British SAS
Member
- Oct 19, 2017
- 60
- 146
- Thread starter
- #21
Customs Officer II- Tanzania Revenue Authority (TRA)Alafu utakuta kazi yenyewe yakuuza juice ya miwa ndio unakuja kusumbua watu hapa
Customs Officer II- Tanzania Revenue Authority (TRA)Alafu utakuta kazi yenyewe yakuuza juice ya miwa ndio unakuja kusumbua watu hapa
watu mliokua iddle mna tabu sana.Watu tunaingia Wapole kwenye Vyumba vya Interview Perry yeye anabenua Midomo na Anaagalia Dirishani kwa dharau alienda Utumishi kuwauliza huku akijua ni kosa Kwa Mujibu wa sheria namba 8 ya 2002 kujaribu Ku Mu Influence Mwenyekiti wa tume watakua wamemfahamu kwani anasumbua hata mitandaoni
hivi yanaweza kuwa yanakuhusu kweli mkuu?Haya maneno makali ndiyo uliyatumia kwenye Oral ya Utumishi????
*****G. O. E. *****
Mkuu pole sanaa uchungu unaosikia hakika Mwenyezi Mungu atakuletea unafuu.watu mliokua iddle mna tabu sana.
Ungem-PM yanayemhusu mkuu but sorry for inconvenience/'hivi yanaweza kuwa yanakuhusu kweli mkuu?
Hahaa ina maana mnaamini huyu jamaa ni miongoni mwa maafisa forodha walioitwa? Haiwezi kuwa nawahakikishia huyu ni mpambe tu itakuwa kuna jamaa yake ndo kapata hii kazi haya anayoandika humu anasimuliwa na huyo jamaa.Hii mitandao ya kijamii ina vituko kweli utakuta British SAS ana kadiploma ka IT halafu hana hata kibarua chochote ila mikogo yake humu utadhani kweli ni afisa wa TRA mtarajiwabadala ya kukaa kutafakari namna ya kwenda kutekeleza majukumu yako kwa weledi,umebaki kuwakejeli wenzako waliokosa?hujui unaweza ukaingia tu kazini ukaundiwa zengwe ukafukuzwa kazi baada ya mwezi mmoja?
Hahahah kuwa mpole acha jazba waliofanikiwa wache wajipe aman ya moyo hauko pekeyako let it go and continue to fightacha upuuzi wewe..ulikua huna kazi kitaa nin?watu tushafunga mjadala wa huo upuuzi
Mimi pia nimelamba ajira zile 400 sasa jana nikashangaa wamenitumia sms kama hyo yakoWakuu nashukuru Mungu.
Wakuu Kuna SMS za Matangazo zinatoka PSPF je na Wengine mnazipata na ni nani aliyewapa Namba yangu?
Salary kiasi gani huko mkuu tuambie,Customs Officer II- Tanzania Revenue Authority (TRA)
Hapo ndo mpango mzima.Achana nao jiunge LAPF utakuja kunishukuru siku moja
Hana ujasiri wa kutaja maana kazi nzuri hupimwa kwa mshaharaSalary kiasi gani huko mkuu tuambie,