Public apology kwa stellian Russu..

Public apology kwa stellian Russu..

Sio kwamba nitamkuza??? [emoji23] 😉😉.. simpi bwana..[emoji23]😉...ila angalia 90% ya comments za humu zinataka nimpe...hata sijui nimpe nini...wameng'ang'aania tu nimpe......[emoji23][emoji23][emoji23]

Mpe kitu cha asili ambacho hakina kemikali.
 
Yaani nimesoma uzi mzima, nimegundua;
1. Kuna watu wana masihara hata katika mambo ya maana
2. Kuna wanaoreason na kutoa komments zenye mantiki.
3. Kuna wanaokoment kufuata upepo as nao waonekane wamechangia. Hawajui kinachoendelea and they actually don't bother to know what has happened.
Kweli hii ni JF inayokutanisha akili tofauti tofauti uwanja mmoja.😂😂
Rebeca 83 umefanya jambo la kistaarabu sana kuomba msamaha baada ya kugundua makisio yako hayakuwa sahihi, ni wachache sana wenye moyo huo ukiachilia mbali hapa watu hawafahamiani so isingekuwa issue kuomba msamaha. Mungu aendelee kukupa moyo huo wa toba kila unapohisi umekosea.
Shida watu wanajiuliza kwann mtu atuhumiwe pasipo kuwa na uhakika ?
 
Shida watu wanajiuliza kwann mtu atuhumiwe pasipo kuwa na uhakika ?
Over reaction na maamuzi ya haraka kabla ya uchunguzi hupelekea hiyo hali. Si umeona Rebeca 83 baada ya kutulia, kutafakari, kuunganisha dots zake na hatua alizochukua akarealise kuwa bwana sergio alonso sio mhusika ndiomana akaomba msamaha.
Alishamuomba private na haikutosha akaja kumuomba hapa pia. Isingekuwa hatua hii hata wewe na mimi tusingejua kama wameshamalizana huko PM.
 
Back
Top Bottom