Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,401
- 5,526
Wakuu, Asubuhi ya leo nimeamka mwanajeshi wangu kasimama hatari, yaani anasimama then anapoa anasimama then anapoa.
So mida hii huyu mwanajeshi amepoa kabisa ila nahisi maumivu makali kwa korodani zangu. Pia Nina muda mwingi sana sijafanya mapenzi wala kupiga punyeto.
Tatizo nini hapa?
So mida hii huyu mwanajeshi amepoa kabisa ila nahisi maumivu makali kwa korodani zangu. Pia Nina muda mwingi sana sijafanya mapenzi wala kupiga punyeto.
Tatizo nini hapa?