria mwaka 1974.
Mnamo 1975, Mahalu aliajiriwa na UDSM kama mhadhiri msaidizi katika Kitivo cha Sheria. Alisomea shahada yake ya pili ya sheria kuanzia 1976 hadi 1978 huku bado akifundisha chuoni. Mnamo 1979, alienda Hamburg, Ujerumani Magharibi, ambapo alipata shahada ya uzamili (PhD) mwaka 1983. Baada ya hapo alirudi UDSM na kupandishwa cheo hadi mhadhiri mkuu.
Mnamo 1990, alienda Ujerumani tena na kuajiriwa kama mhadhiri, lakini alirudi UDSM baada ya mwaka mmoja na kuteuliwa kuwa profesa wa sheria. Baada ya mwaka mmoja na nusu kazini, aliteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Elimu ya Juu, nafasi aliyoshikilia kuanzia 1992 hadi 1996.
Mnamo Oktoba 1996, alihamishwa kwenye Wizara ya Mambo ya Nje, na baadaye kutumwa Ujerumani kama msaidizi wa balozi. Mnamo 1999, aliteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Italia, ambapo alihudumu kuanzia 2000 hadi 2006.
Profesa Mahalu pia alifundisha sheria katika Chuo Kikuu cha St Augustine cha Tanzania.