Sasa mkuu unaposapoti upande mmoja Sindiyo kuwa member au!I am neither Chadema nor sisiem member but...
I support opposition in general!
Asante kwa niaba
Jitahidi 2019 roho mbaya ipungue! au vipi?You are the Best.
Kheri ya mwaka 2019 - JamiiForumsJitahidi 2019 roho mbaya ipungue! au vipi?
siamini, maana hamuaminiki, ngoja nikuone 2019 nitakujibu!
Mbona chama dola kinatubagua kaskazini.Ubaguzi ni kansa mbaya sana kwenu bonde pia umewashau basi ungesema wapinzani wote!
acha kupotosha wewe .Act,Cuf,Nld ndio mashetani waovu wenyewe!
Kimebomoa barabara au wamesitisha kupeleka dawa hospital?Mbona chama dola kinatubagua kaskazini.
Unawashwa?Act,Cuf,Nld ndio mashetani waovu wenyewe!
Mimi au wewe!acha kupotosha wewe .
Kakojoe ulale!Unawashwa?
Unakalili si kila mtu akitaka kulala lazima akojoe. CCM ni sawa na kahaba anaetaka kuolewa hutapatapa kujifanya kaacha tabia zake na kuwa mtu mpya ila kiuhalisia hawezi acha tabia aliyokwishaizoea.Kakojoe ulale!
Amina
Hizi haziwahusu nyie sio wajelajela kama cc / cc tunafarijiana kwa madhila tunayopitia hayo maua 🌹 Rose ya rangi hizo ni faraja kwetu wajelajela sio nyie wa ikulu n'a mahotelini !!Kwa nini unatutenga Sisi wa CCM?
Karibuni CCM