FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,353
Aisee, kweli aliyesema "we differ in differences" hakukosea. Yaani, waliokosa unawaona kama kinyesi vile as if siku moja utazikwa Ofisini-TRA. Endelea na Moyo Huohuo, na MUNGU/mungu unaemshukuru kwa kupata kazi hiyo sijui ni yupi hapo?.Wakuu nashukuru Mungu.
Wakuu Kuna SMS za Matangazo zinatoka PSPF je na Wengine mnazipata na ni nani aliyewapa Namba yangu?
"Life+time"