Public apology kwa stellian Russu..

Public apology kwa stellian Russu..

Aisee

Yaani lawama zote zile kumbe hata haukuwa na uhakika kuwa yeye ndiye muhusika

Mmhh inaweza kuwa waliokua wanadai kuwa ile I'd ya huyo Sergio na wewe ni mtu 1 walikuwa wapo sahihi
Nilisha sema huko nyuma kuna watu wanatengenezewa mazingira wabananishwe kwenye ukuta,

huyu Rebecca namwona kama Alisha pata mafunzu kutoka kwa matapeli ya kinaijeria.. Hao wote na huyo dudu pori ruzzu wote ni ma
scammer
 
Yaani nimesoma uzi mzima, nimegundua;
1. Kuna watu wana masihara hata katika mambo ya maana
2. Kuna wanaoreason na kutoa komments zenye mantiki.
3. Kuna wanaokoment kufuata upepo as nao waonekane wamechangia. Hawajui kinachoendelea and they actually don't bother to know what has happened.
Kweli hii ni JF inayokutanisha akili tofauti tofauti uwanja mmoja.😂😂
Rebeca 83 umefanya jambo la kistaarabu sana kuomba msamaha baada ya kugundua makisio yako hayakuwa sahihi, ni wachache sana wenye moyo huo ukiachilia mbali hapa watu hawafahamiani so isingekuwa issue kuomba msamaha. Mungu aendelee kukupa moyo huo wa toba kila unapohisi umekosea.
 
Kwa mujibu wa kichwa cha habari unaomba radhi kwa Stellian Russu au Isajorsergio?
 
Hello JF

Leo ningependa kuchukua nafasi hii kumuomba msamaha isajorsergio kwa kumtuhumu yeye ndio Stellian Russu na ameiba idea ya proposal yangu...

Nimethibitisha kwa watu wawili waliotuma proposal zao US embassy documents zao zinaonyesha author ni huyo Stelian Russu

Isajosrgio has nothing to do with it...

Nimeona nimuombe msamaha in public sababu nimemvictimize kaka wa watu publicly..

Na alivyo mstaarabu hakuwa ananijibu, anaona dish limeyumba tu..[emoji1787]

Again, i am soo sorry Sergio...
Kwanini usimpe zawadi aipendayo kama kitulizo ili yaishe kabisa?

Maana hiyo ni zaidi ya kashifa uliyompakazia na unajua kuuchonga dada wa watu!
 
Naogopa kumuuliza zawadi aipendayo...? [emoji23] [emoji23][emoji23],...kuuchonga jadi lol[emoji23]..nitajifunza kupunguza..lol
Ningelikuwa ni mimi,ningelikusamehe lakini ningelikung'ang'ania ile ng'ang'ana kabisa, siyo kwa ubaya lakini.
 
Kama member wengi wanavyoshauri, nami nnakazia, mpe kijana mstaarabu, hamna mbaya
 
😆😆...bas usimpe🙈🤭! Utamdogosha🤭

Sio kwamba nitamkuza??? 😂 😉😉.. simpi bwana..😂😉...ila angalia 90% ya comments za humu zinataka nimpe...hata sijui nimpe nini...wameng'ang'aania tu nimpe......😂😂😂
 
Back
Top Bottom