Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Sina uhakika ndio maana nadhani kafa au kasafiri ningekuwa na uhakika ningetoa tamko moja tu

Ni dhana tu kama ile inayosema yupo huku Haina uhakiki
Ishu sio kuwa na uhakika maana hali ya kuwa na uhakika inaweza kupatikana hata katika jambo ambalo si la kweli katika uhalisia wake,navyojua mie kuwa na uhakika ni kinyume cha kutokuwa na mashaka. Mfano mtu akikudanganya jambo na akakupa hadi ushahidi wa uongo na mwishowe ukakubali,ni wazi utakuwa na uhakika juu ya hilo jambo lakini kumbe kiuhalisia unachokijua si kweli umedanganywa.(kwa mtazamo wangu,naweza kusahihishwa)

Kwa hiyo swali langu nilitaka kujua sababu iliyopelekea kujenga dhana kama hiyo ni kipi kilichokufanya ujenge dhana za aina hiyo?
 
Ishu sio kuwa na uhakika maana hali ya kuwa na uhakika inaweza kupatikana hata katika jambo ambalo si la kweli katika uhalisia wake,navyojua mie kuwa na uhakika ni kinyume cha kutokuwa na mashaka. Mfano mtu akikudanganya jambo na akakupa hadi ushahidi wa uongo na mwishowe ukakubali,ni wazi utakuwa na uhakika juu ya hilo jambo lakini kumbe kiuhalisia unachokijua si kweli umedanganywa.(kwa mtazamo wangu,naweza kusahihishwa)

Kwa hiyo swali langu nilitaka kujua sababu iliyopelekea kujenga dhana kama hiyo ni kipi kilichokufanya ujenge dhana za aina hiyo?
Dhana hizo ninazo toka kitambo ila mtoa mada kazidi kuwekea nyama

Kwamba kupitia sayansi ya baiolojia wameweza kutambua kuwa kuna asilimia kubwa ya dna zetu wanadamu hazijishughulishi ipasavyo kwenye mchakato wa utengenezaji wa protin mpya na wakaziita junk dna kwa muono wao

Ikiwapelekea kuhisi labda zilipandikizwa na kitu fulani kutoka maeneo ya mbali ya ulimwengu

Na kuna dhana nyengine zikijaribu kueleza utata wa uwezekano wa uwepo wa maji katika dunia yetu kana kwamba yalipandikizwa kutoka maeneo ya mbali maana si rahisi kwa eneo ambalo ipo kwenye mfumo wetu wa jua kuwa na kimiminika kama maji

Yapo mengi yanayoashiria utendaji wenye ufamu mkubwa kuwahi kuwepo ila bado tunakusanya taarifa hatujafikia hitimisho
 
Dhana hizo ninazo toka kitambo ila mtoa mada kazidi kuwekea nyama

Kwamba kupitia sayansi ya baiolojia wameweza kutambua kuwa kuna asilimia kubwa ya dna zetu wanadamu hazijishughulishi ipasavyo kwenye mchakato wa utengenezaji wa protin mpya na wakaziita junk dna kwa muono wao

Ikiwapelekea kuhisi labda zilipandikizwa na kitu fulani kutoka maeneo ya mbali ya ulimwengu

Na kuna dhana nyengine zikijaribu kueleza utata wa uwezekano wa uwepo wa maji katika dunia yetu kana kwamba yalipandikizwa kutoka maeneo ya mbali maana si rahisi kwa eneo ambalo ipo kwenye mfumo wetu wa jua kuwa na kimiminika kama maji

Yapo mengi yanayoashiria utendaji wenye ufamu mkubwa kuwahi kuwepo ila bado tunakusanya taarifa hatujafikia hitimisho
Kwahiyo ulichoeleza hapa ndiyo kilichofanya ujenge dhana ya kwamba yawezekana huyo Mungu kuwa kafa?
 
JIBU sahihi kama Mungu yupo au hayupo ni SIJUI.
MUNGU HAYUPO
i)Haijawezekana kuthibitisha bila chembe ya shaka kwa mamia na maelfu ya miaka mpaka sasa,hali inayosababisha watu kuegemea katika "historia" za inasemekana zilizopo katika vitabu mbalimbali.Hali hii huwa inafanya suala hili liwe la mtu binafsi.
ii)Hathibitishi uwepo wake mwenyewe pasipo kusemekana katumia mwanadamu,hali inayoleta mkanganyiko mpaka leo kama hao waliotumika kweli walipata ridhaa kutoka kwa Mungu,au walikuwa na akili nyingi na lengo la kuifanya jamii iwe bora. Yani leo hata tukionana nikakwambia wasiliana na Mungu hata atupe njozi moja ndani ya wakati mmoja ili tuweze kuelezana uthibitisho wake, na zoezi hilo hata basi lifanyike kwa dunia nzima UTAKWAMA.
iii)Yanayowakuta wanaoamini na wasioamini katika maisha ni yaleyale yani shida na raha n.k hakuna exclusive na kukosekana kwa hiyo "exclusive" watu hujificha katika mwamvuli wa MIPANGO YA MUNGU,mathalan kuna viongozi wa imani ambao husema walifunga na kumwombea mtu aponywe gonjwa fulani na akapona lakini unakuta wao walikufa kwa kisukari,cancer e.t.c au utakuta kuna sala mtu anawekewa ataje mara idadi ngumu ya kibinadamu labda mara mia au maelfu na anafuatisha na mwisho anaweza kuambiwa asubiri "mipango ya mungu" au hakuwa na "imaan".
Labda nikuachie swali na wewe, je kwa nini linapokuja suala la Mungu uthibitisho wake umekuwa unategemea kudhihirishwa kupitia binadamu tena mmoja mmoja ambae anakuwa kaitwa "spesheli"?Je hakuna namna Mungu anaweza jidhihirisha mwenyewe kwa wakati mmoja kwa ulimwengu mzima?Kuliko hii ya alizaliwa Saudi Arabia,alizaliwa Israel,alitokea India n.k?


Strong points
 
Kwahiyo ulichoeleza hapa ndiyo kilichofanya ujenge dhana ya kwamba ya kuwa yawezekana huyo Mungu kuwa kafa?
Sio hayo tu na mengine mengi

Ila kwa yale niliyoeleza hapo juu ile ya kusafiri na kutupiga chabo kwa mbali inawiana kidogo, kuliko iyo ya kufa mpaka siku nikipata uhakiki wa kaburi lake itafaa kuitumia

Halafu kingine maisha yanaelekea kutokuwa na maana yeyote ile ni masumbuko yenye kelele nyingi na mwisho mbovu, kupitia hilo yawezekana kweli kajificha ili kukwepa lawama nyingi, na mimi simlaumu kwa hilo

Dhana haziishi ila kama tunataka kwenda sambamba na mtoa mada ile dhana moja aliyojaribu kuilezea juu ya hao wageni kupata athari za radiation na kutaka kuhifadhi gene trait zao kwa matumizi ya baadae kidogo inaleta maana japo haina uhakiki, kuliko za hao wanaoitwa wa dini
 
Sio hayo tu na mengine mengi

Ila kwa yale niliyoeleza hapo juu ile ya kusafiri na kutupiga chabo kwa mbali inawiana kidogo, kuliko iyo ya kufa mpaka siku nikipata uhakiki wa kaburi lake itafaa kuitumia

Halafu kingine maisha yanaelekea kutokuwa na maana yeyote ile ni masumbuko yenye kelele nyingi na mwisho mbovu, kupitia hilo yawezekana kweli kajificha ili kukwepa lawama nyingi, na mimi simlaumu kwa hilo

Dhana haziishi ila kama tunataka kwenda sambamba na mtoa mada ile dhana moja aliyojaribu kuilezea juu ya hao wageni kupata athari za radiation na kutaka kuhifadhi gene trait zao kwa matumizi ya baadae kidogo inaleta maana japo haina uhakiki, kuliko za hao wanaoitwa wa dini
Bado nashindwa kukupata vizuri,suala la kuhusu Mungu ni pana zaidi haliishii kwenye uumbaji au utengenezaji wa binaadamu tu. Sasa hizi dhana zako nashindwa kuelewa umezijengea kwa Mungu wa aina gani au umekusudia nini unaposema Mungu?
 
Bado nashindwa kukupata vizuri,suala la kuhusu Mungu ni pana zaidi haliishii kwenye uumbaji au utengenezaji wa binaadamu tu. Sasa hizi dhana zako nashindwa kuelewa umezijengea kwa Mungu wa aina gani au umekusudia nini unaposema Mungu?

Niambie kwanza ni kwanini unahisi suala la mungu ni pana sana kiasi kwamba halipaswi kuishia kwa uwepo wa wanadamu..?

Nini hasa kinachokupekea kuona binadamu hatoshi kwenye kuangazia habari za mungu mpaka iwepo hiyo ziada.?

Labda ukipata kulijua hilo utaelewa kile kinachopelea mimi kuwa na mtazamo huo
 
Niambie kwanza ni kwanini unahisi suala la mungu ni pana sana kiasi kwamba halipaswi kuishia kwa uwepo wa wanadamu..?

Nini hasa kinachokupekea kuona binadamu hatoshi kwenye kuangazia habari za mungu mpaka iwepo hiyo ziada.?

Labda ukipata kulijua hilo utaelewa kile kinachopelea mimi kuwa na mtazamo huo
Sina maana hiyo uliyoelewa wewe,nachokusudia ni kwamba Mungu anahusishwa na mambo mengi hivyo habari za kuhusu Mungu ni pana si suala la aliyeumba au kutengeneza binaadamu tu. Sikuwa na maana binaadamu hatoshi kuangaza habari za Mungu.
 
Sina maana hiyo uliyoelewa wewe,nachokusudia ni kwamba Mungu anahusishwa na mambo mengi hivyo habari za kuhusu Mungu ni pana si suala la aliyeumba au kutengeneza binaadamu tu. Sikuwa na maana binaadamu hatoshi kuangaza habari za Mungu.

Basi kama ni hivyo kwako hakuna sababu ya wewe kuwa na wasisi juu ya dhana zangu wala za mtoa mada

Ni taratibu tu za kuruhusu akili na kufikiria nje ya mipaka waliyojiwekea watu kwa maslahi yao

Labda cha kuepuka kwako na watu wa dini ni kuzunguzia dhana kama uhalisia na ndio maana waelewa waliamua kuyaweka mafikirio ya namna hiyo katika kundi la imani ili mtu asipate bugudha kwa kile anachokiamini

Mimi kusema mungu kafa au kasafiri ni dhana zangu binafsi ila ukitaka kuogelea kwenye bahari yangu ya dhana naweza kujaribu kukushirikisha ila nakuhakikishia ni za uchizi kuliko hizo nilizotangulia kutaja zitakazokupelekea kuhisi nawehuka na nataka kukuambukiza wehu.!

Ni heri ubaki na imani yako
 
Basi kama ni hivyo kwako hakuna sababu ya wewe kuwa na wasisi juu ya dhana zangu wala za mtoa mada

Ni taratibu tu za kuruhusu akili na kufikiria nje ya mipaka waliyojiwekea watu kwa maslahi yao

Labda cha kuepuka kwako na watu wa dini ni kuzunguzia dhana kama uhalisia na ndio maana waelewa waliamua kuyaweka mafikirio ya namna hiyo katika kundi la imani ili mtu asipate bugudha kwa kile anachokiamini

Mimi kusema mungu kafa au kasafiri ni dhana zangu binafsi ila ukitaka kuogelea kwenye bahari yangu ya dhana naweza kujaribu kukushirikisha ila nakuhakikishia ni za uchizi kuliko hizo nilizotangulia kutaja zitakazokupelekea kuhisi nawehuka na nataka kukuambukiza wehu.!

Ni heri ubaki na imani yako
Nilichotaka kujua ni kwamba Huyo Mungu unayemjengea hizo dhana unamkusudia Mungu yupi au unakusudia nini unaposema Mungu wakati unapoeleza dhana zako?

Tunajadiliana tu hapa kuna wengi huwa wanajifunza mambo mengi tu bila kujari sie tunaojadili tunachukuliana vp,najua hata wewe unaona watu wa dini ni kama wamewehuka lakini hiyo haizuii kuacha kujadiliana.
 
Nilichotaka kujua ni kwamba Huyo Mungu unayemjengea hizo dhana unamkusudia Mungu yupi au unakusudia nini unaposema Mungu wakati unapoeleza dhana zako?
Nakusudia yule mungu wanayemvutia picha watu wa dini kwa kufikiri kwao

Unajua ni nini.! Hata wao wenyewe hawajafikia mkataa wa muonekano wa huyo mungu.!

Wengine wanadhani ni roho iliyo kila mahali na wengine wanaona ni kama mtu mmoja aliyekaa eneo moja lakini mweke koneksheni ya maeneo yote ya ulimwengu

Kwaiyo nikiwa naeleza dhana zangu hizo elewa zinajinyumbulisha kote huko

Nikisema kafa au kasafiri tambua naeleza katika kimoja chenye kuonekana

Lakini nikimuelezea huyo mungu katika namna yin & yang au lingam & yoni tambua naelezea katika kile kisichoonekana kama nguvu fulani yenye kutenda kinyume kuwezesha maisha

Ila usisahau kuwa zote ni dhana
 
Nakusudia yule mungu wanayemvutia picha watu wa dini kwa kufikiri kwao

Unajua ni nini.! Hata wao wenyewe hawajafikia mkataa wa muonekano wa huyo mungu.!

Wengine wanadhani ni roho iliyo kila mahali na wengine wanaona ni kama mtu mmoja aliyekaa eneo moja lakini mweke koneksheni ya maeneo yote ya ulimwengu

Kwaiyo nikiwa naeleza dhana zangu hizo elewa zinajinyumbulisha kote huko

Nikisema kafa au kasafiri tambua naeleza katika kimoja chenye kuonekana

Lakini nikimuelezea huyo mungu katika namna yin & yang au lingam & yoni tambua naelezea katika kile kisichoonekana kama nguvu fulani yenye kutenda kinyume kuwezesha maisha

Ila usisahau kuwa zote ni dhana
Ndio maana nikasema Mungu anahusishwa na mambo mengi ni zaidi ya kuhusishwa na kuumba/kutengeneza binaadamu.

Labda nikuulize kwamba ni yepi unadhani yangepaswa yawepo au unadhani hali ingetakiwa iweje kama kweli Mungu angekuwepo?
 
Labda nikuulize kwamba ni yepi unadhani yangepaswa yawepo au unadhani hali ingetakiwa iweje kama kweli Mungu angekuwepo?
Nadhani zile ahadi za pepo au paradiso zingekuwa zinapatikana hapa duniani ingekuwa ni heri sana kwa watu wote

Hata kama asingeonekana na kujificha bado kungekuwa na kiashiria cha kujali kwa watu wote na kupelekea watu kumuamini

Lakini kwa kutokujali na kujificha wakati walimwengu wanamuhitaji, kunapelekea watu kutoona thamani yake na maisha kwa ujumla, hivyo kupelekea kuzua maswali mapya kichwani mwao juu ya uhusika wake

Kuwa mungu na kutengeneza maisha yasiyo na uwiano kama haya ni kukosea adabu ufahamu ni heri angekaa kimywa bila kufanya lolote lile nina hakika angeeleweka kuliko upuuzi kama huu halafu unasema umetokezwa na mungu muweza yote.!?

Na ndio maana waliotangulia kuyafahamu haya wakawa na mafikirio mapya ya dhana kama hizi ili kuwa na misingi thabiti juu ya nini kinaendelea kwenye maisha haya yasiyo na maana

Kwamba vipi.. Yawezekana kuna wahuni kutoka anga za mbali wanatufanyia kamchezo.?
 
Nadhani zile ahadi za pepo au paradiso zingekuwa zinapatikana hapa duniani ingekuwa ni heri sana kwa watu wote

Hata kama asingeonekana na kujificha bado kungekuwa na kiashiria cha kujali kwa watu wote na kupelekea watu kumuamini

Lakini kwa kutokujali na kujificha wakati walimwengu wanamuhitaji, kunapelekea watu kutoona thamani yake na maisha kwa ujumla, hivyo kupelekea kuzua maswali mapya kichwani mwao juu ya uhusika wake

Kuwa mungu na kutengeneza maisha yasiyo na uwiano kama haya ni kukosea adabu ufahamu ni heri angekaa kimywa bila kufanya lolote lile nina hakika angeeleweka kuliko upuuzi kama huu halafu unasema umetokezwa na mungu muweza yote.!?

Na ndio maana waliotangulia kuyafahamu haya wakawa na mafikirio mapya ya dhana kama hizi ili kuwa na misingi thabiti juu ya nini kinaendelea kwenye maisha haya yasiyo na maana

Kwamba vipi.. Yawezekana kuna wahuni kutoka anga za mbali wanatufanyia kamchezo.?
Ukiangalia vizuri swali nililokuuliza mwishoni nimemalizia hivi "..kama kweli Mungu angekuwepo" nikiwa na maana ya kwamba hayo mambo kutokuwepo kunafanya madai ya uwepo wa huyo Mungu kuwa si za kweli au kutowezekana kuwepo. Sasa ulichoeleza wewe kama kujificha kwa Mungu na watu kumuhitaji,sijui ahadi za pepo kuwepo duniani sidhani kwa hayo mambo tunaweza kutumia kufanya tuone Mungu hakuna.

Ulichoeleza ni kama malalamiko kwa Mungu na ni kitu ambacho hata mwenye kuamini Mungu hufanya ingawa hana shaka na imani yake juu ya kuwepo Mungu.
 
Ukiangalia vizuri swali nililokuuliza mwishoni nimemalizia hivi "..kama kweli Mungu angekuwepo" nikiwa na maana ya kwamba hayo mambo kutokuwepo kunafanya madai ya uwepo wa huyo Mungu kuwa si za kweli au kutowezekana kuwepo. Sasa ulichoeleza wewe kama kujificha kwa Mungu na watu kumuhitaji,sijui ahadi za pepo kuwepo duniani sidhani kwa hayo mambo tunaweza kutumia kufanya tuone Mungu hakuna.

Ulichoeleza ni kama malalamiko kwa Mungu na ni kitu ambacho hata mwenye kuamini Mungu hufanya ingawa hana shaka na imani yake juu ya kuwepo Mungu.
Jitahidi kusoma na kuelewa

Sasa nimejibu na wewe huoni kingine zaidi malalamiko unataka nifanye vipi ili uone nimejibu.!

Au ulitaka nikuambie maji yakauke aridhini yawepo angani ili papa na nyangumi tuwaone live bila chenga, fisi simba kwa jamii yao wasiwepo maana wanatumalizia kitoweo,wazungu nao watoweke maana ni wakorofi_hapo ndio ningetosheleza kiu yako.?
 
Natumai humu nyote ni wazima wa afya njema kabisa ,pole kwa yote lakini leo napenda kutoa mchango wangu kidogo kulingana na nilichopata kukiona au kujidhihilisha juu ya swali gumu ambalo limekosa majibu miaka nenda rudi juu ya binadamu alitoka wapi...

Sio lazima ukomaee na mealezo yangu lakini kama una imani yako baki na imani yako lakini kama unahitaji kujifunza mambo basi weka imani yako pembeni upate kujua haya..

=======================

kabla sijaendelea napenda kukufahamisha wewe au wale ambao mnapuuza sana juu ya conspiracy theories na kudai kuwa hazina proof sasa leo unaweza pata kitu hapa..

katika mwili wa kiumbe yoyote yule,kuna kitu iinachoitwa DNA hiki ndo kinachobeba mwongozo wa jinsi utakavyokuja hapa duniani kwa sura ipi,mfumo upi,mwonekano upi,kwa tabia ipi na sifa zote hizi hubebwa na kitu kinachoitwa DNA,

DNA ndo kila kitu kwan imebaba taarifa zote juu ya utengenezaji wa kila kitu ulichonacho mwilini..
killa kitu ulicho nacho mwilini mwako kuna specific genes (jeni) ambayo inahusika na utengenezaji wake,ikitokea jeni inayohusika kutengeneza pua imepata hitilafu ukiwa bado tumboni kwa mama yako basi utengenezwaji wa pua utakosekana na utazaliwa ukiwa huna pua,na ikitokea jeni(gene) inayohusika na kutengeneza remodeling ya sura yako iwe nzuri ila ikapata hitilafu basi utazaliwa ukiwa na sura kama kinyago.

All in all, genes ndo kila kitu katika mwili wa kiumbe yoyote yule,hizi abnormality tunazoziona ni kwa sababu gene zetu zinapata hitilafu mahala fulani kwenye arrangement zake ndani ya DNA sequence..

Arrangement za gene zetu zipo kwenye DNA kwa mfumo wa base pairing rule ,Genes zinaundwa na DNA bases ambazo zipo katika makundi mawili ( purine na pyrimidine ,ambapo purine ni Adenine (A) na Guanine (G) lakini pia pyrimidine ni Cytocine (C),Tymine (T) na Uracil (U).Ila katika namna ya kupair ili kuform gene tunaona kuwa Adenine huwa anapair na Tymine hence A=T katika DNA na kwenye RNA inakuwa A=U Wale waliosoma molecular chemistry na bioloji watakuwa wanalijua hili. lakini pia Cytocine anapair na Guanine hence C=G
View attachment 839829


kwa hiyo purine ana pair na pyrimidine mmoja ili waform complimentary sequence ya kuja kutengenza gene factor control..

Ili tuite kuwa hii ni genetic code( mfumo uliohifadhi taarifa ) ni lazima hizo bases ziwe tatu...mfano wa genetic code ni kama CCU, GAA,GGC,GAC,....na ni lazima ziwe triplet ( Tatu)...

kwa mfano gene inayohusika na utengeneza wa jicho inaundwa na genetic code ya ACG manake itokea mtu akapat effects ( Hitilafu) kwenye arrangement hiyo ya ACG na kuwa AGC hapo tunasema gene imepata mutation na kazi yake ya kutengeneza jicho inapotea kwa hiyo mtu atazaliwa hana jicho

Lakini ukiangalia vizuri kwenye sequence hiyo kuna DNA bases au kwa jina jingine tunaita DNA codes hazipei kutengeneza functional gene( genes zinazohusika kutengeneza mfumo ufanyao kazi)..Zinabaki hivo hivo tu..ni kama asilimia 85 ya DNA bases hazina kazi ya kutengeneza functional amino acid..


So only few percents DNA codes zilizopo kwenye DNA yetu ndo zina gene code zinazotengeneza protein kwa ajili ya kutengeneza specific organ mwilini mwetu kwa wakati maalumu..

SWALI JE": Hizo code zingine zinatengeneza nini au kazi yake ni nini sasa.....??

kiufupi tunapata makundi mawili ya genes hapo,coding genes na non- coding genes,,

Kuna genes zinazopair ili kuunda functional genes( genes zinazofanya kazi na kuleta umbo maalumu mwilini) lakini kuna baadhi ya genes kwenye hoiyo hiyo DNA sequence hazi match (non- coding genes) kutengeneza functional genes,,ni wazi kuwa kila bionadamu ana non- coding genes ambazo hazicode kwa chochote mwilini mwake na kwanini ziwepo wakati hazina kazi..?
View attachment 839830wale watu wa molecular analysis na DNA chemistry nadhani hata nyie mtajiuliza au bila shaka mshajiuliza kwanini non- coding genes zipo tu na hazihusiki kwa chochote,,,

lakini pia
Jozi ya wanasayansi kutoka Kazakhstan wanaamini kuwa aina zetu ziliundwa na mamlaka ya juu, ustaarabu wa mgeni ( Aliens) ambao ama alitaka kuhifadhi ujumbe katika DNA yetu au tu kupanda maisha kwenye sayari nyingine kwa muonekana tofauti wenye idadi flani ya kiwango cha vinasaba elekezi kisha kupandikiza aina nyingine ya vinasaba shirikishi( non- coding bases) ili vitumike kama signal transer kwenye main controller system ya kumwendesha mwanadamu katika maaumuzi ya chaguzo mbali mbali katika maisha yake..



Maxim A. Makukov wa Taasisi ya Astrophysical ya Fesenkov na Vladimir I. Shcherbak kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Farabi Kazakh alitumia miaka 13 akifanya kazi kwa Mradi wa Binadamu wa Genome - ambao ulituma ramani ya DNA ya binadamu katika kutupa picha halisi ya codes zilizopo kwenye DNA ambazo ni functional na ambazo sio functional kwa kucompare usawa na arrangement zilizopo kwenye baadhi ya cell za humanoid Aliens..

Hitimisho lao lilikuwa kwamba wanadamu walitengenezwa na nguvu ya juu, na "seti ya mifumo ya hesabu na lugha ya kibei kutoka mfumo wa nje kabisa wa ufahamu na mpangilio huo uliingizwa ndani ya DNA yetu.
coincidence,,??

Kutokana na kuwepo kwa group la non -coding genes kwenye DNA yetu wanasayansi wamefikia hatua ya kulipa jina la JUNK DNA ,means gene DNA ambazo kazi yake haijulikani bado.

Comparative genomics studies have shown that some of this junk DNA is highly conserved, sometimes over hundreds of millions of years, which suggests that these non-coding regions have undergone positive selection throughout evolution and confer an advantage in terms of preserving or minimizing certain biological traits.
(Uchunguzi wa jenomatiki umeonyesha kwamba baadhi ya DNA hii isiyojumuishwa imeonekana kuhifadhiwa sana katika mfumo wetu wa DNA , na wakati mwingine juu ya mamia ya mamilioni ya miaka, ambayo inaonyesha kuwa baadhi ya sehemu katika hii DNA imeonekana kubeba chembe chembe au vipande toka sehemu au DNA ya viumbe toka Anga za mbali... lakini mabadiliko yatokayo na mazingira huweza kuhifadhi au kupunguza baadhi ya sifa za kibiolojia.)


Kuna baadhi ya tafiti zimekuja kufanyika kwa kuhusisha DNA sequence ya HUMANOID ALIENS na kukuta kuwa seqence ya non- coding genes kwa binadamu zinafanana kidogo na a part of DNA pair genes kwenye HUMANOID ALIEN DNA.


Kwa hiyo inawezkana kabisa human being were programmed na Aliens kwa kazi maalumu na they are watching us for sure,,
View attachment 839838
DID EXTRATERRESTRIALS GENETICALLY ENGINEER HUMANS?


Uumbaji na mageuzi ni nadharia mbili maarufu za jinsi watu walivyokuwa,Ingawa labda ni nadharia zinazoenea zaidi, kuna shule au maelezo mengine yanahitajika kuelezea hili kuwa Binadamu aliundwa na tunaendelea kuprogramiwa na Extraterrestrial beings ( Aliens species).


Nadharia nyingine inachunguza wazo kwamba extraterrestrials manipulated DNA yetu kisha kujenga damu mchanganyiko katika sayari yetu. Kipande cha ushahidi muhimu zaidi kuunga mkono nadharia hii ni kitu kinachojulikana kama Rh.( Factor blood group) ambayo ni aina ya Protein inayopatikana kwenye surface membrane za Cell nyekundu ( RBC) zilizopo kwenye miili yetu...kuna aina mbili za cell nyekundu za damu ,ile yenye Protein juu inafanya damu iitwe Rhesus positive ( Rh +ve) wakati zile cell nyekundu ( RBC) ambazo hazina Protein juu ya ngozi zao zinafanya damu iitwe Rhesu negative( Rh -ve) ..


Uwepo wa kipengele cha (Rhesus factor blood groups ) katika damu ya binadamu hufanya aina ya damu iwe chanya (Rhesus positive), wakati kutokuwepo kwake hufanya iwe hasi(Rhesus negative blood group). Watu wengi ni Rh chanya, na asilimia 15 tu ya idadi ya watu hawana sababu ya Rh.

Sababu ya Rh inaweza kuhusishwa na aina nyingine, hususani upandikizajinwa aina ya control gene factor toka Viumbe wenye uwezo mkubwa katika maarifa japo Ukosefu wa hiyo unaendelea kubaki siri. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaamini kuwa inatokana na vitu vya nje. Wengi wanaokataa mgeni ni Rh hasi. ukiangalia kweli ni nadra sana kuwapata watu wenye blood group zenye RHESUS negative na baadaye nasikia lakini kuwa eti huwa wanapotea mazingira ya kutatanisha kama walivyoalbino'''( kwanini tena hapa tunapata watu wenge group jingine lenye kizazi che damu hasi ???)...

Je! Hii ni bahati mbaya? Inaonekana haiwezekani

======================

Researcher David Icke anasema ,Huenda baada ya galactic civilization kwenye planet za mbali huko kuvurugika na kuleta hitilafu kubwa,familia nyingi za Aliens zilipata kutokuelewana na kusababisha mvurugano mkubwa ulioleta destructions za baadhi ya empire zao na kusababisha kusambaratika kwa madini maalumu kama ALMAS,GOLD,URANIUM,NEUTRON,PRUTONIUM,RADIUM ambayo ndo yanatumika kujengea empire zao n.k na kumewapelekea ku design species watakaowasidia kurudisha baadhi ya madini hayo yaliyoangukia kwenye planet mbalimbali ambayo mojawapo ni EARTH,so existance ya human being ni programmed issue by Alien ndo mana wametuwekea signal za kuwasiliana nao,na signal hizo ni non-coding DNA genes bases katika Vinasaba vyetu( DNA)..


Yani wamekuwekea DNA genes zitakazoprogrm mwili wako lakini pia wawe wanapata informations kutoka kwako indirectly.....

Or could we say that,the Earth is just the area with bebris from garactic civilized araes beyond our solar system.....!!!...


Mipango mingi sana inahusisha kuscan DNA zetu ili ziingizwe kwenye Universal Data Base ( UDB)..


lengo lake ni nini sasa,,?/

Kwanini uwepo wa link kati ya human na Alien unafichwa sana ..??
kuna makubaliano makubwa sana kwanini siri hii imeendelea kuwepo .?

Everything is by plan...
kusema kuwa lengo lao ni kufanya ukusanyaji wa madini yaliyopungua kwao au kurudisha baadhi ya madini inaweza ikawa point moja wapo ya kumprogram human being kama second collector wao..lakini pia kumtengeneza kiumbe ambaye atahifadhi traits(vinasaba ) zao kutokana na mlipuko wa gases za radiations mbalimbali kama Radium,prutonium ambazo zilionekana kuathiro mfumo wa miili yao hivyo kufikia wazo la kudesign another species kwa ajili ya kuhuifadhi vinasaba vyao ..


Kuna baadhi ya documentary moja inaelezea kuwa Aliens empire katika baadhi ya high worlds ilivamiwa na cosmic radiation na kuwafanya kuanza kuchange color ya miili yao despite of being interlectual lakini hakuna kigumu mbele ya nature controller..

Baada ya kuvamiwa na hizo cosmic radiations iliwabidi aliens kutafuta ni wapi wataweza pandikiza DNA zao kwa ajili ya kuzuia Mutation( mabadiliko ya miili yao) kwa badae ..

Ndo wakamua kuprogram viumbe ambao waliwaleta katika planet tofauti ikiwemo na dunia hii ili waweze kutunza biological traits zao..

Lakini kwenye sayari zingine inasemekana kuwa hazikuwa nzuri sana kwani mabadiliko zaidi yalionekana kuwaathiri viumbe walioprogramiwa na kufanya kusitisha zoezi hilo lakini ilionekana kuwa dunia ndo Sayari pekee ambayo haikuwa na uwezo wa kuundergo effects za cosmic radiations ambazo zinaleta mutation ya hizo traits za viumbe hao...

Ndo mana inawezekana kabisa kuwa Aliens wameamua kuwekeza hii kind of programing human being hasa dunia hii kwani some traits zao zipo ndani ya miili yetu ndo hizo Non- coding DNA ..


Unajua kama unataka kuhifandhi kitu kwa muda mrefu ni dhahili utaandaa mazingira ya kuweza kumudu hali hiyo..

Ukitaka kupata ukweli huu jaribu kuumiza kichwa kwanin non- coding DNA ndan ya miili yetu..?.



President John Adams passes the Naturalization Act, the first of four pieces of controversial legislation known together as the Alien and Sedition Acts, on this day in 1798.
(Rais John Adams anapitisha Sheria ya Ustawi, kwanza ya vipande vinne vya sheria ya utata inayojulikana kama Mgeni na Matendo ya Utamaduni, leo katika 1798.ambayo iliipa America kibali cha kufanya negotiation na Aliens kwa kazi maalumu lakini mambo yalifanywa siri nzito sana..)

Na kwanini watu wengi wanaofanya kazi kwenye taasisi hizi za siri hasa serikali kama inajihusisha na maswali ya utafiti huwa wanakufa vifo vya ajabu sana,,

Nchi kama marekani yani watu wengi waliopo NASA kila wakisataafu wanarun mental problems na hiyo tunaita MENTAL ABDUCTION ,au wanaishia kuugua magonjwa kama Kiharusi ( Stroke) au Hypertensive diseases au Cardiovascular diseases kama HEART ATTACK,HEART FAILURE ,au BRAIN CANCER ,au CANCER OF UNKNOWN AETIOLOGY,,??

Kwanini watu wengi baada ya kufanya kazi kwenye taasisi hizo za siri wanapojaribu kutoa siri nyingi juu ya mambo yalivyo huwa wanaishia kupata ukichaa,,??

Fuatilia hili kama una ndugu yako anayefanya kazi serikalini hasa serikali za siri lazima kila wakistaafu watapata mental problem ,sio wote ila ni baadhi kulingana na sehemu na kitengo alichokuwa ,,

Hii yote pengine wasije kuanza kulopoka huko nje baada ya kutoka kifungoni..

Aliens are more superior interms of intellectual than human being ,tunaona technologia ikikua kwa kasi jambo ambalo lipo kinyume na utendaji kazi wa ubongo wa sasa wa mwanadumu,..kuna nini nyuma ya pazia,,??

kwanini uwezo wa mwanadamu kufikiri unapungua lakini technolojia inakuwa kwa kasi,,?? kina nani wanaoratibu haya mambo nyuma ya pazia.??

Tusije kweli kuwa tumeprogramiwa na Aliens kuwasaidia kuchukua hayo madini yaliyosambaratika kutoka kwao huko miaka mingi iliyopita na kuwafanya kuuumiza akili sana namna ya kufanya hiyo kazi ya kuanza kutafuta madini underground kwetu ila wakaamua kuprogram species watakaofanya hiyo kazi?? Pengine isiwe point ya kusema tumetengenezwa kuendeleza kizazi cha kukusanya madini bali pia kuhifadhi mfumo wao wa DNA AU VINASABA.
View attachment 839884

Nilipata muda wa kutembelea mradi wa kuzalisha umeme nchini Tanzania unaitwa Kihansi Electrical Project upo Mpakani mwa IFAKARA Wilaya ya kilombero mkoani Morogoro na Iringa
NADHANI ndo mradi uliocomplicated kuliko miradi yote ya umeme iliyopo Tanzania na Africa Mashariki kwa ujumla..

Umeme wa KIHANSI unazaliswa Underground kabsa ,yani kuna mlima mkubwa sana halafu wamechonga tunnel inayoingia ndani ya mlima huo yenye umbali wa kilometre 3 halafu ndo unazama tena chini kwa umbali wa km 2 ndo unafika underground ambako kuna makazi ya watu na mitambo yote,,kule chini ni kama umeingia MLIMAN CITY SHOPPING CENTRE yan mitambo imeegeshwa huko balaaa,..

Sasa nikawa namuuliza Engineer aliyekuwa zamu kuwa hivi ni binadamu kweli aliyehusika hapa au kuna some extra terrestrial ones,,??
aliishia kucheka na kuniambia under collaborations with some people iliwezekana. SASA KWANINI ALISEMA UNDER Collaborations TULIWEZA,HIYO COLLABOLATIO NA NANI..??


Kwa akili yangu sikuweza na sitaweza kuamini kama binadamu angeweza kupata access ya knowledge yote ile maybe sijui lakini..

mwisho,,,
Napenda kuomba mchango wenu wadau wenye ujuzi au uelewa juu ya maelezo mengine juu ya uwepo wa non-coding DNA bases kwenye mwili wetu lakini pia unapaswa ujiulize kuwa ,ni nini kazi ya non- functional genes,??
kwanini utafiti uliofanywa na wanasayansi Area 51 juu ya DNA sequence ya human na Alien ulionekana kufanana kwa percent flani kwenye non -coding genes??


JE; tunaweza kweli kuwa ni programmed species za hao jamaaa,,?

cc
Da vincci Kipanga boy Sokoro waito Bitoz Sticky_fingers George_Mbuligwe Kiranga Humble African zitto junior TIASSA GuDume Francis3 Internal Lee Napoleon

========================

Karibuni......

Mtoa mavi unaumiza kichwa bure. Alliens ni wachina ndio maana ukiwatazama Alliens wote wanafanana Kama walivyo wachina.

# mods badilisheni hapo Juu, sijamaanisha MTOA MAVI, nimemaanisha MTOA MADA.
 
Hii thread ni nzuri sema napata kigugumizi sana kwa hawa viumbe kutokana na kuwa kama wao wametuumba kusudi waje wachukue madini according to sayari yao imehabiwa (sina uhakika) sasa mbona tz hatujawahi kuwa ona ama kuwa sikia mahali fulani

Isitoshe sisi ndo kuna madini mingi na mengine hayapo dunia nzima like TANZANITE au tuseme hawa ellian

Hawaonekani wako mfumo wa jini au mnasema walikuwepo viumbe wengine nje na binadamu swali hao viumbe walikuwa ellian wenyewe ama majini

Haya mambo m naona mzungu ndo anamajibu pekee tena yule alieandika kitabu cha hx kuwa binadamu alikuwa nyani....Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo midhahabu ile ya kina Mansa Musa, Mwanamutapa, imehifadhiwa wapi? Nilisoma mahali kwamba mashimo ya dhahabu ya kina Mwanamutapa ni ya kustaajabisha sana pengine yalipaswa yawe kwenye maajabu ya dunia.

Sent from my BLL-L21 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom