ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,732
- 1,783
Huwezi kuthibitisha mpaka unakufaHauko "serious" nikajua utakuwa unajua sababu ya kukana kwako, naona unarudia rudia kukosea.
Sijawahi kushindwa kuthibitisha uwepo wa Mola muumba, na sitoshindwa kufanya hivyo, ila wewe na wakubwa zako hamjawahi kuthibitisha ya kuwa Mola hayupo wala hamtoweza kufanya hivyo, zaidi ya kucheza na maneno bila kuzingatia maana na uhalisia.
Ukija na sababu ya umejuaje kwamba Mola hayupo, na ukija na ithibati ya kuwa Mola kafa. Unistue nikuwekee ushahidi wa kuwa Mola yupo.
Nyinyi inabidi tuwafundishe namna ya kufikiri kwa usahihi, unaposema Mola wetu kafa,ina maana alikuwepo, swali la msingi ni kuwa umejuaje kafa na kipi kilifanya akafa ?
Dondoo ya uwepo wa Mola tunaipata katika vifuatavyo :
1. Self-Evident Truth (Bayyinah)
2. Contingent Facts
Na nyingine nyingi. Nimekuwekea dondoo tu kukuonyesha ya kuwa suala la mimi kuthibitisha ya kuwa Mola yupo ni suala la dakika chache sana.
Na mimi sipo hapa kutafuta uthibitisho, sina muda huo na nafahamu huwezi, hata ukimfufua yule kiongozi wenu aliwarithisha amani yenu hawezi
Ni heri useme hujui hii kidogo itasaidia kuliko kuongea kana kwamba una uhakika wakati ni jambo la kiimani..!
Ila kwa kufikiri kwa njia ya kuwaonea huruma watu wa dini tunaweza sema mungu yawezekana alikuwepo ila Kafa, au kidogo yawezekana kasafiri maeneo ya mbali na hajishughulishi na mambo ya wanadamu_hapo kidogo inakuwa safi