Kama uliwahi kuifatilia ile kesi ya watu wa madini waliouwawa msitu wa pande utajaribu kunielewa
Yalikosewa maneno mawili matatu tu , yakamfanya kamanda aonekane innocent.na kumwuweka huru .
Kesi ngumu inategemeana na mwendesha mashtaka alivyo i frame, akikosea , hata wenye hatia wanaweza kuwa huru.