Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,001
- 1,688
Hello JF
Leo ningependa kuchukua nafasi hii kumuomba msamaha isajorsergio kwa kumtuhumu yeye ndio Stellian Russu na ameiba idea ya proposal yangu...
Nimethibitisha kwa watu wawili waliotuma proposal zao US embassy documents zao zinaonyesha author ni huyo Stelian Russu
Isajosrgio has nothing to do with it...
Nimeona nimuombe msamaha in public sababu nimemvictimize kaka wa watu publicly..
Na alivyo mstaarabu hakuwa ananijibu, anaona dish limeyumba tu..🤣
Again, i am soo sorry Sergio...
Kijana mstaarabu apewe zawadi ya ushindi.