Pspf

LUSANGA

Member
Apr 2, 2012
31
3
jamani kwa wale tulofanya interview Pspf tar 19 march je washaita watu wao kazini?sie watoto wa kina baba kabwela najua hatuez kuingia palee.
 
Kama huna ndugu pale ucjisumbue maana mimi kuna mtu namjua pale kila zktoka nafas za kaz lazma anambie ila bahat mbaya unakuta sicho nilichosomea....pspf wanaundugu sana na wanaekana marafiki wenyewe kwa wenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom