Public Service Pension Fund - PSPF

D___________Loy

Senior Member
Jan 21, 2020
148
118
Habari Wana Jf.

Tatizo ni nini mfuko wa PSPF kushindwa kutoa kadi za uanachama kwa Wanufaika Watumishi wa Serikali? Natambua Mtumishi ambaye ni ajira mpya anaanza kupokea makato kutoka PSPF automatically.

Je, haiwezekani mfuko huo kuruhusu mtumishi kuangalia uanachama wake na kuweza kuangalia michango yake mwenyewe kupitia online kama wanavyofanya NSSF?

Inatusumbua na ndio maana Wastaafu wengi wanapokea taarifa za kitapeli.
 
Habari Wana Jf. Tatizo ni nini mfuko wa PSPF kushindwa kutoa kadi za uanachama kwa Wanufaika Watumishi wa Serikali? Natambua ...
Hakuna mfuko unaitwa PSPF bali kuna PSSSF na mwingine unaitwa NSSF. Kajipange upya na hoja yako
 
Mkuu hivi mfanyakazi akiacha kazi mwenyewe kwenye kampuni anaweza kupewa mafao yake ya nssf? Au mpaka afukuzwe kazi?
Mafao ya NSSF ni kati ya Mfanyakazi na NSSF, Mwajiri hana nafasi. Utoaji mafao ni kwa mujibu wa Sheria ya NSSF ambayo lazima uwe umetimiza vigezo vya fao husika
 
Mkuu hivi mfanyakazi akiacha kazi mwenyewe kwenye kampuni anaweza kupewa mafao yake ya nssf? Au mpaka afukuzwe kazi?
Ukiacha kazi mwenyewe huwezi kupewa mafao yako bali utapewa kama una barua ya termination, end of contract, retrenchment au kampuni imefunga huduma zake na uwe na certificate of service ndo unaanza kupewa form ya kufungua madai.
 
Huduma ya online ipo omba msaada pssf wako vizuri download app Yao acha lawama




Habari Wana Jf.

Tatizo ni nini mfuko wa PSPF kushindwa kutoa kadi za uanachama kwa Wanufaika Watumishi wa Serikali? Natambua Mtumishi ambaye ni ajira mpya anaanza kupokea makato kutoka PSPF automatically.

Je, haiwezekani mfuko huo kuruhusu mtumishi kuangalia uanachama wake na kuweza kuangalia michango yake mwenyewe kupitia online kama wanavyofanya NSSF?

Inatusumbua na ndio maana Wastaafu wengi wanapokea taarifa za kitapeli.
 
Back
Top Bottom