Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Maarifa yataongezeka kwa mechanism ipi mkuu...?? Hapo kwanza ....Nani anayeratibu haya mabadiliko au ndo unameza na kupaste kwa kichwa ...??

Biblia imesema maarifa yataongezeka ,nani mratibu wakati mabadiliko hayo yakitokea...??
Historically it's known that human beings evolved from chipanzee, and Charles Darwin, cemented by by writing that evolution do occur in nature through natural selection. They went further by saying that we have evolved from common ancestor, but each organism behave the way it's today because of adaption in the environment it operates. Again science is telling us eti tumeumbwa au tumetengenezwa na aliens, so which is which? ? Kwa nini dini isiaminiwe kuhusiana na creation of man and other creatures. Coz hapa napo kuna contradiction. Then kuhusiana na maendeleo ya technology, mimi naona biblia iko wazi kuhusu hili kwamba katika nyakati za mwisho maarifa itaongezeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maarifa yataongezeka kwa mechanism ipi mkuu...?? Hapo kwanza ....Nani anayeratibu haya mabadiliko au ndo unameza na kupaste kwa kichwa ...??

Biblia imesema maarifa yataongezeka ,nani mratibu wakati mabadiliko hayo yakitokea...??
Looh! It's amazing, by the way huo ni unabii uliandikwa na sasa unatimia, anaye engineer hayo mabadiliko ni shetani na agents wake ili apate kuwatia wanadamu katika taharuki. He can't appear physically mpaka agents wake wawe tayari wamemuandalia mazingira. That's why hiyo mipango yake inatimizwa na watu fulani, na hao watu ndio wenye ujuzi, elimu, maarifa na ndio maana kila kukicha na wanakuja na vumbuzi za hali ya juu. Kama vile Mungu alivyochagua watu wachache ili waweze kufikisha ujumbe wake kwa watu ndivyo hivyo huyu baba wa uongo naye amechagua watu wachache na kuwapa ujuzi na maarifa ya vitu mbalimbali ili aweze kudhihirisha uwezo wake "imeandikwa atafanya ishara na maajabu mengi yumkini hata kuwadanganya waliowateule wake" don't be deceived, mimi sioni jipya hapo. Jipya lipo labda to those who don't know and understand both philosophical and revealed knowledge.

NB: umekimbilia kuuliza swali mkuu bila kutoa ufafanuzi wa content yote niliyoiandika. Itakuwa vizuri ukitolea ufafanuzi kuhusiana na hiyo contradiction niliyoiweka hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumai humu nyote ni wazima wa afya njema kabisa ,pole kwa yote lakini leo napenda kutoa mchango wangu kidogo kulingana na nilichopata kukiona au kujidhihilisha juu ya swali gumu ambalo limekosa majibu miaka nenda rudi juu ya binadamu alitoka wapi...

Sio lazima ukomaee na mealezo yangu lakini kama una imani yako baki na imani yako lakini kama unahitaji kujifunza mambo basi weka imani yako pembeni upate kujua haya..

=======================

kabla sijaendelea napenda kukufahamisha wewe au wale ambao mnapuuza sana juu ya conspiracy theories na kudai kuwa hazina proof sasa leo unaweza pata kitu hapa..

katika mwili wa kiumbe yoyote yule,kuna kitu iinachoitwa DNA hiki ndo kinachobeba mwongozo wa jinsi utakavyokuja hapa duniani kwa sura ipi,mfumo upi,mwonekano upi,kwa tabia ipi na sifa zote hizi hubebwa na kitu kinachoitwa DNA,

DNA ndo kila kitu kwan imebaba taarifa zote juu ya utengenezaji wa kila kitu ulichonacho mwilini..
killa kitu ulicho nacho mwilini mwako kuna specific genes (jeni) ambayo inahusika na utengenezaji wake,ikitokea jeni inayohusika kutengeneza pua imepata hitilafu ukiwa bado tumboni kwa mama yako basi utengenezwaji wa pua utakosekana na utazaliwa ukiwa huna pua,na ikitokea jeni(gene) inayohusika na kutengeneza remodeling ya sura yako iwe nzuri ila ikapata hitilafu basi utazaliwa ukiwa na sura kama kinyago.

All in all, genes ndo kila kitu katika mwili wa kiumbe yoyote yule,hizi abnormality tunazoziona ni kwa sababu gene zetu zinapata hitilafu mahala fulani kwenye arrangement zake ndani ya DNA sequence..

Arrangement za gene zetu zipo kwenye DNA kwa mfumo wa base pairing rule ,Genes zinaundwa na DNA bases ambazo zipo katika makundi mawili ( purine na pyrimidine ,ambapo purine ni Adenine (A) na Guanine (G) lakini pia pyrimidine ni Cytocine (C),Tymine (T) na Uracil (U).Ila katika namna ya kupair ili kuform gene tunaona kuwa Adenine huwa anapair na Tymine hence A=T katika DNA na kwenye RNA inakuwa A=U Wale waliosoma molecular chemistry na bioloji watakuwa wanalijua hili. lakini pia Cytocine anapair na Guanine hence C=G
View attachment 839829


kwa hiyo purine ana pair na pyrimidine mmoja ili waform complimentary sequence ya kuja kutengenza gene factor control..

Ili tuite kuwa hii ni genetic code( mfumo uliohifadhi taarifa ) ni lazima hizo bases ziwe tatu...mfano wa genetic code ni kama CCU, GAA,GGC,GAC,....na ni lazima ziwe triplet ( Tatu)...

kwa mfano gene inayohusika na utengeneza wa jicho inaundwa na genetic code ya ACG manake itokea mtu akapat effects ( Hitilafu) kwenye arrangement hiyo ya ACG na kuwa AGC hapo tunasema gene imepata mutation na kazi yake ya kutengeneza jicho inapotea kwa hiyo mtu atazaliwa hana jicho

Lakini ukiangalia vizuri kwenye sequence hiyo kuna DNA bases au kwa jina jingine tunaita DNA codes hazipei kutengeneza functional gene( genes zinazohusika kutengeneza mfumo ufanyao kazi)..Zinabaki hivo hivo tu..ni kama asilimia 85 ya DNA bases hazina kazi ya kutengeneza functional amino acid..


So only few percents DNA codes zilizopo kwenye DNA yetu ndo zina gene code zinazotengeneza protein kwa ajili ya kutengeneza specific organ mwilini mwetu kwa wakati maalumu..

SWALI JE": Hizo code zingine zinatengeneza nini au kazi yake ni nini sasa.....??

kiufupi tunapata makundi mawili ya genes hapo,coding genes na non- coding genes,,

Kuna genes zinazopair ili kuunda functional genes( genes zinazofanya kazi na kuleta umbo maalumu mwilini) lakini kuna baadhi ya genes kwenye hoiyo hiyo DNA sequence hazi match (non- coding genes) kutengeneza functional genes,,ni wazi kuwa kila bionadamu ana non- coding genes ambazo hazicode kwa chochote mwilini mwake na kwanini ziwepo wakati hazina kazi..?
View attachment 839830wale watu wa molecular analysis na DNA chemistry nadhani hata nyie mtajiuliza au bila shaka mshajiuliza kwanini non- coding genes zipo tu na hazihusiki kwa chochote,,,

lakini pia
Jozi ya wanasayansi kutoka Kazakhstan wanaamini kuwa aina zetu ziliundwa na mamlaka ya juu, ustaarabu wa mgeni ( Aliens) ambao ama alitaka kuhifadhi ujumbe katika DNA yetu au tu kupanda maisha kwenye sayari nyingine kwa muonekana tofauti wenye idadi flani ya kiwango cha vinasaba elekezi kisha kupandikiza aina nyingine ya vinasaba shirikishi( non- coding bases) ili vitumike kama signal transer kwenye main controller system ya kumwendesha mwanadamu katika maaumuzi ya chaguzo mbali mbali katika maisha yake..



Maxim A. Makukov wa Taasisi ya Astrophysical ya Fesenkov na Vladimir I. Shcherbak kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Farabi Kazakh alitumia miaka 13 akifanya kazi kwa Mradi wa Binadamu wa Genome - ambao ulituma ramani ya DNA ya binadamu katika kutupa picha halisi ya codes zilizopo kwenye DNA ambazo ni functional na ambazo sio functional kwa kucompare usawa na arrangement zilizopo kwenye baadhi ya cell za humanoid Aliens..

Hitimisho lao lilikuwa kwamba wanadamu walitengenezwa na nguvu ya juu, na "seti ya mifumo ya hesabu na lugha ya kibei kutoka mfumo wa nje kabisa wa ufahamu na mpangilio huo uliingizwa ndani ya DNA yetu.
coincidence,,??

Kutokana na kuwepo kwa group la non -coding genes kwenye DNA yetu wanasayansi wamefikia hatua ya kulipa jina la JUNK DNA ,means gene DNA ambazo kazi yake haijulikani bado.

Comparative genomics studies have shown that some of this junk DNA is highly conserved, sometimes over hundreds of millions of years, which suggests that these non-coding regions have undergone positive selection throughout evolution and confer an advantage in terms of preserving or minimizing certain biological traits.
(Uchunguzi wa jenomatiki umeonyesha kwamba baadhi ya DNA hii isiyojumuishwa imeonekana kuhifadhiwa sana katika mfumo wetu wa DNA , na wakati mwingine juu ya mamia ya mamilioni ya miaka, ambayo inaonyesha kuwa baadhi ya sehemu katika hii DNA imeonekana kubeba chembe chembe au vipande toka sehemu au DNA ya viumbe toka Anga za mbali... lakini mabadiliko yatokayo na mazingira huweza kuhifadhi au kupunguza baadhi ya sifa za kibiolojia.)


Kuna baadhi ya tafiti zimekuja kufanyika kwa kuhusisha DNA sequence ya HUMANOID ALIENS na kukuta kuwa seqence ya non- coding genes kwa binadamu zinafanana kidogo na a part of DNA pair genes kwenye HUMANOID ALIEN DNA.


Kwa hiyo inawezkana kabisa human being were programmed na Aliens kwa kazi maalumu na they are watching us for sure,,
View attachment 839838
DID EXTRATERRESTRIALS GENETICALLY ENGINEER HUMANS?


Uumbaji na mageuzi ni nadharia mbili maarufu za jinsi watu walivyokuwa,Ingawa labda ni nadharia zinazoenea zaidi, kuna shule au maelezo mengine yanahitajika kuelezea hili kuwa Binadamu aliundwa na tunaendelea kuprogramiwa na Extraterrestrial beings ( Aliens species).


Nadharia nyingine inachunguza wazo kwamba extraterrestrials manipulated DNA yetu kisha kujenga damu mchanganyiko katika sayari yetu. Kipande cha ushahidi muhimu zaidi kuunga mkono nadharia hii ni kitu kinachojulikana kama Rh.( Factor blood group) ambayo ni aina ya Protein inayopatikana kwenye surface membrane za Cell nyekundu ( RBC) zilizopo kwenye miili yetu...kuna aina mbili za cell nyekundu za damu ,ile yenye Protein juu inafanya damu iitwe Rhesus positive ( Rh +ve) wakati zile cell nyekundu ( RBC) ambazo hazina Protein juu ya ngozi zao zinafanya damu iitwe Rhesu negative( Rh -ve) ..


Uwepo wa kipengele cha (Rhesus factor blood groups ) katika damu ya binadamu hufanya aina ya damu iwe chanya (Rhesus positive), wakati kutokuwepo kwake hufanya iwe hasi(Rhesus negative blood group). Watu wengi ni Rh chanya, na asilimia 15 tu ya idadi ya watu hawana sababu ya Rh.

Sababu ya Rh inaweza kuhusishwa na aina nyingine, hususani upandikizajinwa aina ya control gene factor toka Viumbe wenye uwezo mkubwa katika maarifa japo Ukosefu wa hiyo unaendelea kubaki siri. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaamini kuwa inatokana na vitu vya nje. Wengi wanaokataa mgeni ni Rh hasi. ukiangalia kweli ni nadra sana kuwapata watu wenye blood group zenye RHESUS negative na baadaye nasikia lakini kuwa eti huwa wanapotea mazingira ya kutatanisha kama walivyoalbino'''( kwanini tena hapa tunapata watu wenge group jingine lenye kizazi che damu hasi ???)...

Je! Hii ni bahati mbaya? Inaonekana haiwezekani

======================

Researcher David Icke anasema ,Huenda baada ya galactic civilization kwenye planet za mbali huko kuvurugika na kuleta hitilafu kubwa,familia nyingi za Aliens zilipata kutokuelewana na kusababisha mvurugano mkubwa ulioleta distructions za baadhi ya empire zao na kusababisha kusambaratika kwa madini maalumu kama ALMAS,GOLD,URANIUM,NEUTRON,PRUTONIUM,RADIUM ambayo ndo yanatumika kujengea empire zao n.k na kumewapelekea ku design species watakaowasidia kurudisha baadhi ya mdini hayo yaliyoangukia kwenye plannet mbalimbali ambayo mojawapo ni EARTH,so existance ya human being ni programmed issue by Alien ndo mana wametuwekea signal za kuwasiliana nao,na signal hizo ni non-coding DNA genes bases katika Vinasaba vyetu( DNA)..


Yani wamekuwekea DNA genes zitakazoprogrm mwili wako lakini pia wawe wanapata informations kutoka kwako indirectly..

Mipango mingi sana inahusisha kuscan DNA zetu ili ziingizwe kwenye Universal Data Base ( UDB)..


lengo lake ni nini sasa,,?/

Kwanini uwepo wa link kati ya human na Alien unafichwa sana ..??
kuna makubaliano makubwa sana kwanini siri hii imeendelea kuwepo .?

Everything is by plan...
kusema kuwa lengo lao ni kufanya ukusanyaji wa madini yaliyopungua kwao au kurudisha baadhi ya madini inaweza ikawa point moja wapo ya kumprogram human being kama second collector wao..lakini pia kumtengeneza kiumbe ambaye atahifadhi traits(vinasaba ) zao kutokana na mlipuko wa gases za radiations mbalimbali kama Radium,prutonium ambazo zilionekana kuathiro mfumo wa miili yao hivyo kufikia wazo la kudesign another species kwa ajili ya kuhuifadhi vinasaba vyao ..


Kuna baadhi ya documentary moja inaelezea kuwa Aliens empire katika baadhi ya high worlds ilivamiwa na cosmic radiation na kuwafanya kuanza kuchange color ya miili yao despite of being interlectual lakini hakuna kigumu mbele ya nature controller..

Baada ya kuvamiwa na hizo cosmic radiations iliwabidi aliens kutafuta ni wapi wataweza pandikiza DNA zao kwa ajili ya kuzuia Mutation( mabadiliko ya miili yao) kwa badae ..

Ndo wakamua kuprogram viumbe ambao waliwaleta katika planet tofauti ikiwemo na dunia hii ili waweze kutunza biological traits zao..

Lakini kwenye sayari zingine inasemekana kuwa hazikuwa nzuri sana kwani mabadiliko zaidi yalionekana kuwaathiri viumbe walioprogramiwa na kufanya kusitisha zoezi hilo lakini ilionekana kuwa dunia ndo Sayari pekee ambayo haikuwa na uwezo wa kuundergo effects za cosmic radiations ambazo zinaleta mutation ya hizo traits za viumbe hao...

Ndo mana inawezekana kabisa kuwa Aliens wameamua kuwekeza hii kind of programing human being hasa dunia hii kwani some traits zao zipo ndani ya miili yetu ndo hizo Non- coding DNA ..

Unajua kama unataka kuhifandhi kitu kwa muda mrefu ni dhahili utaandaa mazingira ya kuweza kumudu hali hiyo..

Ukitaka kupata ukweli huu jaribu kuumiza kichwa kwanin non- coding DNA ndan ya miili yetu..?.



President John Adams passes the Naturalization Act, the first of four pieces of controversial legislation known together as the Alien and Sedition Acts, on this day in 1798.
(Rais John Adams anapitisha Sheria ya Ustawi, kwanza ya vipande vinne vya sheria ya utata inayojulikana kama Mgeni na Matendo ya Utamaduni, leo katika 1798.ambayo iliipa America kibali cha kufanya negotiation na Aliens kwa kazi maalumu lakini mambo yalifanywa siri nzito sana..)

Na kwanini watu wengi wanaofanya kazi kwenye taasisi hizi za siri hasa serikali kama inajihusisha na maswali ya utafiti huwa wanakufa vifo vya ajabu sana,,

Nchi kama marekani yani watu wengi waliopo NASA kila wakisataafu wanarun mental problems na hiyo tunaita MENTAL ABDUCTION ,au wanaishia kuugua magonjwa kama Kiharusi ( Stroke) au Hypertensive diseases au Cardiovascular diseases kama HEART ATTACK,HEART FAILURE ,au BRAIN CANCER ,au CANCER OF UNKNOWN AETIOLOGY,,??

Kwanini watu wengi baada ya kufanya kazi kwenye taasisi hizo za siri wanapojaribu kutoa siri nyingi juu ya mambo yalivyo huwa wanaishia kupata ukichaa,,??

Fuatilia hili kama una ndugu yako anayefanya kazi serikalini hasa serikali za siri lazima kila wakistaafu watapata mental problem ,sio wote ila ni baadhi kulingana na sehemu na kitengo alichokuwa ,,

Hii yote pengine wasije kuanza kulopoka huko nje baada ya kutoka kifungoni..

Aliens are more superior interms of intellectual than human being ,tunaona technologia ikikua kwa kasi jambo ambalo lipo kinyume na utendaji kazi wa ubongo wa sasa wa mwanadumu,..kuna nini nyuma ya pazia,,??

kwanini uwezo wa mwanadamu kufikiri unapungua lakini technolojia inakuwa kwa kasi,,?? kina nani wanaoratibu haya mambo nyuma ya pazia.??

Tusije kweli kuwa tumeprogramiwa na Aliens kuwasaidia kuchukua hayo madini yaliyosambaratika kutoka kwao huko miaka mingi iliyopita na kuwafanya kuuumiza akili sana namna ya kufanya hiyo kazi ya kuanza kutafuta madini underground kwetu ila wakaamua kuprogram species watakaofanya hiyo kazi?? Pengine isiwe point ya kusema tumetengenezwa kuendeleza kizazi cha kukusanya madini bali pia kuhifadhi mfumo wao wa DNA AU VINASABA.
View attachment 839884

Nilipata muda wa kutembelea mradi wa kuzalisha umeme nchini Tanzania unaitwa Kihansi Electrical Project upo Mpakani mwa IFAKARA Wilaya ya kilombero mkoani Morogoro na Iringa
NADHANI ndo mradi uliocomplicated kuliko miradi yote ya umeme iliyopo Tanzania na Africa Mashariki kwa ujumla..

Umeme wa KIHANSI unazaliswa Underground kabsa ,yani kuna mlima mkubwa sana halafu wamechonga tunnel inayoingia ndani ya mlima huo yenye umbali wa kilometre 3 halafu ndo unazama tena chini kwa umbali wa km 2 ndo unafika underground ambako kuna makazi ya watu na mitambo yote,,kule chini ni kama umeingia MLIMAN CITY SHOPPING CENTRE yan mitambo imeegeshwa huko balaaa,..

Sasa nikawa namuuliza Engineer aliyekuwa zamu kuwa hivi ni binadamu kweli aliyehusika hapa au kuna some extra terrestrial ones,,??
aliishia kucheka na kuniambia under collaborations with some people iliwezekana. SASA KWANINI ALISEMA UNDER Collaborations TULIWEZA,HIYO COLLABOLATIO NA NANI..??


Kwa akili yangu sikuweza na sitaweza kuamini kama binadamu angeweza kupata access ya knowledge yote ile maybe sijui lakini..

mwisho,,,
Napenda kuomba mchango wenu wadau wenye ujuzi au uelewa juu ya maelezo mengine juu ya uwepo wa non-coding DNA bases kwenye mwili wetu lakini pia unapaswa ujiulize kuwa ,ni nini kazi ya non- functional genes,??
kwanini utafiti uliofanywa na wanasayansi Area 51 juu ya DNA sequence ya human na Alien ulionekana kufanana kwa percent flani kwenye non -coding genes??


JE; tunaweza kweli kuwa ni programmed species za hao jamaaa,,?

cc
Da vincci Kipanga boy Sokoro waito Bitoz Sticky_fingers George_Mbuligwe Kiranga Humble African zitto junior TIASSA GuDume Francis3 Internal Lee Napoleon

========================

Karibuni......
Ndefu hii nimesoma kwa kukuraruka ila sasa hao aliens walimbwa na nani?
 
Most of these things ni friction tu
Kama madawa formula za kila dawa mtu akiishaiandaa anaichukulia leseni inakuwa Yake ataproduce mpaka hapo anapoweza kuuzia makampuni ni dawa
Compounding huwa IPO kama aspirin wafamasia wanaweza kutengeneza tu shida kubwa ni kule kuwa na mazingira halisi yanayostahili kutengeneza vitu hivyo

Njoo sasa kama ni NASA ambayo anamilikiwa na marekani lkn nchi zingine kwa technology inaiitisha marekani kwa siraha nzito za kisasa

Nadhani tuuongee kila kitu lkn tusikufuru kusema Mungu hayupo

Fikiria hivi vyote vilianzaje etc kama kawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
David Icke[/URL] anasema ,Huenda ya galactic civilization kwenye planet za mbali huko kuvurugika na kuleta hitilafu kubwa,familia nyingi za Aliens zilipata kutokuelewana na kusababisha mvurugano mkubwa ulioleta distructions za baadhi ya empire zao na kusababisha kusambaratika kwa madini maalumu kama ALMAS,GOLD,URANIUM,NEUTRON,PRUTONIUM,RADIUM ambayo ndo yanatumika kujengea empire zao n.k na kumewapelekea ku design species watakaowasidia kurudisha baadhi ya mdini hayo yaliyoangukia kwenye plannet mbalimbali ambayo mojawapo ni EARTH,so existance ya human being ni programmed issue by Alien ndo mana wametuwekea signal za kuwasiliana nao,na signal hizo ni non-coding DNA genes bases katika Vinasaba vyetu( DNA)..


Yani wamekuwekea DNA genes zitakazoprogrm mwili wako lakini pia wawe wanapata informations kutoka kwako indirectly..

Mipango mingi sana inahusisha kuscan DNA zetu ili ziingizwe kwenye Universal Data Base ( UDB)..


lengo lake ni nini sasa,,?/

Kwanini uwepo wa link kati ya human na Alien unafichwa sana ..??
kuna makubaliano makubwa sana kwanini siri hii imeendelea kuwepo .?

Everything is by plan...
kusema kuwa lengo lao ni kufanya ukusanyaji wa madini yaliyopungua kwao au kurudisha baadhi ya madini inaweza ikawa point moja wapo ya kumprogram human being kama second collector wao..lakini pia kumtengeneza kiumbe ambaye atahifadhi traits(vinasaba ) zao kutokana na mlipuko wa gases za radiations mbalimbali kama Radium,prutonium ambazo zilionekana kuathiro mfumo wa miili yao hivyo kufikia wazo la kudesign another species kwa ajili ya kuhuifadhi vinasaba vyao ..


Kuna baadhi ya documentary moja inaelezea kuwa Aliens empire katika baadhi ya high worlds ilivamiwa na cosmic radiation na kuwafanya kuanza kuchange color ya miili yao despite of being interlectual lakini hakuna kigumu mbele ya nature controller..

Baada ya kuvamiwa na hizo cosmic radiations iliwabidi aliens kutafuta ni wapi wataweza pandikiza DNA zao kwa ajili ya kuzuia Mutation( mabadiliko ya miili yao) kwa badae ..

Ndo wakamua kuprogram viumbe ambao waliwaleta katika planet tofauti ikiwemo na dunia hii ili waweze kutunza biological traits zao..

Lakini kwenye sayari zingine inasemekana kuwa hazikuwa nzuri sana kwani mabadiliko zaidi yalionekana kuwaathiri viumbe walioprogramiwa na kufanya kusitisha zoezi hilo lakini ilionekana kuwa dunia ndo Sayari pekee ambayo haikuwa na uwezo wa kuundergo effects za cosmic radiations ambazo zinaleta mutation ya hizo traits za viumbe hao...

Ndo mana inawezekana kabisa kuwa Aliens wameamua kuwekeza hii kind of programing human being hasa dunia hii kwani some traits zao zipo ndani ya miili yetu ndo hizo Non- coding DNA ..


Unajua kama unataka kuhifandhi kitu kwa muda mrefu ni dhahili utaandaa mazingira ya kuweza kumudu hali hiyo..

Ukitaka kupata ukweli huu jaribu kuumiza kichwa kwanin

Hapa ni patamu Sana katika Uzi wote

Halafu hii dhana ya mitifuano anga za mbali ina harufu ya kibiblia biblia_ngoja tutatengenezea ufanano wake

Tena Kuna wengine tunahisi Dunia labda ni magereza ya alien wakorifi

Hebu pitia na hii mkuu
Is Earth an Alien Cosmic Prison Planet! - YouTube






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na huu ushindani wa teknolojia nao unasimamia wapi?maana utasikia Marekani kafanya hivi Mrusi kafanya vile mara mchina naye kafanya hiki.
 
Haya maneno mingii sana bwaana, sasa maadamu tumeshajua namna binadamu na genetic zo zilivyopo basi tutengeneze combination na geni ya dawa atakayopewa mwanadamu akishafika miaka 35 ili tissue na vichocheo vyote mwilini zisianze kuchoka, kila kichocheo kiendelee kufanya kazi yake hata kama atafika 150 yeye awe anadunda tu as if ana 35.
 
Natumai humu nyote ni wazima wa afya njema kabisa ,pole kwa yote lakini leo napenda kutoa mchango wangu kidogo kulingana na nilichopata kukiona au kujidhihilisha juu ya swali gumu ambalo limekosa majibu miaka nenda rudi juu ya binadamu alitoka wapi...

Sio lazima ukomaee na mealezo yangu lakini kama una imani yako baki na imani yako lakini kama unahitaji kujifunza mambo basi weka imani yako pembeni upate kujua haya..

=======================

kabla sijaendelea napenda kukufahamisha wewe au wale ambao mnapuuza sana juu ya conspiracy theories na kudai kuwa hazina proof sasa leo unaweza pata kitu hapa..

katika mwili wa kiumbe yoyote yule,kuna kitu iinachoitwa DNA hiki ndo kinachobeba mwongozo wa jinsi utakavyokuja hapa duniani kwa sura ipi,mfumo upi,mwonekano upi,kwa tabia ipi na sifa zote hizi hubebwa na kitu kinachoitwa DNA,

DNA ndo kila kitu kwan imebaba taarifa zote juu ya utengenezaji wa kila kitu ulichonacho mwilini..
killa kitu ulicho nacho mwilini mwako kuna specific genes (jeni) ambayo inahusika na utengenezaji wake,ikitokea jeni inayohusika kutengeneza pua imepata hitilafu ukiwa bado tumboni kwa mama yako basi utengenezwaji wa pua utakosekana na utazaliwa ukiwa huna pua,na ikitokea jeni(gene) inayohusika na kutengeneza remodeling ya sura yako iwe nzuri ila ikapata hitilafu basi utazaliwa ukiwa na sura kama kinyago.

All in all, genes ndo kila kitu katika mwili wa kiumbe yoyote yule,hizi abnormality tunazoziona ni kwa sababu gene zetu zinapata hitilafu mahala fulani kwenye arrangement zake ndani ya DNA sequence..

Arrangement za gene zetu zipo kwenye DNA kwa mfumo wa base pairing rule ,Genes zinaundwa na DNA bases ambazo zipo katika makundi mawili ( purine na pyrimidine ,ambapo purine ni Adenine (A) na Guanine (G) lakini pia pyrimidine ni Cytocine (C),Tymine (T) na Uracil (U).Ila katika namna ya kupair ili kuform gene tunaona kuwa Adenine huwa anapair na Tymine hence A=T katika DNA na kwenye RNA inakuwa A=U Wale waliosoma molecular chemistry na bioloji watakuwa wanalijua hili. lakini pia Cytocine anapair na Guanine hence C=G
View attachment 839829


kwa hiyo purine ana pair na pyrimidine mmoja ili waform complimentary sequence ya kuja kutengenza gene factor control..

Ili tuite kuwa hii ni genetic code( mfumo uliohifadhi taarifa ) ni lazima hizo bases ziwe tatu...mfano wa genetic code ni kama CCU, GAA,GGC,GAC,....na ni lazima ziwe triplet ( Tatu)...

kwa mfano gene inayohusika na utengeneza wa jicho inaundwa na genetic code ya ACG manake itokea mtu akapat effects ( Hitilafu) kwenye arrangement hiyo ya ACG na kuwa AGC hapo tunasema gene imepata mutation na kazi yake ya kutengeneza jicho inapotea kwa hiyo mtu atazaliwa hana jicho

Lakini ukiangalia vizuri kwenye sequence hiyo kuna DNA bases au kwa jina jingine tunaita DNA codes hazipei kutengeneza functional gene( genes zinazohusika kutengeneza mfumo ufanyao kazi)..Zinabaki hivo hivo tu..ni kama asilimia 85 ya DNA bases hazina kazi ya kutengeneza functional amino acid..


So only few percents DNA codes zilizopo kwenye DNA yetu ndo zina gene code zinazotengeneza protein kwa ajili ya kutengeneza specific organ mwilini mwetu kwa wakati maalumu..

SWALI JE": Hizo code zingine zinatengeneza nini au kazi yake ni nini sasa.....??

kiufupi tunapata makundi mawili ya genes hapo,coding genes na non- coding genes,,

Kuna genes zinazopair ili kuunda functional genes( genes zinazofanya kazi na kuleta umbo maalumu mwilini) lakini kuna baadhi ya genes kwenye hoiyo hiyo DNA sequence hazi match (non- coding genes) kutengeneza functional genes,,ni wazi kuwa kila bionadamu ana non- coding genes ambazo hazicode kwa chochote mwilini mwake na kwanini ziwepo wakati hazina kazi..?
View attachment 839830wale watu wa molecular analysis na DNA chemistry nadhani hata nyie mtajiuliza au bila shaka mshajiuliza kwanini non- coding genes zipo tu na hazihusiki kwa chochote,,,

lakini pia
Jozi ya wanasayansi kutoka Kazakhstan wanaamini kuwa aina zetu ziliundwa na mamlaka ya juu, ustaarabu wa mgeni ( Aliens) ambao ama alitaka kuhifadhi ujumbe katika DNA yetu au tu kupanda maisha kwenye sayari nyingine kwa muonekana tofauti wenye idadi flani ya kiwango cha vinasaba elekezi kisha kupandikiza aina nyingine ya vinasaba shirikishi( non- coding bases) ili vitumike kama signal transer kwenye main controller system ya kumwendesha mwanadamu katika maaumuzi ya chaguzo mbali mbali katika maisha yake..



Maxim A. Makukov wa Taasisi ya Astrophysical ya Fesenkov na Vladimir I. Shcherbak kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Farabi Kazakh alitumia miaka 13 akifanya kazi kwa Mradi wa Binadamu wa Genome - ambao ulituma ramani ya DNA ya binadamu katika kutupa picha halisi ya codes zilizopo kwenye DNA ambazo ni functional na ambazo sio functional kwa kucompare usawa na arrangement zilizopo kwenye baadhi ya cell za humanoid Aliens..

Hitimisho lao lilikuwa kwamba wanadamu walitengenezwa na nguvu ya juu, na "seti ya mifumo ya hesabu na lugha ya kibei kutoka mfumo wa nje kabisa wa ufahamu na mpangilio huo uliingizwa ndani ya DNA yetu.
coincidence,,??

Kutokana na kuwepo kwa group la non -coding genes kwenye DNA yetu wanasayansi wamefikia hatua ya kulipa jina la JUNK DNA ,means gene DNA ambazo kazi yake haijulikani bado.

Comparative genomics studies have shown that some of this junk DNA is highly conserved, sometimes over hundreds of millions of years, which suggests that these non-coding regions have undergone positive selection throughout evolution and confer an advantage in terms of preserving or minimizing certain biological traits.
(Uchunguzi wa jenomatiki umeonyesha kwamba baadhi ya DNA hii isiyojumuishwa imeonekana kuhifadhiwa sana katika mfumo wetu wa DNA , na wakati mwingine juu ya mamia ya mamilioni ya miaka, ambayo inaonyesha kuwa baadhi ya sehemu katika hii DNA imeonekana kubeba chembe chembe au vipande toka sehemu au DNA ya viumbe toka Anga za mbali... lakini mabadiliko yatokayo na mazingira huweza kuhifadhi au kupunguza baadhi ya sifa za kibiolojia.)


Kuna baadhi ya tafiti zimekuja kufanyika kwa kuhusisha DNA sequence ya HUMANOID ALIENS na kukuta kuwa seqence ya non- coding genes kwa binadamu zinafanana kidogo na a part of DNA pair genes kwenye HUMANOID ALIEN DNA.


Kwa hiyo inawezkana kabisa human being were programmed na Aliens kwa kazi maalumu na they are watching us for sure,,
View attachment 839838
DID EXTRATERRESTRIALS GENETICALLY ENGINEER HUMANS?


Uumbaji na mageuzi ni nadharia mbili maarufu za jinsi watu walivyokuwa,Ingawa labda ni nadharia zinazoenea zaidi, kuna shule au maelezo mengine yanahitajika kuelezea hili kuwa Binadamu aliundwa na tunaendelea kuprogramiwa na Extraterrestrial beings ( Aliens species).


Nadharia nyingine inachunguza wazo kwamba extraterrestrials manipulated DNA yetu kisha kujenga damu mchanganyiko katika sayari yetu. Kipande cha ushahidi muhimu zaidi kuunga mkono nadharia hii ni kitu kinachojulikana kama Rh.( Factor blood group) ambayo ni aina ya Protein inayopatikana kwenye surface membrane za Cell nyekundu ( RBC) zilizopo kwenye miili yetu...kuna aina mbili za cell nyekundu za damu ,ile yenye Protein juu inafanya damu iitwe Rhesus positive ( Rh +ve) wakati zile cell nyekundu ( RBC) ambazo hazina Protein juu ya ngozi zao zinafanya damu iitwe Rhesu negative( Rh -ve) ..


Uwepo wa kipengele cha (Rhesus factor blood groups ) katika damu ya binadamu hufanya aina ya damu iwe chanya (Rhesus positive), wakati kutokuwepo kwake hufanya iwe hasi(Rhesus negative blood group). Watu wengi ni Rh chanya, na asilimia 15 tu ya idadi ya watu hawana sababu ya Rh.

Sababu ya Rh inaweza kuhusishwa na aina nyingine, hususani upandikizajinwa aina ya control gene factor toka Viumbe wenye uwezo mkubwa katika maarifa japo Ukosefu wa hiyo unaendelea kubaki siri. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaamini kuwa inatokana na vitu vya nje. Wengi wanaokataa mgeni ni Rh hasi. ukiangalia kweli ni nadra sana kuwapata watu wenye blood group zenye RHESUS negative na baadaye nasikia lakini kuwa eti huwa wanapotea mazingira ya kutatanisha kama walivyoalbino'''( kwanini tena hapa tunapata watu wenge group jingine lenye kizazi che damu hasi ???)...

Je! Hii ni bahati mbaya? Inaonekana haiwezekani

======================

Researcher David Icke anasema ,Huenda baada ya galactic civilization kwenye planet za mbali huko kuvurugika na kuleta hitilafu kubwa,familia nyingi za Aliens zilipata kutokuelewana na kusababisha mvurugano mkubwa ulioleta destructions za baadhi ya empire zao na kusababisha kusambaratika kwa madini maalumu kama ALMAS,GOLD,URANIUM,NEUTRON,PRUTONIUM,RADIUM ambayo ndo yanatumika kujengea empire zao n.k na kumewapelekea ku design species watakaowasidia kurudisha baadhi ya madini hayo yaliyoangukia kwenye planet mbalimbali ambayo mojawapo ni EARTH,so existance ya human being ni programmed issue by Alien ndo mana wametuwekea signal za kuwasiliana nao,na signal hizo ni non-coding DNA genes bases katika Vinasaba vyetu( DNA)..


Yani wamekuwekea DNA genes zitakazoprogrm mwili wako lakini pia wawe wanapata informations kutoka kwako indirectly.....

Or could we say that,the Earth is just the area with bebris from garactic civilized araes beyond our solar system.....!!!...


Mipango mingi sana inahusisha kuscan DNA zetu ili ziingizwe kwenye Universal Data Base ( UDB)..


lengo lake ni nini sasa,,?/

Kwanini uwepo wa link kati ya human na Alien unafichwa sana ..??
kuna makubaliano makubwa sana kwanini siri hii imeendelea kuwepo .?

Everything is by plan...
kusema kuwa lengo lao ni kufanya ukusanyaji wa madini yaliyopungua kwao au kurudisha baadhi ya madini inaweza ikawa point moja wapo ya kumprogram human being kama second collector wao..lakini pia kumtengeneza kiumbe ambaye atahifadhi traits(vinasaba ) zao kutokana na mlipuko wa gases za radiations mbalimbali kama Radium,prutonium ambazo zilionekana kuathiro mfumo wa miili yao hivyo kufikia wazo la kudesign another species kwa ajili ya kuhuifadhi vinasaba vyao ..


Kuna baadhi ya documentary moja inaelezea kuwa Aliens empire katika baadhi ya high worlds ilivamiwa na cosmic radiation na kuwafanya kuanza kuchange color ya miili yao despite of being interlectual lakini hakuna kigumu mbele ya nature controller..

Baada ya kuvamiwa na hizo cosmic radiations iliwabidi aliens kutafuta ni wapi wataweza pandikiza DNA zao kwa ajili ya kuzuia Mutation( mabadiliko ya miili yao) kwa badae ..

Ndo wakamua kuprogram viumbe ambao waliwaleta katika planet tofauti ikiwemo na dunia hii ili waweze kutunza biological traits zao..

Lakini kwenye sayari zingine inasemekana kuwa hazikuwa nzuri sana kwani mabadiliko zaidi yalionekana kuwaathiri viumbe walioprogramiwa na kufanya kusitisha zoezi hilo lakini ilionekana kuwa dunia ndo Sayari pekee ambayo haikuwa na uwezo wa kuundergo effects za cosmic radiations ambazo zinaleta mutation ya hizo traits za viumbe hao...

Ndo mana inawezekana kabisa kuwa Aliens wameamua kuwekeza hii kind of programing human being hasa dunia hii kwani some traits zao zipo ndani ya miili yetu ndo hizo Non- coding DNA ..

Unajua kama unataka kuhifandhi kitu kwa muda mrefu ni dhahili utaandaa mazingira ya kuweza kumudu hali hiyo..

Ukitaka kupata ukweli huu jaribu kuumiza kichwa kwanin non- coding DNA ndan ya miili yetu..?.



President John Adams passes the Naturalization Act, the first of four pieces of controversial legislation known together as the Alien and Sedition Acts, on this day in 1798.
(Rais John Adams anapitisha Sheria ya Ustawi, kwanza ya vipande vinne vya sheria ya utata inayojulikana kama Mgeni na Matendo ya Utamaduni, leo katika 1798.ambayo iliipa America kibali cha kufanya negotiation na Aliens kwa kazi maalumu lakini mambo yalifanywa siri nzito sana..)

Na kwanini watu wengi wanaofanya kazi kwenye taasisi hizi za siri hasa serikali kama inajihusisha na maswali ya utafiti huwa wanakufa vifo vya ajabu sana,,

Nchi kama marekani yani watu wengi waliopo NASA kila wakisataafu wanarun mental problems na hiyo tunaita MENTAL ABDUCTION ,au wanaishia kuugua magonjwa kama Kiharusi ( Stroke) au Hypertensive diseases au Cardiovascular diseases kama HEART ATTACK,HEART FAILURE ,au BRAIN CANCER ,au CANCER OF UNKNOWN AETIOLOGY,,??

Kwanini watu wengi baada ya kufanya kazi kwenye taasisi hizo za siri wanapojaribu kutoa siri nyingi juu ya mambo yalivyo huwa wanaishia kupata ukichaa,,??

Fuatilia hili kama una ndugu yako anayefanya kazi serikalini hasa serikali za siri lazima kila wakistaafu watapata mental problem ,sio wote ila ni baadhi kulingana na sehemu na kitengo alichokuwa ,,

Hii yote pengine wasije kuanza kulopoka huko nje baada ya kutoka kifungoni..

Aliens are more superior interms of intellectual than human being ,tunaona technologia ikikua kwa kasi jambo ambalo lipo kinyume na utendaji kazi wa ubongo wa sasa wa mwanadumu,..kuna nini nyuma ya pazia,,??

kwanini uwezo wa mwanadamu kufikiri unapungua lakini technolojia inakuwa kwa kasi,,?? kina nani wanaoratibu haya mambo nyuma ya pazia.??

Tusije kweli kuwa tumeprogramiwa na Aliens kuwasaidia kuchukua hayo madini yaliyosambaratika kutoka kwao huko miaka mingi iliyopita na kuwafanya kuuumiza akili sana namna ya kufanya hiyo kazi ya kuanza kutafuta madini underground kwetu ila wakaamua kuprogram species watakaofanya hiyo kazi?? Pengine isiwe point ya kusema tumetengenezwa kuendeleza kizazi cha kukusanya madini bali pia kuhifadhi mfumo wao wa DNA AU VINASABA.
View attachment 839884

Nilipata muda wa kutembelea mradi wa kuzalisha umeme nchini Tanzania unaitwa Kihansi Electrical Project upo Mpakani mwa IFAKARA Wilaya ya kilombero mkoani Morogoro na Iringa
NADHANI ndo mradi uliocomplicated kuliko miradi yote ya umeme iliyopo Tanzania na Africa Mashariki kwa ujumla..

Umeme wa KIHANSI unazaliswa Underground kabsa ,yani kuna mlima mkubwa sana halafu wamechonga tunnel inayoingia ndani ya mlima huo yenye umbali wa kilometre 3 halafu ndo unazama tena chini kwa umbali wa km 2 ndo unafika underground ambako kuna makazi ya watu na mitambo yote,,kule chini ni kama umeingia MLIMAN CITY SHOPPING CENTRE yan mitambo imeegeshwa huko balaaa,..

Sasa nikawa namuuliza Engineer aliyekuwa zamu kuwa hivi ni binadamu kweli aliyehusika hapa au kuna some extra terrestrial ones,,??
aliishia kucheka na kuniambia under collaborations with some people iliwezekana. SASA KWANINI ALISEMA UNDER Collaborations TULIWEZA,HIYO COLLABOLATIO NA NANI..??


Kwa akili yangu sikuweza na sitaweza kuamini kama binadamu angeweza kupata access ya knowledge yote ile maybe sijui lakini..

mwisho,,,
Napenda kuomba mchango wenu wadau wenye ujuzi au uelewa juu ya maelezo mengine juu ya uwepo wa non-coding DNA bases kwenye mwili wetu lakini pia unapaswa ujiulize kuwa ,ni nini kazi ya non- functional genes,??
kwanini utafiti uliofanywa na wanasayansi Area 51 juu ya DNA sequence ya human na Alien ulionekana kufanana kwa percent flani kwenye non -coding genes??


JE; tunaweza kweli kuwa ni programmed species za hao jamaaa,,?

cc
Da vincci Kipanga boy Sokoro waito Bitoz Sticky_fingers George_Mbuligwe Kiranga Humble African zitto junior TIASSA GuDume Francis3 Internal Lee Napoleon

========================

Karibuni......
Topic yako ni very fascinating and provokes the mind to think,nami nimeona japo niweke mchango wangu.
Ufupisho wa ulichozungumzia kwenye molecular biology unaitwa central dogma yaani process from DNA transcription to protein formation yaani polypeptides.Kwa precision,accuracy na ustadi uliotumika kusimamia hiyo process yote siamini umefanywa na some creature hanging in the outer space.
Ufundi uliotumika hauwezi ukawa na mkono wa mtu au kiumbe kingine chochote zaidi ya Mwenyezi Mungu.
 
Topic yako ni very fascinating and provokes the mind to think,nami nimeona japo niweke mchango wangu.
Ufupisho wa ulichozungumzia kwenye molecular biology unaitwa central dogma yaani process from DNA transcription to protein formation yaani polypeptides.Kwa precision,accuracy na ustadi uliotumika kusimamia hiyo process yote siamini umefanywa na some creature hanging in the outer space.
Ufundi uliotumika hauwezi ukawa na mkono wa mtu au kiumbe kingine chochote zaidi ya Mwenyezi Mungu.

Je, kuna uwezekano kwamba hicho unachokiita "some creature hanging in the outer space" kikawa ndio Mwenyezi Mungu wa kwenye vitabu?
Mi naona kuna resemblance kubwa sana kati ya hivi vitu..
Kwanza kulingana na maandiko Mungu sio kiumbe mmoja, ni viumbe wengi ref: bible verse "na tuumbe mtu kwa mfano wetu"
pili Mungu nae anaaminika yupo huko juu... na aliens wapo huko huko
tatu inaaminika kuna wakati Mungu (au mwana wa Mungu) alishuka duniani (labda ndio alikuja ku modify humans?) kuleta knowledge?
Nne inaaminika kuna watu walipaa mbinguni (alien abduction?)
Tano inaaminika Mungu atarudi tena duniani, pia inaaminika aliens watarudi duniani
Je, sio kwamba hii ni habari moja ila inaelezewa kwa namna tofauti??
 
Je, kuna uwezekano kwamba hicho unachokiita "some creature hanging in the outer space" kikawa ndio Mwenyezi Mungu wa kwenye vitabu?
Mi naona kuna resemblance kubwa sana kati ya hivi vitu..
Kwanza kulingana na maandiko Mungu sio kiumbe mmoja, ni viumbe wengi ref: bible verse "na tuumbe mtu kwa mfano wetu"
pili Mungu nae anaaminika yupo huko juu... na aliens wapo huko huko
tatu inaaminika kuna wakati Mungu (au mwana wa Mungu) alishuka duniani (labda ndio alikuja ku modify humans?) kuleta knowledge?
Nne inaaminika kuna watu walipaa mbinguni (alien abduction?)
Tano inaaminika Mungu atarudi tena duniani, pia inaaminika aliens watarudi duniani
Je, sio kwamba hii ni habari moja ila inaelezewa kwa namna tofauti??

Nikiunganisha dots naona Kama kuna ukweli flani hivi tunaofichwa
 
Hii dhana ya kufikiri tunafichwa ndiyo mwanywa wa kutufanya tufikiri watakavyo kwa kisingizio cha usiri,kadri tunavyozidi kujiona tunafukunyua hizo siri kumbe ndio tunafanywa tufikiri watakavyo kwa njia rahisi kabisa. Tizama sasa wote tunaamini kuna viumbe wana akili sana kuliko sisi.
 
Hii dhana ya kufikiri tunafichwa ndiyo mwanywa wa kutufanya tufikiri watakavyo kwa kisingizio cha usiri,kadri tunavyozidi kujiona tunafukunyua hizo siri kumbe ndio tunafanywa tufikiri watakavyo kwa njia rahisi kabisa. Tizama sasa wote tunaamini kuna viumbe wana akili sana kuliko sisi.
Kwani wewe huamini Mungu/miungu/aliens wana akili kuliko sisi mkuu ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii dhana ya kufikiri tunafichwa ndiyo mwanywa wa kutufanya tufikiri watakavyo kwa kisingizio cha usiri,kadri tunavyozidi kujiona tunafukunyua hizo siri kumbe ndio tunafanywa tufikiri watakavyo kwa njia rahisi kabisa. Tizama sasa wote tunaamini kuna viumbe wana akili sana kuliko sisi.
Hapa cha kujiuliza ni kua "wao" ni kina nani na "sisi" ni kina nani. Maana ukiingia mitandaoni utakuta wanaofukunyua ni "wao" na sio sisi. Sisi kila tunachojua, kiwe kweli au sio kweli tumekipata kutoka kwao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom