Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Wachimbaji wa madini nchini wamejitokeza kwa nguvu kuunga mkono juhudi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha sekta ya madini, huku wakiahidi kumpigia kura kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Mwenyekiti wa Madini ya Vito Prosper Tesha ameyasema hayo hivi karibuni katika taarifa yake wakati wa ziara ya Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko alipotembelea eneo la Mundarara yanapochimbwa madini ya Rubby wilayani Longido mkoani Arusha.
Tesha ambaye pia ni Mkurugenzi wa kampuni ya uchimbaji wa madini ya RGI Company Ltd amesema mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia, hususan katika sekta ya nishati na madini, ni ushahidi tosha wa uongozi unaojali maendeleo ya Watanzania.
Mwenyekiti wa Madini ya Vito Prosper Tesha ameyasema hayo hivi karibuni katika taarifa yake wakati wa ziara ya Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko alipotembelea eneo la Mundarara yanapochimbwa madini ya Rubby wilayani Longido mkoani Arusha.
Tesha ambaye pia ni Mkurugenzi wa kampuni ya uchimbaji wa madini ya RGI Company Ltd amesema mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia, hususan katika sekta ya nishati na madini, ni ushahidi tosha wa uongozi unaojali maendeleo ya Watanzania.