Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,626
- 22,004
Na issue udini utokea kipindi cha rais akiwa muislam,cabinet ya jpm ilikua na mawaziri 2 waislam ila hamna muislam aliyelalamika,imagine nyakati hizi mama samiah awe na mawaziri 2 wakristo kwenye cabinet yake- Vita ya kidini ikitokea Tanganyika itakua na madhara makubwa. kwasababu tuna dini kubwa mbili zenye mitazamo tofsuti.
- Moto wa vita hii unachochewa siku baada ya siku, wachochezi wakubwa wakiwa ni wanasiasa.
- Watanganyika wameishi pamoja kwa muda mrefu ingawa wana imani tofauti za kidini. Wazanzibari wao hawana udhoefu huu, kwa ni nchi yao, in practice ni ya kidini, dini moja.
USHAHURI
- Watanganyika tuwe makini sana na Zanzibar na Wazanzibari kabla hatujachelewa.