Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Nimewahi kuwasikia wataalam wakisema kuwa japokuwa puchu ina madhara kidogo, lakini
ni bora kupiga puchu kuliko ngono zembe.....Na kwa maisha ya sasa pia gharama za ngono
zimepanda sana kutokana na mfumuko, napiga puchu kila ninapoangalia porno, huwa mara 3+
... MziziMkavu tupe jibu....inatakiwa mara ngapi kwa siku?
ni bora kupiga puchu kuliko ngono zembe.....Na kwa maisha ya sasa pia gharama za ngono
zimepanda sana kutokana na mfumuko, napiga puchu kila ninapoangalia porno, huwa mara 3+
... MziziMkavu tupe jibu....inatakiwa mara ngapi kwa siku?