lifecoded
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 1,424
- 4,325
- Thread starter
- #1,061
Maarifa yataongezeka kwa mechanism ipi mkuu...?? Hapo kwanza ....Nani anayeratibu haya mabadiliko au ndo unameza na kupaste kwa kichwa ...??
Biblia imesema maarifa yataongezeka ,nani mratibu wakati mabadiliko hayo yakitokea...??
Biblia imesema maarifa yataongezeka ,nani mratibu wakati mabadiliko hayo yakitokea...??
Historically it's known that human beings evolved from chipanzee, and Charles Darwin, cemented by by writing that evolution do occur in nature through natural selection. They went further by saying that we have evolved from common ancestor, but each organism behave the way it's today because of adaption in the environment it operates. Again science is telling us eti tumeumbwa au tumetengenezwa na aliens, so which is which? ? Kwa nini dini isiaminiwe kuhusiana na creation of man and other creatures. Coz hapa napo kuna contradiction. Then kuhusiana na maendeleo ya technology, mimi naona biblia iko wazi kuhusu hili kwamba katika nyakati za mwisho maarifa itaongezeka.
Sent using Jamii Forums mobile app