PSRS wanataka tujibu vipi mitihani yao ili tufaulu? Unajibu majibu sahihi wanaweka marks sio sahihi, inauma sana

SPONSA

Senior Member
Oct 30, 2018
177
268
Dah nasikitika sana yaani unaweza kukata tamaa kabisa na ushahili wa PSRS unasoma unajiandaa vizuri kabisa unaenda kufanya mtihani unaufanya vizuri ulichosoma unakikuta kwa 100% na unatoka unaangalia unaona umejibu vilevile.

Cha kusitikisha majibu yanatoka umepata 40% daah roho inaniuma nahisi kukata tamaa kabsa. Nabaki najiuliza wanataka tujibu vipi hiyo mitihani yao? Kama unajibu vizuri unafeli sasa tujibu nini nisaidieni wadau kuna siri gani hapa katikati ya usahihishaji wao wa mitihani naomba kujua wadau nawasilisha.
 
Unajua nin, kusahisha watu elfu tatu sio mchezo,mi nahisi huwa wanatafuta idadi yao qanayoitaka kwa kusahisha vizuri ikifika mnaobaki unapigwa maksi tu maana nakumbuka nilifanya mitihan miwili moja wa audit mwingine wa loan officer kwa siku mbili zilizofuatana ule wa audit nilijua nimezingua totally Ila Sasa huo ndo nilipata maksi nyingi kuliko ule niliosema nimepiga vizuri
 
Unajua nin, kusahisha watu elfu tatu sio mchezo,mi nahisi huwa wanatafuta idadi yao qanayoitaka kwa kusahisha vizuri ikifika mnaobaki unapigwa maksi tu maana nakumbuka nilifanya mitihan miwili moja wa audit mwingine wa loan officer kwa siku mbili zilizofuatana ule wa audit nilijua nimezingua totally Ila Sasa huo ndo nilipata maksi nyingi kuliko ule niliosema nimepiga vizuri

Kwaiyo sasa hivi ni auditor mahala flani ?
 
Unajua nin, kusahisha watu elfu tatu sio mchezo,mi nahisi huwa wanatafuta idadi yao qanayoitaka kwa kusahisha vizuri ikifika mnaobaki unapigwa maksi tu maana nakumbuka nilifanya mitihan miwili moja wa audit mwingine wa loan officer kwa siku mbili zilizofuatana ule wa audit nilijua nimezingua totally Ila Sasa huo ndo nilipata maksi nyingi kuliko ule niliosema nimepiga vizuri
sasa umeipata point yangu unaushuhuda kabsa wale jamaa wanasahisha wakiona waliofaulu wengi bas kuna njia wanafanya kupunguza idadi sasa ukibahatika kuwepo kwenye idadi yao s anayotaka unaendelea step nyingine lakini na sisitiza wanaofaulu ni wengi kuliko idadi wanayotaka inamaana nafasi zikiwa chache siendi kupiga pepa nafasi 3 sijui 5 siend tena napotea zaidi ya 150k af wanakupunguza kifala tu.
 
Unapofanya mtihani utumishi usijiwekee perception kubwa kwamba utafaulu kutokana na namna ambavo unajibu maswali hapana

Kufanya hivo ndo mwisho wa siku unajiona kama vile haufai, hujui unaaza kuji undermine na kujizarau

We fika piga pepa sepa subir results maisha yanasonga
 
Sometimes haya mambo inadepend na aliyekusahihisha pia kumbuka hii mitihani inapitia hatua zote za ukaguzi na udhibiti ubora kila,kila swali lina msahihishaji wake anayejumlisha marks na mkaguzi wa mitihani percentage ya kukoseshwa ni ndogo mno au kama unavyosema ikifika idadi ya wanaotaka wanaanza kufelisha wengine hili jambo haliwezekani.

Swala la mitihani lipo katika sheria ya usalama wa taifa ya mwaka 1970 kifungu cha (3).

Nachoweza kusema yapo mambo mengi yanayokatisha tamaa lakini tukubali ukiona hujapata jua walopata wamefanya vizuri zaidi yako na hamuwezi ajiliwa wote .

Nishaga feli mitihani kadhaa ya utumishi ila yote nilikua natambua wapi nimeteleza.
 
Unapofanya mtihani utumishi usijiwekee perception kubwa kwamba utafaulu kutokana na namna ambavo unajibu maswali hapana

Kufanya hivo ndo mwisho wa siku unajiona kama vile haufai, hujui unaaza kuji undermine na kujizarau

We fika piga pepa sepa subir results maisha yanasonga
Kwanini usijiwekee umefaulu na unaona umejibu sawa?? Nambie kwaiyo hata ukijibu sawa ukubali kufeli sio?? Sasa unaenda dodoma kubahatisha sio?? Nijibu huwa unaenda dodoma kubahatisha??
 
Sometimes haya mambo inadepend na aliyekusahihisha pia kumbuka hii mitihani inapitia hatua zote za ukaguzi na udhibiti ubora kila,kila swali lina msahihishaji wake anayejumlisha marks na mkaguzi wa mitihani percentage ya kukoseshwa ni ndogo mno au kama unavyosema ikifika idadi ya wanaotaka wanaanza kufelisha wengine hili jambo haliwezekani.

Swala la mitihani lipo katika sheria ya usalama wa taifa ya mwaka 1970 kifungu cha (3).

Nachoweza kusema yapo mambo mengi yanayokatisha tamaa lakini tukubali ukiona hujapata jua walopata wamefanya vizuri zaidi yako na hamuwezi ajiliwa wote .

Nishaga feli mitihani kadhaa ya utumishi ila yote nilikua natambua wapi nimeteleza.
unasema kirahisi sana ngoja ikutokee ndo utajua maumivu yake unapoteza 150k unajiandaa muda mrefu unajibu vizuri alafu unafeli eti!!!! Then unakuja na vfungu vya sheria wakat uhalisia nimeuona ni hv wakifaulu wrngi wengine mnkandwa usilete habar za vifungu vya sheria. Pale sio chuo kwamba unapata GPA wanaidadi yao wakiipata wengne lazm mfe.
 
Sometimes haya mambo inadepend na aliyekusahihisha pia kumbuka hii mitihani inapitia hatua zote za ukaguzi na udhibiti ubora kila,kila swali lina msahihishaji wake anayejumlisha marks na mkaguzi wa mitihani percentage ya kukoseshwa ni ndogo mno au kama unavyosema ikifika idadi ya wanaotaka wanaanza kufelisha wengine hili jambo haliwezekani.

Swala la mitihani lipo katika sheria ya usalama wa taifa ya mwaka 1970 kifungu cha (3).

Nachoweza kusema yapo mambo mengi yanayokatisha tamaa lakini tukubali ukiona hujapata jua walopata wamefanya vizuri zaidi yako na hamuwezi ajiliwa wote .

Nishaga feli mitihani kadhaa ya utumishi ila yote nilikua natambua wapi nimeteleza.
Tatio wanachukua mmoja kwenye watu watwtu ya 1:3 nafasi za kaz 5 mpo 700 inamaa lazma wapate 15 wataongeza mpka 20 hv sasa unadhani kwenye 700 wanapata 90 wangapi hiyo logic ndogo nadhani utanielewa kama kichwa kigumu basi hautonielewa.
 
unasema kirahisi sana ngoja ikutokee ndo utajua maumivu yake unapoteza 150k unajiandaa muda mrefu unajibu vizuri alafu unafeli eti!!!! Then unakuja na vfungu vya sheria wakat uhalisia nimeuona ni hv wakifaulu wrngi wengine mnkandwa usilete habar za vifungu vya sheria. Pale sio chuo kwamba unapata GPA wanaidadi yao wakiipata wengne lazm mfe.
Mkifaulu wengi wanachukua walofanya vizuri zaidi soma sheria zao zimeelekeza mkifaulu wengi wanafanya 1:3 au 1:4 manake nafasi moja igombaniwe na watu 3 au 4 ko itategemea mmefaulu vipi hujawahi ona mtu anapata 70 ila anaachwa?
 
Back
Top Bottom