Public apology kwa stellian Russu..

Public apology kwa stellian Russu..

Intosha sasa mkuu, nashauri hii iwe comment yako ya mwisho.
Hahaaa kwamba unawasiwasi wadau. Watahisi kwamba anamfanyia promo ...

Muda si-mrefu wanazengo wataanza kudai hela yao ya kulipia tangazo ....
 
Hahaaa kwamba unawasiwasi wadau. Watahisi kwamba anamfanyia promo ...

Muda si-mrefu wanazengo wataanza kudai hela yao ya kulipia tangazo ....
Nimekuepo hapa ndani kwa muda chief, na nimejiskia kushauri kwa uzuri si'kwaubaya.
Kwajinsi ninavyo pafahamu humu ndani, minadhani mleta mada alipaswa kuwa na kikomo mara tu baada ya kuwiwa kuomba msamaha kwa kujutia kosa alilo litenda.
Sote ni wakosaji na hakika hatuja kamilika.
 
Nimekuepo hapa ndani kwa muda chief, na nimejiskia kushauri kwa uzuri si'kwaubaya.
Kwajinsi jinavyo pafahamu humu ndani, minadhani mleta mada alipaswa kuwa na kikomo mara tu baada ya kuwiwa kuomba msamaha kwa kujutia kosa alilo litenda.
Sote ni wakisaji na hakika hatuja kamilika.
Naam ushauri ulioutoa ni mzuri ... Ukiangalia mazingira ya members wa humu jf yalivyo

Wataanza kuja na negative thoughts kwa Rebe ... Wakati huwenda yeye hana lengo hilo
 
Hello JF

Leo ningependa kuchukua nafasi hii kumuomba msamaha isajorsergio kwa kumtuhumu yeye ndio Stellian Russu na ameiba idea ya proposal yangu...

Nimethibitisha kwa watu wawili waliotuma proposal zao US embassy documents zao zinaonyesha author ni huyo Stelian Russu

Isajosrgio has nothing to do with it...

Nimeona nimuombe msamaha in public sababu nimemvictimize kaka wa watu publicly..

Na alivyo mstaarabu hakuwa ananijibu, anaona dish limeyumba tu..🤣

Again, i am soo sorry Sergio...
Umefanya jambo la hekima kumwomba radhi,signs of humility
 
Back
Top Bottom