meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Leo tusubiri taarifa za habari kujionea propaganda zinazoenezwa na serikali kuwa mgomo umekwisha.
MOI nao wameingizwa kwenye siasa za liwalo na liwe?
Tatizo hawa wakubwa wanafikiri bado tuko kwenye zama za RTD na S.L.P
Wanasiasa wanatumia makalio kufikiri,mwisho wa sikuukweli unajulikana.solidarity forever......Leo tusubiri taarifa za habari kujionea propaganda zinazoenezwa na serikali kuwa mgomo umekwisha.
hii sasa ni hatari.lakini kuna video nimeiona sehemu MOI imebaki kama gofu.
ukweli utajulikana ndani ya saa 24 kama ilivyotokea kwa MNH.tukumbuke kuwa huu ni mgomo endelevu,nasubiri tamko la madaktari kama wameridhia kurejea kazini.
MOI nao wameingizwa kwenye siasa za liwalo na liwe?
Tatizo hawa wakubwa wanafikiri bado tuko kwenye zama za RTD na S.L.P