HELA
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 200
- 191
Leo kwa mara ya kwanza kupitia mtandao wa video wa Youtube nimeshuhudia tangazo la wimbo wa 'Zilipendwa' ambao umeimbwa na wasanii kutoka 'lebo' ya WCB wakiongozwa na msanii wa kimatatifa, Diamond Platnumz.
Wimbo wa huo unajitokeza mwanzo unapofungua video kwenye mtandao huo kama tangazo ambalo inabidi usubiri wa sekunde 5 ndipo utazame video uliyokuwa unaikusudia kuitazama.
Hii imenishtua kidogo kwani tangu nianze kumfahamu Diamond sijawahi kuona wimbo wake wowote ambao ametumia aina hii ya matangazo.
Ninachoamini na kukifahamu ni kumba mara zote msanii Diamond amekuwa akipata watazamaji wengi wa video zake pamoja na 'subscribers ' kwanjia ya 'Organic Traffic'.
Japokuwa shutuma za kununua 'Traffic' zipo toka zamani, mimi nilikuwa sijapata uthibitisho wowote hadi kwenye video hii ya Zilipendwa.
Nanachojiuliza na ningependa wadau wake wa karibu mnieleza ni hiki.
Kipi kimepata Diamond pamoja na pamoja na lebo yake ya WCB kufanya hili kwenye wimbo wa 'Zilipendwa'?.
Namuheshimu sana Diamond kwa jitihada zake.
Wimbo wa huo unajitokeza mwanzo unapofungua video kwenye mtandao huo kama tangazo ambalo inabidi usubiri wa sekunde 5 ndipo utazame video uliyokuwa unaikusudia kuitazama.
Hii imenishtua kidogo kwani tangu nianze kumfahamu Diamond sijawahi kuona wimbo wake wowote ambao ametumia aina hii ya matangazo.
Ninachoamini na kukifahamu ni kumba mara zote msanii Diamond amekuwa akipata watazamaji wengi wa video zake pamoja na 'subscribers ' kwanjia ya 'Organic Traffic'.
Japokuwa shutuma za kununua 'Traffic' zipo toka zamani, mimi nilikuwa sijapata uthibitisho wowote hadi kwenye video hii ya Zilipendwa.
Nanachojiuliza na ningependa wadau wake wa karibu mnieleza ni hiki.
Kipi kimepata Diamond pamoja na pamoja na lebo yake ya WCB kufanya hili kwenye wimbo wa 'Zilipendwa'?.
Namuheshimu sana Diamond kwa jitihada zake.